Usihonge tena wanawake, ni chukizo mbele za Bwana

Mtumishi hongera sana kwa ujumbe wako lakini sio leo wala Jana suala la mapenzi na mwanaume kudumu na mwanamke mmoja limekuwa "impossible".

Kwenye maandiko Mungu alimwinua Daudi kuwa mfalme wa wayahudi, akatenda yaliyo MEMA mbele za Mungu na Watu lakini ni Daudi huyu huyu alipora mke wa mtu kwa kumuua mumewe.

Mungu alimwinua Sulemani na kuwa mfalme wa Israel na zaidi ya yote akampa "Hekima na busara" kushinda watu wote. Mungu akamwonya asioe wanawake wa "mataifa" lakini hadi anakufa alikuwa na mahusiano na wanawake zaidi ya elfu moja akiwamo "Malkia wa Sheba", mwanamke wa nguvu kutoka Ethiopia.

Kumbuka pia ya Samson na Derila. Nadhani ni vizuri uinjilishaji ukaweka mkazo katika kuwahamasisha watu wafanye kazi kwa juhudi kubwa na maarifa. Tatizo ktk jamii zetu waafrika sio zinaa wala ngono. Tatizo ni UMASKINI wa kipato na fikra. Hilo mkilikazania hata Zaka na Sadaka zitaongezeka mara dufu malangoni pa Yahweh.
"Bwana kama wewe ungalihesabu makosa ni nani angesimama? Lakini kwako Kuna msamaha ili wewe uogopwe "
 
Tujihadhari na mafundisho yapotoshayo kipindi iki cha nyakati za mwisho mwana wa adamu usikubali kamwe kupakwa mafuta kuwa eti ni dawa au kupewa sabuni na vitambaaa, ile ilikua mifano tuu katika biblia kutokana na hali halisi ya wakati huo. Kwa sasa ndugu zangu roho mtakatifu ndiye tunamhitaji ili atusaidie tupone na tupate upatanisho kwa Mungu.

USHAURI
USIKUBALI KAMWE KUTUMIA MAFUTA, MAJI, SAABUNI AU KITAMBAA ETI VINAUPAKO NAWE MTU WA MUNGU UNADANGANYWA KISHA UNATEMBEA KWA KUTAMBA UMEJAZA MAFUTA, MIFUKONI MWAKO NA KITAMBAA CHAKO ULICHOPEWA KANISANI UNAJIFUTIA JASHO ETI KIMEBARIKIWA. AMINI NA WAAMBIA MKIFANYA HIVO MMAJIJENGEA HALI YA KUABUDU madhabu ambayo aliyewapa kayaweka na Miungu yake hivyo mnaanza kuabudz VITAMBAA, MAJI na MAFUTA KULIKO MUNGU.

Jihadharini na mafundisho watu wa Mungu yapotoshayo.
 
Tujihadhari na mafundisho yapotoshayo kipindi iki cha nyakati za mwisho mwana wa adamu usikubali kamwe kupakwa mafuta kuwa eti ni dawa au kupewa sabuni na vitambaaa, ile ilikua mifano tuu katika biblia kutokana na hali halisi ya wakati huo. Kwa sasa ndugu zangu roho mtakatifu ndiye tunamhitaji ili atusaidie tupone na tupate upatanisho kwa Mungu.

USHAURI
USIKUBALI KAMWE KUTUMIA MAFUTA, MAJI, SAABUNI AU KITAMBAA ETI VINAUPAKO NAWE MTU WA MUNGU UNADANGANYWA KISHA UNATEMBEA KWA KUTAMBA UMEJAZA MAFUTA, MIFUKONI MWAKO NA KITAMBAA CHAKO ULICHOPEWA KANISANI UNAJIFUTIA JASHO ETI KIMEBARIKIWA. AMINI NA WAAMBIA MKIFANYA HIVO MMAJIJENGEA HALI YA KUABUDU madhabu ambayo aliyewapa kayaweka na Miungu yake hivyo mnaanza kuabudz VITAMBAA, MAJI na MAFUTA KULIKO MUNGU.

Jihadharini na mafundisho watu wa Mungu yapotoshayo.
Vema mtumishi mwema ubarikiwe sana
 
Mtumishi hongera sana kwa ujumbe wako lakini sio leo wala Jana suala la mapenzi na mwanaume kudumu na mwanamke mmoja limekuwa "impossible".

Kwenye maandiko Mungu alimwinua Daudi kuwa mfalme wa wayahudi, akatenda yaliyo MEMA mbele za Mungu na Watu lakini ni Daudi huyu huyu alipora mke wa mtu kwa kumuua mumewe.

Mungu alimwinua Sulemani na kuwa mfalme wa Israel na zaidi ya yote akampa "Hekima na busara" kushinda watu wote. Mungu akamwonya asioe wanawake wa "mataifa" lakini hadi anakufa alikuwa na mahusiano na wanawake zaidi ya elfu moja akiwamo "Malkia wa Sheba", mwanamke wa nguvu kutoka Ethiopia.

Kumbuka pia ya Samson na Derila. Nadhani ni vizuri uinjilishaji ukaweka mkazo katika kuwahamasisha watu wafanye kazi kwa juhudi kubwa na maarifa. Tatizo ktk jamii zetu waafrika sio zinaa wala ngono. Tatizo ni UMASKINI wa kipato na fikra. Hilo mkilikazania hata Zaka na Sadaka zitaongezeka mara dufu malangoni pa Yahweh.
"Bwana kama wewe ungalihesabu makosa ni nani angesimama? Lakini kwako Kuna msamaha ili wewe uogopwe "
Mpendwa mungu akubariki, naungana na wewe kwenye maoni yako
Hata hivyo hatupaswi kuchoka kukemea dhambi, dhambi ya uzinzi imewaangusha wengi katika historia ya ulimwengu huu enzi na enzi, wengine ni miongini mwa watu ambao MUNGU aliwategemea sana lakini wakaanguka kwa uzinzi

Pia nawajua wachungaji wenzangu hapa kanisani kwetu walioanguka dhambini kwa uzinzi tena na wake za watu, wapo waliotubu wakasamehewa, ila kanisa limewaondoa katika kazi ya utume ya uchungaji kama damage control kwa image ya kanisa, wapo waliofutwa ushirika na kufukuzwa

Pamoja na yote hayo kwa mujibu wa mafundisho hakuna execuse ya kufanya uzinzi, maandiko yapo wazi, tuwahubiri watu kuacha dhambi ikiwemo uzinzi, tufuate fundisho la Biblia kuhusu ndoa

Dhambi zote unazoziona leo zilikuwepo pia wakati huo wa akina Daudi, kuchagua njia ya MUNGU kunahitaji maamuzi magumu, kuikana nafasi, bila hivyo tutashindwa kuiona mbingu
 
Tunashukuru kwa ujumbe mzuri unaogusa maisha ya wsnadamu wa dunia ya leo.lkn kumbuka kutuombea kwan mapenzi ni kitu kinachotawala sana akiri zetu wanadamu
 
Aziniye na mwanamke ni mjinga kabisa, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
 
Je ni kutunza mke tu ndio kunakubalika? ama mchumba? naomba unisaidie hapo pastor.
Vema mtumishi mwema naomba nikusaidie swali lako

Ipo hivi, Biblia inatambua mke na Mchumba, haitambui mpenzi,
Uchumba kwa tafsiri ya Biblia ni kile kipindi cha matayarisho kuelekea ndoa, posa ikiwa tayari imeshatolewa, na mahari pia imetolewa au iko mbioni kutolewa na pande zote zinafaham
Ngono hairuhusiwi katika kipindi cha Uchumba
Uchumba kwa mantiki niliyoeleza hapo, Mchumba anaweza kuhudumiwa na mwenzake kwa kuhongwa

Ila Uchumba kwa maana ya jina tu, kijana hujafika kwao na msichana, wala hawakufahamu, mnafahamiana nyinyi wawili tu, mnaitana kwenye mageto, pengine na ngono mnafanya, huo sio Uchumba bali ni ukengeufu, ni uzinzi
 
Pastor...mi ningekushauri kwanza uwaombee wenzio wa makanisani wenye kuvunja ndoa za watu wakina mama wanakuja kuimba kwaya mara ma pastor mnawatamani. Cha pili ni wale mapadre wa kuwalawiti watoto wa kiume wanahitaji maombi mnatakiwa kunyesha mfano kwanza kabla ya kuja kwetu.Amen...nimemaliza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom