Upweke unanitesa, nahitaji mpenzi wa kunifariji

Siku hizi mnajirahisisha kwa kusema mna upweke na mambo kadhaa, ila nia ni kuolewa tu hakuna lingine hapo.

Maneno mengiiii si ungesema unataka kuolewa na unatafuta mtu mwenye sifa kadhaa, mtakoma awamu hii kila mtu ana stress sio wewe tu.

Komaa na hali yako acha kuweka matangazo
 
Well said mkuu ndo maana mm nimeamua kutulia mpaka mungu atakaponipa furaha
watu wanashindwa kuelewa mungu ndio anayetoa faraja muombe akupe lakini si kwa jitihada zako eti useme ukipata wa namna hii ntakuwa nafuraha.


Hivi hujaona mtu anakwambia nikiwa na kwangu ntakuwa na furaha kweli ,kesho mungu anampa kwake cha ajabu ukiendq kumwangalia majanga tele mpaka anajuta
 
watu wanashindwa kuelewa mungu ndio anayetoa faraja muombe akupe lakini si kwa jitihada zako eti useme ukipata wa namna hii ntakuwa nafuraha.


Hivi hujaona mtu anakwambia nikiwa na kwangu ntakuwa na furaha kweli ,kesho mungu anampa kwake cha ajabu ukiendq kumwangalia majanga tele mpaka anajuta
Kweli Kabisa kikubwa kumuomba mungu akupe furaha na sio kuitegemea furaha kutoka kwa binadamu mwenzio
 
Samahani kwa ushauri huu, ila dadangu! Furaha zako hazitoki kwa yeyote bali ni ndani yako wewe mwenyewe. Jifunze kujisikia furaha, punguza matamanio, jikubali, jiamini uko vizuri. Hata huyo unaetaka aje akupe furaha atajisikia vizuri na wepesi kama atakukuta ukiwa na furaha.

Lingine, wanawake kumbukeni si jukumu lenu kupenda, wala wanaume kwenu hata hatuhitaji kupendwa nanyi, MTUTII tu basi. Jifunze kutii, hapa ni kwa vyote avipendavyo mwenza wako. Jifunze mengi ayapendayo, kuwa muelewa nk. Thawabu za utii wako kwa mwanaume ni kupendwa naye. Utekelezaji mwema.
 
furaha haitafutwi inakuja yenyewe automatical.....kama umeshindwa kupata amani ya moyo na furaha usitegemee mtu atakuletea furaha yaandae maisha yako yawe ya furaha......ukishindwa hapo tafuta upendo wa mungu
 
Furaha yako inaanza na wew mwenyew dear uctegemee mtu kama lazma uwe na boyfrnd kua strong tafta kitu cha kukuweka busy set goals ambazo utaamka nazo everyday ignore kila kinachokupa huzun amka na furaha na confidence vaa pendeza tembea kwa kwa furaha omba mungu kwa bidii atakupa what u deserve
 
Teh teh ulikuwa hujaleewa
Wewe mjukuu ulinitukana juzi...adhabu yako nenda zunguka tafuta sehemu uliyonitukana kisha ukanushe hayo matusi la sivyo ukija kwqngu nakuchapa na bakora.
 
kuna haja ya kutoa darasa jinsi ya umaliziaji wa post... yaan kila atakayetoa mada mwishoni asipotukana basi atajihami kivyovyoye vile..!!!
 
3e503cc1e502a297d75171a89d6ba3ee.jpg

Acha kupunguza umri mkuu sema kwel ili mungu akupe kiukweli
[HASHTAG]#duh[/HASHTAG]!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom