Utafiti: Ukitaka mwanamke asikuangalie sana fanya haya...

Sio kwelii.
Wengine hata magar ya kuazima hatuna lakin tunawachinja na magari yao mnayowa nunulia.
Mambo zingine hazinaga formula..msiishi kwa kukariri

ah sasa unajua hapo tunasema hivyo bado uja factor in quality ya mrembo
no way on this earth utamgegeda mrembo thats an 8/10 bila kuwa na gari hilo mie nakataa.
 
Agiza kinywaji popote ulipo nakuja kulipia!!! Hiyo mbinu ni 100% True
Wanawake ni viumbe vinavyopenda Sana kuchunguza Mambo madogomadogo ya watu ikiwemo muonekano.

Mwanamke akikuangalia Sana jua anakuthaminisha kihivi...

Rangi
Urefu
Umbile
Kipato
Nini unamzidi
Kipi anakuzidi
Anakudefine pia who u might be

Sasa tafiti zinaonyesha kwamba mwanamke akikuangalia saaaaana ujue anatafuta thamani yako na udhaifu wako. Vs. Ubora wake na udhaifu wako.

Sasa wataalamu wanasema ukitaka mwanamke akuonee aibu asikuangalie kabisa fwata pattern hii...

1.Mtazame machoni kwanza

2.Kisha mwangalie tako lake.

Ukishafanya hivyo mtazame Tena utaona hakuangali ng'ooooo maana umeshampa mtihani yeye hivyo umempunguzia confidence ya kujiamini atabaki anajiuliza yeye hivi tako langu kalionaje....? Cha ajabu hata Kama tako la mwanamke ni kubwa ukishaliangalia hawajiamini anaona aibu.

Utafiti huu umelenga kuwapa confidence mabaharia wenye muonekano mbaya kwa mademu ili wajiamini.

Superbug.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We cheka ila hakikisha umevaa mask.Maana cvd19 kwasas ni wireles
Acha woga mtoto wa kiume!yaani ufe kwaajili ya corona? Tz hii hii au? Mwanaume unakufa kwa ajali babkubwa ...tena unafia hapohapo road..sio ukalazwe !
Wanawake bora wafie gest🤣🤣 kuliko kaugonjwa kenu kadogooo mnakakuza tu😉😉😉!
 
Back
Top Bottom