Hello habari za majukumu!
Niliajiriwa serikalini (kama mwalimu)miaka miwili iliyopita lakini baada ya miezi 6 nikaacha kazi si kwa kupenda ila kutokana na mazingira magumu ya kazi na kujikuta mshahara wote unaishia kwenye pango la nyumba, nauli ya kwenda na kurudi kazini. Maana shule haikuwa jirani na nyumba za kupanga Wala Haina nyumba za walimu
Hivyo niliwasilisha lalamiko langu kwenye ofisi husika lakini wakawa wananiambia hata sisi tulianza hivyohivyo daah nikaona sio case hivyo nikaamua kuacha kazi na kuendelea na maisha mengine
Sasa kwa saivi baada ya uhakika wa KIPATO takribani mara mbili ya mshahara nataka nirudi mzigoni
Hapa utaratibu ukoje wakuu ,naweza kukubaliwa ? Japo nimefanya mawasiliano na TSD kwamba inabidi niende nikajieleze Ili waangalie utaratibu kama wakurudishwa kazini upo
Sasa kwa walio experience hali kama hii au Kuna mtu unajua ashawahi kupitia kipindi kama changu ALIWEZAJE kupenya? Je Ili niweze kupenya nitumie mbinu gani ?
Maana saivi nipo dar es salaam lakini kituo changu Cha kazi ni rukwa nahofia kuondoka na kuuza vitu vyangu kwa hasara kuwa naenda kazini afu nikafika huko nikakataliwa
si msaala huu
Niliajiriwa serikalini (kama mwalimu)miaka miwili iliyopita lakini baada ya miezi 6 nikaacha kazi si kwa kupenda ila kutokana na mazingira magumu ya kazi na kujikuta mshahara wote unaishia kwenye pango la nyumba, nauli ya kwenda na kurudi kazini. Maana shule haikuwa jirani na nyumba za kupanga Wala Haina nyumba za walimu
Hivyo niliwasilisha lalamiko langu kwenye ofisi husika lakini wakawa wananiambia hata sisi tulianza hivyohivyo daah nikaona sio case hivyo nikaamua kuacha kazi na kuendelea na maisha mengine
Sasa kwa saivi baada ya uhakika wa KIPATO takribani mara mbili ya mshahara nataka nirudi mzigoni
Hapa utaratibu ukoje wakuu ,naweza kukubaliwa ? Japo nimefanya mawasiliano na TSD kwamba inabidi niende nikajieleze Ili waangalie utaratibu kama wakurudishwa kazini upo
Sasa kwa walio experience hali kama hii au Kuna mtu unajua ashawahi kupitia kipindi kama changu ALIWEZAJE kupenya? Je Ili niweze kupenya nitumie mbinu gani ?
Maana saivi nipo dar es salaam lakini kituo changu Cha kazi ni rukwa nahofia kuondoka na kuuza vitu vyangu kwa hasara kuwa naenda kazini afu nikafika huko nikakataliwa

