Ushauri: Nina shida ya kutokuwa mchangamfu

Kweli kabisa siko social sana hata nikiwepo najitenga sana na kujidharau
Oh poleh,kwanza jua tu kila binadamu anapitia hatua km yako at some ppw,kujua tatizo ni ushalisolve nusu
Nilikuwaga hivo miaka ya nyuma,Anza tu kujimix mtaani,shuleni km bado unasoma, ofisini, harusini, nk
Ktk kuongeza confidence jali mwonekano wako pia mwili uwe na harufu nzuri au basi walau usinuke utakua free mbele za watu,baada ya muda utakua kawaida tu utazoea
 
Kwanza nakuomba futa neno kujidharau kwenye akili yako wewe ni wa kipekee mno wewe ni maalum (unique & special)imagine ni mamilioni mangapi ya vijana kama wewe wanatamani wawe kama wewe una bundle una simu hapo ulipo umeoga umevaa nguo nzuri (si lazima ziwe za gharama)una huu muda mzuri tunabadilishana mawazo kama hivi...USIJIDHARAU
wakumbuke walioko mitaani saa hii hawajui watalala wapi
Wakumbuke waliokosa mahospitalini sasa hivi wanaugua magonjwa ya ajabu wakumbuke ambao muda huu wanaenda mitaani kutafuta pesa kwa njia zozote zile
Wakumbuke walioko vitani
Wakumbuke walio maskini na fukara wasioweza kumiliki hata simu ya bei poa
USIJIDHARAU itakujengea inferiority complex

Ushauri mzuri mnooo barikiwa sana kaka!!!
Hata lile wazo nililokua nalo la kukutafuta ili unisaidie kumpiga juju father house asidai kodi yake nimelifuta
 
Hii thread ni kama ilianzishwa kwa ajili

Mfano mda mwingine huwa najiona kama nipo peke yangu kwenye ulimwengu wangu......... Sinaga hobby kabisa ya kusalimiana na watu, ni kama vile hakuna mtu wa dizaini yangu!
 
Hii thread ni kama ilianzishwa kwa ajili

Mfano mda mwingine huwa najiona kama nipo peke yangu kwenye ulimwengu wangu......... Sinaga hobby kabisa ya kusalimiana na watu, ni kama vile hakuna mtu wa dizaini yangu!
acha ubinafsi
problem solved...
 
Sidhani kama nina ubinafsi

Ila thank you!
ubinafsi haimaanishi kama unavofikiria wewe
ubinafsi ni hio tabia ulio nayo
unajinyima haki zako wewe mwenyewe ujue,.
jaribu kujibadilisha maana unatamani kuwa kama watu fulani labda
itabidi uwe kama unavotaka kwa 7bu utaufanya moyo wako uwe na amani na utakua ok na kila mtu na vitu vingine vitajiset vyenyewe ...
usijinyime kile utakacho au unachoona kuwa bora
uliza moyo wako unataka nini
ukishajua
basi upe moyo utakacho na amani yako na mengineyo yatakaa mahala pake!
 
Hii thread ni kama ilianzishwa kwa ajili

Mfano mda mwingine huwa najiona kama nipo peke yangu kwenye ulimwengu wangu......... Sinaga hobby kabisa ya kusalimiana na watu, ni kama vile hakuna mtu wa dizaini yangu!
Itaendelea kukutokea hiyo hali lakini usiiendekeze halafu itakuja kuisha kabisa utakapokuwa na familia na majukumu then itakuja kujirudia uzeeni...it's too natural
 
ubinafsi haimaanishi kama unavofikiria wewe
ubinafsi ni hio tabia ulio nayo
unajinyima haki zako wewe mwenyewe ujue,.
jaribu kujibadilisha maana unatamani kuwa kama watu fulani labda
itabidi uwe kama unavotaka kwa 7bu utaufanya moyo wako uwe na amani na utakua ok na kila mtu na vitu vingine vitajiset vyenyewe ...
usijinyime kile utakacho au unachoona kuwa bora
uliza moyo wako unataka nini
ukishajua
basi upe moyo utakacho na amani yako na mengineyo yatakaa mahala pake!
Asante mkuu... Ngoja nianze kuufanyia kazi huu ushauri taratibu!
 
Una umri gani ndugu yangu,
Uchangamfu wa mtu huletwa na mambo mengi. Mosi Hujiamini.

Kujiamini ni tiba pekee ya tatizo linalokukabili. Ikiwa utafanikiwa kuongeza hali ya kujiamini itakuwa mchangamfu sana.

Kwanini nasema hivi!!
Unapokuwa mbele za watu Mara nyingi huwa unakuwa muoga wa kuchangia aidha made inayozungumzwa kutokana na hofu na kutokujiamini kwako kulikopitiliza kiasi kwamba unahisi utakachokisema au kukitenda hakitapokewa au kukubaliwa na wengine.

Unataka nikusaidie!! Nitafute PM
 
Tumia huo muda kujaza madini kichwani.

Soma sana vitabu na ujifunze mambo mbalimbali ya dunia hii.

Usilazimishe kuishi maisha ambayo siyo yako, utaumia.
 
Utakuwa una sononi.
Jaribu kujichanganya na watu.Mpende mola zaidi.Shiriki matukio ya kijamii.
 
Mkuu nimependa ushauri wako hili tatizo linatukumba wengi kwa faida ya wote naomba uweke mambo hadharani tufaidike jaman

Una umri gani ndugu yangu,
Uchangamfu wa mtu huletwa na mambo mengi. Mosi Hujiamini.

Kujiamini ni tiba pekee ya tatizo linalokukabili. Ikiwa utafanikiwa kuongeza hali ya kujiamini itakuwa mchangamfu sana.

Kwanini nasema hivi!!
Unapokuwa mbele za watu Mara nyingi huwa unakuwa muoga wa kuchangia aidha made inayozungumzwa kutokana na hofu na kutokujiamini kwako kulikopitiliza kiasi kwamba unahisi utakachokisema au kukitenda hakitapokewa au kukubaliwa na wengine.

Unataka nikusaidie!! Nitafute PM
k
 
Mleta mada umegusa sana life stlye yangu kwa % kubwa yaani tabia yangu ni kama yako kabisa afu kubwa Zaidi mimi kuongea mbele za watu huwa nashindwa nilikuwa napata shida sana wakati wa presentation mdomo unakuwa mzito kabisaa
Nimejaribu kujimix na watu nimeshindwa cz mimi siyo mtu wa story sina marafik chuo mtaani mda wote nipo kivyangu yaani ni vingi napitia
Ndugu mshana nashukuru kwa ushauri wako atleast nimepata kitu
Tunaomba wadau wengine mtupe ushauri nini tufanye Zaidi kuepuka hii hali
 
Kwanza nakuomba futa neno kujidharau kwenye akili yako wewe ni wa kipekee mno wewe ni maalum (unique & special)imagine ni mamilioni mangapi ya vijana kama wewe wanatamani wawe kama wewe una bundle una simu hapo ulipo umeoga umevaa nguo nzuri (si lazima ziwe za gharama)una huu muda mzuri tunabadilishana mawazo kama hivi...USIJIDHARAU
wakumbuke walioko mitaani saa hii hawajui watalala wapi
Wakumbuke waliokosa mahospitalini sasa hivi wanaugua magonjwa ya ajabu wakumbuke ambao muda huu wanaenda mitaani kutafuta pesa kwa njia zozote zile
Wakumbuke walioko vitani
Wakumbuke walio maskini na fukara wasioweza kumiliki hata simu ya bei poa
USIJIDHARAU itakujengea inferiority complex

Hiyo iko poa mkuu
 
Back
Top Bottom