TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,738
- 24,235
Hujanielewa kabisa asee!!
Alafu soma paragraph yangu ya mwisho kwenye post ilopita.
Mie sio mnazi wa tbc lkn sio kweli kwamba wanatimua camera moja, hakuna kitu km hicho, labda uje twende tukawatembelee.
Alafu soma paragraph yangu ya mwisho kwenye post ilopita.
Mie sio mnazi wa tbc lkn sio kweli kwamba wanatimua camera moja, hakuna kitu km hicho, labda uje twende tukawatembelee.
Sasa unakuta camera yenyewe ni moja, na hawatumii visogezi (camera inaratibiwa kwa mikono "manually operated") halafu utegemee mchanganya picha afanye yatakiwayo! Hapana, haiwezekani na ni ajabu saaana, kupata matokeo chanya. Hicho kitu wanachokifanya walitakiwa waandae vyema studio yao ili tuweze kuona vitu vizuri. Ndio maana wanachokifanya sisi tunaona kituko. Hapa watasingizia uhaba wa fedha, hivi ni pesa kiasi gani wanatengewa kila mwaka, hapa utakuta hawana mikakati ya kulikamata soko, wapo wapo tu, wanasubiri mwisho wa mwezi ATM iteme.