mussajonas
New Member
- May 10, 2024
- 3
- 1
Nahitaji kurudia mitihani ya kidato cha nne katika michepuo ya sanyansi. Naombeni msaada wapi nitapata walimu wazuri.
Unaishi mkoa upi? Kama dsm unaishi wapi?Nahitaji kurudia mitihani ya kidato cha nne katika michepuo ya sanyansi. Naombeni msaada wapi nitapata walimu wazuri.
Nipo mwanzaUnaishi mkoa upi? Kama dsm unaishi wapi?
Nipo seriously broKama upo serious nikuunganishe na shule arusha ukasome upate cheti chako kirahisi sana na uhakika katika mfumo unaotambulika na necta lakini pia mitihani ni ya kimataifa
Piga simu hapa +255 759 347 943 mwambie unataka kurudia masomo ya sayansi O LEVEL. atakusaidia kukuelezea kila kitu mimi mwenyewe nimepitia mfumo huo huo ni njia rahiss sana nadhani watu wengi wangekuwa wanajua nina uhakika wengi sana wangejiunga na huo mfumo ndani ya miezi sita mwaka mmoja unapata cheti chakoNipo seriously bro