Upunjaji wa Mafuta Kituo Cha Mbezi Kwenda Goba

Nimekuwa nikiweka mafuta mara nyingi sana kwenye hiko kituo cha mafuta kilichopo njia ya Kutoka Mbezi kuelekea Goba, kwa kipindi cha nyuma sikuwahi kuona tatizo.

Kama wiki 2 zimepita niliweka mafuta asubuhi ya sh 10,000/- ambayo kwa kawaida ninaendesha kama 50 km kama hakuna foleni, bahati mbaya sana gari ilizima baada ya kama km 29. Nikajua labda hesabu zangu siyo.

Sasa nielewe kuwa hili limeanza kama wiki mbili tatu hadi sasa.
Kwa mfano niliweka mafuta vituo tofauti katika kata ninayoishi nikagundua ni kama wameambizana kupunguza ujanzo.

Mkuu ukinisoma juu pale kwenye thread nimeandika kwamba tatizo limejitokeza ndani ya wiki 2 hizi, kwa kweli sikuwahi kuona tatizo siku za nyuma.
 
Mwanzoni pia katika kituo hicho, walikuwa wanaongeza maji kwenye mafuta. Inabidi Kuwa waangalifu sana. Nafikiri vituo vingi siyo vya kuaminika..
 
Nimekuwa nikiweka mafuta mara nyingi sana kwenye hiko kituo cha mafuta kilichopo njia ya Kutoka Mbezi kuelekea Goba, kwa kipindi cha nyuma sikuwahi kuona tatizo.

Kama wiki 2 zimepita niliweka mafuta asubuhi ya sh 10,000/- ambayo kwa kawaida ninaendesha kama 50 km kama hakuna foleni, bahati mbaya sana gari ilizima baada ya kama km 29. Nikajua labda hesabu zangu siyo.

Leo nikaenda tena nikamwambia jamaa kuhusu hilo swala, akaniuliza tu kama dashboard yangu inasoma vizuri nikamwambia ndiyo, nikaweka tena sh 10,000/- story ikawa ile ile.

Inaweza kuwa tatizo ni gari langu lakini ningependa kutoa angalizo kwa watumiaji wengine wa hiyo center wawe makini. Cha kushangaza nikiweka mafuta vituo vingine hili tatizo sikutani nalo.
Mkuu mbezi ipi kuelekea goba?si dhambi ukikitaja kwa jina hicho kituo tukakijua kama kilivyotajwa oilcom kwenye kashfa zake.
 
Mkuu mbezi ipi kuelekea goba?si dhambi ukikitaja kwa jina hicho kituo tukakijua kama kilivyotajwa oilcom kwenye kashfa zake.

Mkuu jina hata silikumbuki, siyo haya majina common. Ukisoma thread utaona jinsi nilivyoelekeza mahali kituo kilipo.
 
Mkuu jina hata silikumbuki, siyo haya majina common. Ukisoma thread utaona jinsi nilivyoelekeza mahali kituo kilipo.
Mkuu nimesoma zaidi ya mara tatu hapo mbezi kuelekea goba ni mbezi ya kimara au hii mbezi beach?kama ni ya kimara ni kile kilichochoka kushoto ukitokea Kimara?
 
Mkuu nimesoma zaidi ya mara tatu hapo mbezi kuelekea goba ni mbezi ya kimara au hii mbezi beach?kama ni ya kimara ni kile kilichochoka kushoto ukitokea Kimara?

Ni Mbezi ya Kimara mkuu kama unaenda Goba, kuna hii njia imewekewa lami siku za karibuni inaenda mpaka Tangi Bovu. Kiko kama km 6 kutokea Mbezi kabla ya kufika Goba Center, kiko upande wa kushoto.
 
Ni Mbezi ya Kimara mkuu kama unaenda Goba, kuna hii njia imewekewa lami siku za karibuni inaenda mpaka Tangi Bovu. Kiko kama km 6 kutokea Mbezi kabla ya kufika Goba Center, kiko upande wa kushoto.
Nimekuelewa vizuri mkuu napita kila siku,nilishawahi kukutana na hiyo hali nikajua ni mm tu Progress langu linakunywa wale ni wezi kweli.
 
Nimekuelewa vizuri mkuu napita kila siku,nilishawahi kukutana na hiyo hali nikajua ni mm tu Progress langu linakunywa wale ni wezi kweli.

Kuna umuhimu wa EWURA kuwa na email au njia ambazo wanaweza kufikishiwa malalamiko kama haya.
 
Back
Top Bottom