Ushauri: Tundu Lissu ateuliwe naibu Waziri wa Katiba na Sheria

Mtataaaaaaniiiiiiii tumia ubongo kufikiri achaaaaa, tafuta clip ya Lissu usikilize vizuri, hao acacia hawataki hata kusikia neno Lissu.
Je,ni Watanzania wote wanaelewa hivyo? Nini kifanyike tusidanganywe tena na hawa wadau wetu kwenye mikataba mibovu?
 
[HASHTAG]#RipotiYaKwanza[/HASHTAG]

Lissu: Tusihangaike na udongo, tuhangaike na mikataba na sheria mbovu za madini zilizotufikisha hapa. Tuangalie tulipojikwaa, tusiangalie tulipoangukia.

CCM: Lissu analinda wezi. Mikataba na sheria za madini hazina shida. Shida ipo kwenye udongo wenye makinikia. Tumeibiwa sana kwenye udongo. Hatukubali.

[HASHTAG]#RipotiYaPili[/HASHTAG]

JPM: Tumelogwa na nani? Watanzania tumeibiwa sana. Naagiza mikataba yote na sheria zote za madini zipitiwe upya.

CCM: Rais wetu mzalendo. Amefanya kazi kubwa sana. Tumuombee.!!

[HASHTAG]#MyTake[/HASHTAG]:
Lugha ileile aliyoongea Lissu akaambiwa amehongwa, ndiyo aliyoongea JPM leo akaitwa mzalendo. Akili za CCM kama kifurushi cha jaza ujazwe .!!!! C & P
Mkuu nimekuelewa
 
Kwanza huyu mtu inabidi afungwe kabisa... Na mzee ameshasema alete kelele ata deal nae effectively
Mkuu mchumia tumbo, husisahau Hakuna alie juu ya sheria no matter uko na position gani kwa mujibu wa katiba yetu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ila sishangai ninyi wenzetu hampendi kuishi ndani ya katiba ninyi ni matamshi tu yakuufuraisha umma,kimya nalo ni jibu mkuu kwa muelewa emu tufike Mahala izi siasa za mitandaoni na kuchafuana, kufehedheshana tuache tudeal na changamoto zinazotukabili Kama taifa
 
Shaaaaaaaa!!! Wewe ndio ulinipeleka Lumumba!?

Endeleeni kumtetea yeye bahasha za makinikia amekaa anafikiria arudishe au iweje... eeeeeh

Kawekewa kiporo, bora abadilike au analo
Akili ndogo kama zako huwezi kumuelewa Lissu
 
Ndiyo akili yako ilipoishia mkuu jitafakari sana unaangamia mazima

Ha ha ha haaaaa

Usinipangie mimi kuwa mfata mkumbo, yangu yanakugusia nini. Wewe ni kituko na sibadilishwi...mimi nasimamia nachoamini kama hupendi usinisome tundu la sindano weye.
 
Ndiyo akili yako ilipoishia mkuu jitafakari sana unaangamia mazima

Imebidi nirudi nikuambie kuwa unaandika kama vile unamwandikia swaiba wako...kujifanya kujali huku hatujuani na tumo kwenye forum. Neno kuangamia mazima kwanini usianze kujiambia mwenyewe kwa sababu unajua ni kuangamiaje kwa unachodai...
 
Imebidi nirudi nikuambie kuwa unaandika kama vile unamwandikia swaiba wako...kujifanya kujali huku hatujuani na tumo kwenye forum. Neno kuangamia mazima kwanini usianze kujiambia mwenyewe kwa sababu unajua ni kuangamiaje kwa unachodai...
kwani wapi niliposema mimi nakujua au nakujali mtu kama wewe mtu wa karne ya 21 unayewaza mawazo ya karne 15 ukweli ni kwamba mnaangamia na sijuti kutokukujua mtu kama wewe maana ningekujua ningejiumiza nafsi yangu bure
 
Back
Top Bottom