Patamu hapo!!Akili kumkichwa akizubaa ameliwa
Mwambie huyo "shosti" wako aache uduwanzi...... atumie akili na atambue thamani yake
Hivi kuna watu akili zao ziko wapi. Mwambie huyo rafiki yako asiwe mjinga. Mjini hapa
Hahaha kweli mini hapaAcha aliwe si mjini hapa.
Mie ndo nashangaaa kikongwe kama huyu bado anang'aa sharubu mpaka leo.
Hahaha kweli mini hapa
Mie ndo nashangaaa kikongwe kama huyu bado anang'aa sharubu mpaka leo.