Uwanja wa Benjamin Mkapa wafungwa kwa muda kupisha marekebisho ya Pitch

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
2,491
7,027

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo inatangaza kuufunga uwanja wa Benjamin Mkapa kwa muda kuanzia leo tarehe 9 Aprili 2025 ili kupisha marekebisho ya eneo la kuchezea (Pitch) lililopata athari kubwa kufuatia mvua zilizonyesha na kufuatiwa na mchezo wa Robo Fainali wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika kati ya Simba SC na Al Masry ya Misri.

Timu ya Wataalamu itaanza mara moja kufanya tathmini ya kina ya madhara yaliyojitokeza na tarehe ya kufunguliwa kwa uwanja huo itatangazwa hapo baadaye.

Kufuatia uamuzi huu, timu zote ambazo zilipanga kuutumia uwanja wa Benjamin Mkapa zikiwemo zinazoshiriki mashindano ya Kimataifa zinaombwa kutafuta uwanja mbadala wakati Serikali ikifanya marekebisho ya eneo la kuchezea kwa dharura.

Wizara inaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza kutokana na kufungwa kwa uwanja huu kwa sasa.
IMG_3986.jpeg
 
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo inatangaza kuufunga uwanja wa Benjamin Mkapa kwa muda kuanzia leo tarehe 9 Aprili 2025 ili kupisha marekebisho ya eneo la kuchezea (Pitch) lililopata athari kubwa kufuatia mvua zilizonyesha na kufuatiwa na mchezo wa Robo Fainali wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika kati ya Simba SC na Al Masry ya Misri.

Timu ya Wataalamu itaanza mara moja kufanya tathmini ya kina ya madhara yaliyojitokeza na tarehe ya kufunguliwa kwa uwanja huo itatangazwa hapo baadaye.

Kufuatia uamuzi huu, timu zote ambazo zilipanga kuutumia uwanja wa Benjamin Mkapa zikiwemo zinazoshiriki mashindano ya Kimataifa zinaombwa kutafuta uwanja mbadala wakati Serikali ikifanya marekebisho ya eneo la kuchezea kwa dharura.

Wizara inaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza kutokana na kufungwa kwa uwanja huu kwa sasa.
Mhii upenyo wa kupigia hela huo
 
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo inatangaza kuufunga uwanja wa Benjamin Mkapa kwa muda kuanzia leo tarehe 9 Aprili 2025 ili kupisha marekebisho ya eneo la kuchezea (Pitch) lililopata athari kubwa kufuatia mvua zilizonyesha na kufuatiwa na mchezo wa Robo Fainali wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika kati ya Simba SC na Al Masry ya Misri.

Timu ya Wataalamu itaanza mara moja kufanya tathmini ya kina ya madhara yaliyojitokeza na tarehe ya kufunguliwa kwa uwanja huo itatangazwa hapo baadaye.

Kufuatia uamuzi huu, timu zote ambazo zilipanga kuutumia uwanja wa Benjamin Mkapa zikiwemo zinazoshiriki mashindano ya Kimataifa zinaombwa kutafuta uwanja mbadala wakati Serikali ikifanya marekebisho ya eneo la kuchezea kwa dharura.

Wizara inaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza kutokana na kufungwa kwa uwanja huu kwa sasa.

View attachment 3298231
Viti hawaweki au?
 
Uwanja saizi umekuwa kama kauka nikuvae.

Uwanja kila siku unatengenezwa na hayo matengenezo hata hatuyaoni yamefanyika wapi.

Pitch leo ilikuwa mbovu sana kuna muda Camera ilipokuwa inachukua usawa wa chini hadi loophole zilikuwa zinaonekana.

Huyo aliyepewa jukumu la kuutengeneza sijajua kwanini mpaka saizi anaendelea kupewa imani ya kuzidi kupewa tenda.
 
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo inatangaza kuufunga uwanja wa Benjamin Mkapa kwa muda kuanzia leo tarehe 9 Aprili 2025 ili kupisha marekebisho ya eneo la kuchezea (Pitch) lililopata athari kubwa kufuatia mvua zilizonyesha na kufuatiwa na mchezo wa Robo Fainali wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika kati ya Simba SC na Al Masry ya Misri.

Timu ya Wataalamu itaanza mara moja kufanya tathmini ya kina ya madhara yaliyojitokeza na tarehe ya kufunguliwa kwa uwanja huo itatangazwa hapo baadaye.

Kufuatia uamuzi huu, timu zote ambazo zilipanga kuutumia uwanja wa Benjamin Mkapa zikiwemo zinazoshiriki mashindano ya Kimataifa zinaombwa kutafuta uwanja mbadala wakati Serikali ikifanya marekebisho ya eneo la kuchezea kwa dharura.

Wizara inaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza kutokana na kufungwa kwa uwanja huu kwa sasa.

View attachment 3298245
Wameona aibu wenyewe
 
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo inatangaza kuufunga uwanja wa Benjamin Mkapa kwa muda kuanzia leo tarehe 9 Aprili 2025 ili kupisha marekebisho ya eneo la kuchezea (Pitch) lililopata athari kubwa kufuatia mvua zilizonyesha na kufuatiwa na mchezo wa Robo Fainali wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika kati ya Simba SC na Al Masry ya Misri.

Timu ya Wataalamu itaanza mara moja kufanya tathmini ya kina ya madhara yaliyojitokeza na tarehe ya kufunguliwa kwa uwanja huo itatangazwa hapo baadaye.

Kufuatia uamuzi huu, timu zote ambazo zilipanga kuutumia uwanja wa Benjamin Mkapa zikiwemo zinazoshiriki mashindano ya Kimataifa zinaombwa kutafuta uwanja mbadala wakati Serikali ikifanya marekebisho ya eneo la kuchezea kwa dharura.

Wizara inaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza kutokana na kufungwa kwa uwanja huu kwa sasa.

View attachment 3298245
Hivi CAF kwanini badala ya kuufungia uwanja wasiifungie Wizara ya habari, Sanaa na Michezo😎

Maana inarudisha nyuma maendeleo ya soka nchini. Ipigwe marufuku kusimamia mpira wa miguu na viwanja vyote vya soka😂😂😂

Utasikia wanaimba MAMA, MAMA MAMA. Halafu kwenye utendaji wanamwangusha huyo mama na kumtia aibu.
 
Iyo sehemu ya kuchezea ime chakaa, wanatakiwa waondoe udongo wote walete mpya na ku set upya udongo na nyasi mpya.
Watafute wataalamu wenye uwezo wa kutengeneza eneo ilo la kuchezea.
 
Back
Top Bottom