Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
.
Na huwa si mizigo ya lawama tu, wengine huamua visasi.. Sasa kuna wakati waliokutuma au wanaokutumia huwa wanakuwa hawajulikani (WASIOJULIANA) lakini wewe uloyetumika unafahamika... WATAHANGAIKA NA WEWE...Ndugu zangu nawasalimu,
Naomba niwape maoni yangu kwa ufupi tu.
Tunaishi kwenye familia, jamii, taasisi mbalimbali, makundi rasmi na yasiyo rasmi.
Usikubali taasisi, mtu, watu, kikundi ama familia wakutumie kama chambo chakutekeleza ubaya walioudhamiria kwa mtu/watu/jamii fulani mwishoni watakugeukia na sura ya nyoka.
Watu wengi waliotumika kutekeleza ubaya fulani hadharani/kuzungumza huku wahusika wakuu wakijificha nyuma ya pazia huishia kugeukwa vibaya sana na mizigo ya lawama yote inabaki kwao.
Na huwa wanakufanyia umafia ili usije kuwaaibishaNa huwa si mizigo ya lawama tu, wengine huamua visasi.. Sasa kuna wakati waliokutuma au wanaokutumia huwa wanakuwa hawajulikani (WASIOJULIANA) lakini wewe uloyetumika unafahamika... WATAHANGAIKA NA WEWE...
Na kuna point inafikiwa, waliokutuma wanaona hatari ya kujulikana ipo mbele yao, NA ANAWEZA KUTOA TAARIFA HADI WAO WAKAJULIKANA NI WEWE ULIYETUMIKA, wanakumaliza... HIVYO, ANAYETUMWA HUWA HAYUKO SALAMA.... eidha wanaokutuma watakumaliza au ulikotumwa nao watakumaliza....
Akimaanisha, usishiriki kwenye jambo la kumdhulu mwingineUkimaanisha???
Usikubali kutumia. Waache watekeleze ubaya wao wenyeweUkimaanisha???
Na wewe je??Ndugu zangu nawasalimu,
Naomba niwape maoni yangu kwa ufupi tu.
Tunaishi kwenye familia, jamii, taasisi mbalimbali, makundi rasmi na yasiyo rasmi.
Usikubali taasisi, mtu, watu, kikundi ama familia wakutumie kama chambo chakutekeleza ubaya walioudhamiria kwa mtu/watu/jamii fulani mwishoni watakugeukia na sura ya nyoka.
Watu wengi waliotumika kutekeleza ubaya fulani hadharani/kuzungumza huku wahusika wakuu wakijificha nyuma ya pazia huishia kugeukwa vibaya sana na mizigo ya lawama yote inabaki kwao.
Napeeee na mwigulueeeeeUkimaanisha???
Sasa nimeelewaNapeeee na mwigulueeeee
Kuna taasisi zimeundwa kisheria au hata kikatiba, miongoni mwa kazi zao ni kutumia watu kusema au hata kufanya kazi chafu, wakati mwingine wakishamtumia mtu wanamtupa kama takataka. Tusiwalaumu sana wanaotumiwa pengine hawakua na hiyari ya kukataaNdugu zangu nawasalimu,
Naomba niwape maoni yangu kwa ufupi tu.
Tunaishi kwenye familia, jamii, taasisi mbalimbali, makundi rasmi na yasiyo rasmi.
Usikubali taasisi, mtu, watu, kikundi ama familia wakutumie kama chambo chakutekeleza ubaya walioudhamiria kwa mtu/watu/jamii fulani mwishoni watakugeukia na sura ya nyoka.
Watu wengi waliotumika kutekeleza ubaya fulani hadharani/kuzungumza huku wahusika wakuu wakijificha nyuma ya pazia huishia kugeukwa vibaya sana na mizigo ya lawama yote inabaki kwao.
Ukimaanisha???
End of thinking capacitypole mkuu kwakutumika ila nadhani umeyaona matokeo yake
anaejifunza kushauri ila safi sanaNdugu zangu nawasalimu,
Naomba niwape maoni yangu kwa ufupi tu.
Tunaishi kwenye familia, jamii, taasisi mbalimbali, makundi rasmi na yasiyo rasmi.
Usikubali taasisi, mtu, watu, kikundi ama familia wakutumie kama chambo chakutekeleza ubaya walioudhamiria kwa mtu/watu/jamii fulani mwishoni watakugeukia na sura ya nyoka.
Watu wengi waliotumika kutekeleza ubaya fulani hadharani/kuzungumza huku wahusika wakuu wakijificha nyuma ya pazia huishia kugeukwa vibaya sana na mizigo ya lawama yote inabaki kwao.
Unafanya nini? Wasalimu hukoNiko Koromije