Usiliamshe dudeee..ishiwa damu ila usiishiwe bando jpili..

Nchi hii ya Tanzania wajinga ndiyo waliwao na akili zao za kushikiliwa na watu wachache za kutafuta umbeya kila siku.

Askofu Gwajima anakula kiulaini madhabauni mwa Bwana bila bugudha yoyote kanisani kwake.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salama Paul Christian Makonda anaishi maisha raha mustarehe bila shida yoyote na kufanya kazi.

Mange Kimambi huko Los Angeles Marekani anaishi vizuri tu na Watoto wake tena kwa usalama wa hali ya juu.

Sasa sisi wapambe na watafuta umbeya na kusemana na kutukanana kila siku ktk mitandao tunavyohangaika kujua Leo Mange kaandika nini,Askofu Gwajima Jpili atasema nini,Makonda atajibu nini ndiyo tunashida.
 
Kama ambavyo baba askofu gwajima amekuwa akitueleza yeye ni mpole na mnyenyekevu ila once ukimchokoza(kuliamsha dude) basi atakutwanga kote kote.

Stay tuned..YouTube channel ya kanisa la ufufuo na uzima itawaka moto jpili hi i twende na gwajima basi.

Amen.

Kanisa ni mahali pakutangaza umbea?
 
Nyerere alisema kweli Mungu kaumba wapumbavu mimi nifanye nini. Yaani anawapa taarifa wiki nzima muende kanisani kusikiliza umbea?
 
mmmh! watu watajaa kusikiliza ushilawadu badala ya neno la Mungu wakimaliza ni Ameeeeen na kutoa sadaka ndio ibada za cku hizi
 
Back
Top Bottom