Usipokuwa makini na Uwekezaji Tanzania tutakuwa manambana vibarua ndani ya nchi yetu.

ubarinolutu

JF-Expert Member
Oct 22, 2012
2,394
4,898
Mfano ni south Africa, Kila biashara kubwa, mashamba makubwa, yanamilikiwa na wahindi na wageni na wazungu, huku wazawa wenyewe wa south Africa wakibaki kuwa manamba , yaani vijakazi na kufanya kazi za vibarua.

Huu unaitwa ukoloni maomboleo. Wanakuja kidogo kidogo, baadae utakuja kustukia hata masoko, mashamba, viwanja vya ndege, mbuga, hifadhi wanapewa wageni. Na sisi kwakuwa hatujielewi basi tusubiri
 
Kwani sisi kipi kinachotushinda kuwa wawekezaji wakubwa?
Tatizo ni sisi au wao.
Mazingira ya mzawa kuinvest unayajuwa?

Unajuwa hao wawekezaji wanakuja kwa mgongo wa wanasiasa na wanachota pesa humu humu kwenye bank za ndani?

Wengine wanaingia ubia na wezi wa nchi hii Kama wakina Rostam,Kikwete,Mwigulu na makamba?

Halafu wafanya biashara halisi wanachezewa rafu tu kwenye tenda?

Kua uyaone Tanzania ni shamba la Bibi Sana toka kufariki kwa baba wa Taifa!!
 
Mazingira ya mzawa kuinvest unayajuwa?

Unajuwa hao wawekezaji wanakuja kwa mgongo wa wanasiasa na wanachota pesa humu humu kwenye bank za ndani?

Wengine wanaingia ubia na wezi wa nchi hii Kama wakina Rostam,Kikwete,Mwigulu na makamba?

Halafu wafanya biashara halisi wanachezewa rafu tu kwenye tenda?

Kua uyaone Tanzania ni shamba la Bibi Sana toka kufariki kwa baba wa Taifa!!
Kwann sisi nasi tusicheze rafu na hao wanasiasa huoni shida ni sisi na sio wao.
Karibu Uchumi wa Africa karibu nchi zote unamilikiwa na wageni
 
Mfano ni south Africa, Kila biashara kubwa, mashamba makubwa, yanamilikiwa na wahindi na wageni na wazungu, huku wazawa wenyewe wa south Africa wakibaki kuwa manamba , yaani vijakazi na kufanya kazi za vibarua.

Huu unaitwa ukoloni maomboleo. Wanakuja kidogo kidogo, baadae utakuja kustukia hata masoko, mashamba, viwanja vya ndege, mbuga, hifadhi wanapewa wageni. Na sisi kwakuwa hatujielewi basi tusubiri
Sasa ya hao watu uliowataja huko south Africa kumiliki utajiri na wazawa kuwa vibarua ni nini?
 
Waswahili brain zetu zimelala Sana.


Tuweke utaratibu ila tusiwachukie wachezaji wa kigeni
 
Shida ni sisi wenyewe mm sitaki kuamini kama haya yote tunayoyakubali tunashikiwa bunduki ila ni sisi wenyewe tunayakubali na kuyapokea
 
Mbona mapori yamejaa tele mbona fursa tele zimejaa
Mapori wameshaanza kupewa waarabu. Kiufupi Tanzania imejaa, ukitoa ardhi inayomilikiwa na serikali kupitia vijiji, mapori tengefu, misitu, mbuga za wanyama, hakuna ardhi ambayo Haina mtu. Ile staili ya kwenda porini unafyeka haipo Tena kote kumejaa , manamba nyie
 
Back
Top Bottom