Ushauri; Jipu limejitokeza sehemu za siri, tiba yake ni nini?

Jipu sehemu za siri ni moja ya dalili za..... Wahi kapime na damu mkuu
 
Acha uwoga nenda hospitali wewe. Sasa si bora waumwa kwa mbele. Ungeumwa kwa makalio ingekuwaje upate picha dokta mwanaume mwenzio wabong'oa akukague ni hatari. Maana dunia yenyewe ishalala Yombo.
 
Acha uwoga nenda hospitali wewe. Sasa si bora waumwa kwa mbele. Ungeumwa kwa makalio ingekuwaje upate picha dokta mwanaume mwenzio wabong'oa akukague ni hatari. Maana dunia yenyewe ishalala Yombo.
 
Ni hatari sana, nenda hospitali ukapate ushauri na tiba. Ukisikiliza maneno ya mitaani utaangamia
 
nitumie picha pm mkuu nijue cha kufanya
uwanja wa vita umevamiwa huo! silaha za maangamizi zipo hatarini
 
Wahi hospital achana na tiba za nyumbani usizokua na uhakika nazo, umuhimu wa hicho kiungo hatuna haja ya kueleza hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom