Usibishe huu ndo ukweli

i see kwa urefu huo nenda kiwandani kaagize kitanda special maana vitanda sita kwa sita huwezi kulala
 
Habari za jumapili wana JF I hope iko poa

Hivi kwa nini wanawake wengi ni wafupi hivoo jamani ?asilimia 85% ya wanawake ni wafupi.
Mimi Nina urefu wa Futi 6.8 wanawake kama hawa ukiwatafuta hapa Tanzania wanahesabika labda wanywaruanda ndo warefu wanawake wengi range yao ni Futi 4.5,5.5, mpka 5.8 sasa Mimi Nina Futi 6.8 Nina msichna Wang ana Futi 5.8 wewe huoni nmemuacha sana???. Kwa nini wanawake hamrefuki???
HELLO MADAMU,UKO SAHIHI,WATAALAMU WA PSYCHOLOGY WANAASEMA HIVI WATU WAFU WENGI WAO HAWANA AKILI,AF HUWA HAWANA SIRI,HAWAJIAMINI,KWAHIYO WANAWAKE WALIOWENGI HAWANA AKILI ZA KUTSHA,WENYE AKILI NI WACHACHE SANA,NAJUWA MTACHARUKA NAKUTUKANA ,NASEMA WENYE AKILI NI WACHACHE SANA DUNIANI,BAHATI YANGU MIMI MAMA YANGU ANA AKILI SANA,
 
Duuh! Unatafuta msichana mrefu hivyo ili iweje?
Mzee wangu ni 6.5 na mama 4. Na tumetoka height nzuri tu... Mdogo angu wa kiume ni 6.0
Anyway! Ni preference ya mtu. Nna cousins wakike wenye 6. Warefu wapo mkuu
 
Kiufupi watanzania ni wafupi especially wa kanda za pwani uko ni wafupi sana warefu wengi wanapatikana kanda ya ziwa rukwa kidogo na arusha

Ila kiusawa mwanamke hatakiwi kuwa mrefu sana zaidi ya mwanaume hata ukiangalia wazungu utakuta asilimia kubwa ya wanawake ni wafupi kulinganisha na wanaume
Yeye kajiona mrefu haangalii wanaume wenzake vimo vyaoooo?! Yaani mdada ukiwa na hata 5.8 asilimia kubwa ya wanaume unaokutana nao unajikuta umewapita urefu! Yaani mimi ndo sijawai kua na mwanaume mrefu zaidi yangu
 
Duuh! Unatafuta msichana mrefu hivyo ili iweje?
Mzee wangu ni 6.5 na mama 4. Na tumetoka height nzuri tu... Mdogo angu wa kiume ni 6.0
Anyway! Ni preference ya mtu. Nna cousins wakike wenye 6. Warefu wapo mkuu
Hyo cousin wako ananifa hyo VIP ameolewa au yupo available?
 
Habari za jumapili wana JF I hope iko poa

Hivi kwa nini wanawake wengi ni wafupi hivoo jamani ?asilimia 85% ya wanawake ni wafupi.
Mimi Nina urefu wa Futi 6.8 wanawake kama hawa ukiwatafuta hapa Tanzania wanahesabika labda wanywaruanda ndo warefu wanawake wengi range yao ni Futi 4.5,5.5, mpka 5.8 sasa Mimi Nina Futi 6.8 Nina msichna Wang ana Futi 5.8 wewe huoni nmemuacha sana???. Kwa nini wanawake hamrefuki???
Swali lako halina tija kama unaweza muulize muumba kwa sababu wewe huwezi kuumba hata sisimizi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom