Usiwaze Sana: Hawa ndio watu wa kuwapunguza katika maisha yako

Na hao hao unawao wasaidia ulifilisika wana kucheka na wengi hutamani muwe sawa ktk maisha. Kikubwa no kuwapunguza km anavyosema mkuu


Ubaya Ubaya tu.
 
Wewe ndie mwenye Makosa, unajua kabisa alafu unapotezea, rejectionalism inakurudi, sasa wewe ndiye muamuzi , weza uendelee au uache , its u
 
umenikumbusha jambo moja la maana sana aisee....nilijifunza kuwa mafanikio ya mtu yapo mikononi mwa watu...nadhani ukizungukwa na watu wasio na mawazo ya kimaendeleo wote wewe na wao hamtoendelea kamwe.
 
Na hao hao unawao wasaidia ulifilisika wana kucheka na wengi hutamani muwe sawa ktk maisha. Kikubwa no kuwapunguza km anavyosema mkuu


Ubaya Ubaya tu.
Aisee wengi ni wanafki, bora kutemana nao ubaki na wachache cuz wakiwa wengi hutomjua mnafiki wako ni yupi
 
umenikumbusha jambo moja la maana sana aisee....nilijifunza kuwa mafanikio ya mtu yapo mikononi mwa watu...nadhani ukizungukwa na watu wasio na mawazo ya kimaendeleo wote wewe na wao hamtoendelea kamwe.
Panya wengi hawachimbi shimo mkuu....
 
Wewe ndie mwenye Makosa, unajua kabisa alafu unapotezea, rejectionalism inakurudi, sasa wewe ndiye muamuzi , weza uendelee au uache , its u
Sasa watu deile unawapa noleji ikiwa hawajawahi hata siku moja kukupa pande, inamaana gani???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom