Upinzani nchini umekosa uelekeo kabisa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
9,324
12,575
ukata wa fedha, sera na mikakati mibovu isiyo na tija ya kuwaunganisha wanachama wao imekua ni chanzo cha kuzorota kwa hamasa katika harakati zao mitandaoni na mtaani.

maandamano yamekosa mvuto kabisa, chaguzi za ndani ya vyama vya kisiasa hata haijulikani zipo, zimeisha au bado zinaendelea....

madai na malalamiko ya upinzani kuhusu mathalani, katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na ugumu wa maisha yamezoeleka sana na waTanzania walio wengi hawajavutiwa na hoja hizo. Uelewa na ufahamu wa waTanzania ni mkubwa na kwamba bidii katika kufanya kazi ni msingi wa kuondokana na ugumu wa maisha na sio stori na porojo au vinginevyo..

Na kazi nzuri sana na kubwa mno inayofanywa na serikali chini ya DR Samia Suluhu Hassan, katika kushughulika na mambo hayo imeleta pumzi, ishara, matumaini na matarajio mapya kwa wanainchi..

Hali hiyo imefanya uelekeo wa pamoja upinzani kua shakani. Na sasa hivi hawakosoani tena kupitia vikao vya ndani, bali majukwaa ya kisiasa ndio platform ya kuelezana mistakes na blunders za nyuma na za sasa, za kisiasa ndani ya vyama....

kuna hatari ya upinzani kubomoka na kusambaratika zaidi endapo ungwana, hekima na busara, miongoni mwao hasa viongozi wa andamizi isipochukua nafasi yake, tunapoelekea chaguzi zijazo...

Tz Requires Vibrant Opposition 🐒
 
ukata wa fedha, sera na mikakati mibovu isiyo na tija ya kuwaunganisha wanachama wao imekua ni chanzo cha kuzorota kwa hamasa katika harakati zao mitandaoni na mtaani.

maandamano yamekosa mvuto kabisa, chaguzi za ndani ya vyama vya kisiasa hata haijulikani zipo, zimeisha au bado zinaendelea....

madai na malalamiko ya upinzani kuhusu mathalani, katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na ugumu wa maisha yamezoeleka sana na waTanzania walio wengi hawajavutiwa na hoja hizo. Uelewa na ufahamu wa waTanzania ni mkubwa na kwamba bidii katika kufanya kazi ni msingi wa kuondokana na ugumu wa maisha na sio stori na porojo au vinginevyo..

Na kazi nzuri sana na kubwa mno inayofanywa na serikali chini ya DR Samia Suluhu Hassan, katika kushughulika na mambo hayo imeleta pumzi, ishara, matumaini na matarajio mapya kwa wanainchi..

Hali hiyo imefanya uelekeo wa pamoja upinzani kua shakani. Na sasa hivi hawakosoani tena kupitia vikao vya ndani, bali majukwaa ya kisiasa ndio platform ya kuelezana mistakes na blunders za nyuma na za sasa, za kisiasa ndani ya vyama....

kuna hatari ya upinzani kubomoka na kusambaratika zaidi endapo ungwana, hekima na busara, miongoni mwao hasa viongozi wa andamizi isipochukua nafasi yake, tunapoelekea chaguzi zijazo...

Tz Requires Vibrant Opposition 🐒
Usikitumie choo ndotoni utakuny kitandani
 
ukata wa fedha, sera na mikakati mibovu isiyo na tija ya kuwaunganisha wanachama wao imekua ni chanzo cha kuzorota kwa hamasa katika harakati zao mitandaoni na mtaani.

maandamano yamekosa mvuto kabisa, chaguzi za ndani ya vyama vya kisiasa hata haijulikani zipo, zimeisha au bado zinaendelea....

madai na malalamiko ya upinzani kuhusu mathalani, katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na ugumu wa maisha yamezoeleka sana na waTanzania walio wengi hawajavutiwa na hoja hizo. Uelewa na ufahamu wa waTanzania ni mkubwa na kwamba bidii katika kufanya kazi ni msingi wa kuondokana na ugumu wa maisha na sio stori na porojo au vinginevyo..

Na kazi nzuri sana na kubwa mno inayofanywa na serikali chini ya DR Samia Suluhu Hassan, katika kushughulika na mambo hayo imeleta pumzi, ishara, matumaini na matarajio mapya kwa wanainchi..

Hali hiyo imefanya uelekeo wa pamoja upinzani kua shakani. Na sasa hivi hawakosoani tena kupitia vikao vya ndani, bali majukwaa ya kisiasa ndio platform ya kuelezana mistakes na blunders za nyuma na za sasa, za kisiasa ndani ya vyama....

kuna hatari ya upinzani kubomoka na kusambaratika zaidi endapo ungwana, hekima na busara, miongoni mwao hasa viongozi wa andamizi isipochukua nafasi yake, tunapoelekea chaguzi zijazo...

Tz Requires Vibrant Opposition 🐒
Sawa hayo maoni yako!

Ungekua was kufa ungekufa kipindi Cha chuma !!

Hoja za lisu umemsaidia nape kuzijibu!!?

Kama upinzani ni dhaifu mbona katiba ambalo ni takwa la wananchi na dola tunakataa kuandika!!?Mama anakwepa kuandika kwanini!!?
 
Sawa hayo maoni yako!

Ungekua was kufa ungekufa kipindi Cha chuma !!

Hoja za lisu umemsaidia nape kuzijibu!!?

Kama upinzani ni dhaifu mbona katiba ambalo ni takwa la wananchi na dola tunakataa kuandika!!?Mama anakwepa kuandika kwanini!!?
katiba ni takwa la wananchi walio wengi wenye hekima na busara, sio wachache wa kuropoka ropoka na kupayuka bila mpangilio wala athari zozote :pedroP:

walio wengi watakapo amua na katiba mpya itaandikwa kwa matakwa yao vilevile, na bila shaka ni baada ya uchaguzi2025...

wachache mtaendelea kuskizwa malalamiko yenu na kuheshimiwa maoni yenu kama ilivyo ada ya ustaarabu ya wakomavu wa kidemokrasia:pedroP:
 
ukata wa fedha, sera na mikakati mibovu isiyo na tija ya kuwaunganisha wanachama wao imekua ni chanzo cha kuzorota kwa hamasa katika harakati zao mitandaoni na mtaani.

maandamano yamekosa mvuto kabisa, chaguzi za ndani ya vyama vya kisiasa hata haijulikani zipo, zimeisha au bado zinaendelea....

madai na malalamiko ya upinzani kuhusu mathalani, katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na ugumu wa maisha yamezoeleka sana na waTanzania walio wengi hawajavutiwa na hoja hizo. Uelewa na ufahamu wa waTanzania ni mkubwa na kwamba bidii katika kufanya kazi ni msingi wa kuondokana na ugumu wa maisha na sio stori na porojo au vinginevyo..

Na kazi nzuri sana na kubwa mno inayofanywa na serikali chini ya DR Samia Suluhu Hassan, katika kushughulika na mambo hayo imeleta pumzi, ishara, matumaini na matarajio mapya kwa wanainchi..

Hali hiyo imefanya uelekeo wa pamoja upinzani kua shakani. Na sasa hivi hawakosoani tena kupitia vikao vya ndani, bali majukwaa ya kisiasa ndio platform ya kuelezana mistakes na blunders za nyuma na za sasa, za kisiasa ndani ya vyama....

kuna hatari ya upinzani kubomoka na kusambaratika zaidi endapo ungwana, hekima na busara, miongoni mwao hasa viongozi wa andamizi isipochukua nafasi yake, tunapoelekea chaguzi zijazo...

Tz Requires Vibrant Opposition 🐒
Lissu kashamwaga Mboga huko,na kwa uhakika naamini kabisa wanagawana mbao kabla ya uchaguzi mkuu mwakani.
 
ukata wa fedha, sera na mikakati mibovu isiyo na tija ya kuwaunganisha wanachama wao imekua ni chanzo cha kuzorota kwa hamasa katika harakati zao mitandaoni na mtaani.

maandamano yamekosa mvuto kabisa, chaguzi za ndani ya vyama vya kisiasa hata haijulikani zipo, zimeisha au bado zinaendelea....

madai na malalamiko ya upinzani kuhusu mathalani, katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na ugumu wa maisha yamezoeleka sana na waTanzania walio wengi hawajavutiwa na hoja hizo. Uelewa na ufahamu wa waTanzania ni mkubwa na kwamba bidii katika kufanya kazi ni msingi wa kuondokana na ugumu wa maisha na sio stori na porojo au vinginevyo..

Na kazi nzuri sana na kubwa mno inayofanywa na serikali chini ya DR Samia Suluhu Hassan, katika kushughulika na mambo hayo imeleta pumzi, ishara, matumaini na matarajio mapya kwa wanainchi..

Hali hiyo imefanya uelekeo wa pamoja upinzani kua shakani. Na sasa hivi hawakosoani tena kupitia vikao vya ndani, bali majukwaa ya kisiasa ndio platform ya kuelezana mistakes na blunders za nyuma na za sasa, za kisiasa ndani ya vyama....

kuna hatari ya upinzani kubomoka na kusambaratika zaidi endapo ungwana, hekima na busara, miongoni mwao hasa viongozi wa andamizi isipochukua nafasi yake, tunapoelekea chaguzi zijazo...

Tz Requires Vibrant Opposition 🐒
Kati ya huyu mwenye ukata wa fedha na CCM anayejichotea kodi zetu kujistarehesha nani bora? Wabongo tunapenda sana kuwasifu wanaotuibia pesa zetu. Bwana yule alichota mapesa yetu akaanzisha timu ya mpira kwao na kuajiri wageni! Na chenji kukarabati kiwanja cha mpira kwa kuweka taa.
 
Uzuri wa mbowe ana plan nyingi akiona mambo hayaendi anakunywa konyagi akilewa akatenguka mguu anasema kapigwa na wasiojulikana
 
Kati ya huyu mwenye ukata wa fedha na CCM anayejichotea kodi zetu kujistarehesha nani bora? Wabongo tunapenda sana kuwasifu wanaotuibia pesa zetu. Bwana yule alichota mapesa yetu akaanzisha timu ya mpira kwao na kuajiri wageni! Na chenji kukarabati kiwanja cha mpira kwa kuweka taa.
ndio maana nasema upinzani umekosa uelekeo.....

kwama malalamiko hayo yatafanya upate uelekeo au kuna mtu ataona unaongea jambo la maaana basi atakua ni team member wako, lakini mwanachama mpya humpati kwa malalamiko kama hayo.....

uazungumza challenges za vinavyofanyika but huna altenative plans. that is dead opposition :pedroP:
 
Kwakweli Kuna namna upinzani unafeli, as if walibomoka sana na sasa wanarejea taratibu!... Kuna usaliti mwingi sana kweny hivi vyama! Siri na mikakati mingi inavuja!! Wenye dhamiri ya dhati wamebaki wachache!! Kuwa na chama sio dini useme hata Kama Kuna madhaifu usiyaseme! Mmekosea upinzani! Jirekebisheni tunahitaji upinzani strong
 
Lissu kashamwaga Mboga huko,na kwa uhakika naamini kabisa wanagawana mbao kabla ya uchaguzi mkuu mwakani.
huyo kibaraka ana shinikizo kutoka kwa wafadhili wake mabwenyenye wa huko magharibi, kwamba ahakikishe chama alichopo wanakubali vigezo na mashariti ya yeye kufadhiliwa nao, na kwahivyo wote wakubali sera za mabwenyenye.

ChairmanTaifa kastukia hiyo sarakasi na sasa anatafuta nanma ya kumbwaga. Lakini pia vice chairmani amesense something fishy na kwahivyo ameakaa mguu sawa kwa lolote.....

Dr.slaa ni kipaumbele cha chadema Chairman Taifa kugombea urais2025 kuliko mtu mwingine yeyote :BASED:
 
huyo kibaraka ana shinikizo kutoka kwa wafadhili wake mabwenyenye wa huko magharibi, kwamba ahakikishe chama alichopo wanakubali vigezo na mashariti ya yeye kufadhiliwa nao, na kwahivyo wote wakubali sera za mabwenyenye.

ChairmanTaifa kastukia hiyo sarakasi na sasa anatafuta nanma ya kumbwaga. Lakini pia vice chairmani amesense something fishy na kwahivyo ameakaa mguu sawa kwa lolote.....

Dr.slaa ni kipaumbele cha chadema Chairman Taifa kugombea urais2025 kuliko mtu mwingine yeyote :BASED:
Ipo wazi
 
ukata wa fedha, sera na mikakati mibovu isiyo na tija ya kuwaunganisha wanachama wao imekua ni chanzo cha kuzorota kwa hamasa katika harakati zao mitandaoni na mtaani.

maandamano yamekosa mvuto kabisa, chaguzi za ndani ya vyama vya kisiasa hata haijulikani zipo, zimeisha au bado zinaendelea....

madai na malalamiko ya upinzani kuhusu mathalani, katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na ugumu wa maisha yamezoeleka sana na waTanzania walio wengi hawajavutiwa na hoja hizo. Uelewa na ufahamu wa waTanzania ni mkubwa na kwamba bidii katika kufanya kazi ni msingi wa kuondokana na ugumu wa maisha na sio stori na porojo au vinginevyo..

Na kazi nzuri sana na kubwa mno inayofanywa na serikali chini ya DR Samia Suluhu Hassan, katika kushughulika na mambo hayo imeleta pumzi, ishara, matumaini na matarajio mapya kwa wanainchi..

Hali hiyo imefanya uelekeo wa pamoja upinzani kua shakani. Na sasa hivi hawakosoani tena kupitia vikao vya ndani, bali majukwaa ya kisiasa ndio platform ya kuelezana mistakes na blunders za nyuma na za sasa, za kisiasa ndani ya vyama....

kuna hatari ya upinzani kubomoka na kusambaratika zaidi endapo ungwana, hekima na busara, miongoni mwao hasa viongozi wa andamizi isipochukua nafasi yake, tunapoelekea chaguzi zijazo...

Tz Requires Vibrant Opposition 🐒
Hamna shida 🌈, je una hoja nyingine?
 
ukata wa fedha, sera na mikakati mibovu isiyo na tija ya kuwaunganisha wanachama wao imekua ni chanzo cha kuzorota kwa hamasa katika harakati zao mitandaoni na mtaani.

maandamano yamekosa mvuto kabisa, chaguzi za ndani ya vyama vya kisiasa hata haijulikani zipo, zimeisha au bado zinaendelea....

madai na malalamiko ya upinzani kuhusu mathalani, katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na ugumu wa maisha yamezoeleka sana na waTanzania walio wengi hawajavutiwa na hoja hizo. Uelewa na ufahamu wa waTanzania ni mkubwa na kwamba bidii katika kufanya kazi ni msingi wa kuondokana na ugumu wa maisha na sio stori na porojo au vinginevyo..

Na kazi nzuri sana na kubwa mno inayofanywa na serikali chini ya DR Samia Suluhu Hassan, katika kushughulika na mambo hayo imeleta pumzi, ishara, matumaini na matarajio mapya kwa wanainchi..

Hali hiyo imefanya uelekeo wa pamoja upinzani kua shakani. Na sasa hivi hawakosoani tena kupitia vikao vya ndani, bali majukwaa ya kisiasa ndio platform ya kuelezana mistakes na blunders za nyuma na za sasa, za kisiasa ndani ya vyama....

kuna hatari ya upinzani kubomoka na kusambaratika zaidi endapo ungwana, hekima na busara, miongoni mwao hasa viongozi wa andamizi isipochukua nafasi yake, tunapoelekea chaguzi zijazo...

Tz Requires Vibrant Opposition 🐒
Angalau ungetoa statistics bas. Siyo umelewa smart jin unashika simu na kuandika upumbavu namna hii.
Mfano. Uliongea na watz wangapi? Lengo lako lilikuwa nn? Hao wtz. Wanatokea wapi? Umri wao na elimu nk
Vinginevyo huu ni uzushi toka kwa chawa
 
ukata wa fedha, sera na mikakati mibovu isiyo na tija ya kuwaunganisha wanachama wao imekua ni chanzo cha kuzorota kwa hamasa katika harakati zao mitandaoni na mtaani.

maandamano yamekosa mvuto kabisa, chaguzi za ndani ya vyama vya kisiasa hata haijulikani zipo, zimeisha au bado zinaendelea....

madai na malalamiko ya upinzani kuhusu mathalani, katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na ugumu wa maisha yamezoeleka sana na waTanzania walio wengi hawajavutiwa na hoja hizo. Uelewa na ufahamu wa waTanzania ni mkubwa na kwamba bidii katika kufanya kazi ni msingi wa kuondokana na ugumu wa maisha na sio stori na porojo au vinginevyo..

Na kazi nzuri sana na kubwa mno inayofanywa na serikali chini ya DR Samia Suluhu Hassan, katika kushughulika na mambo hayo imeleta pumzi, ishara, matumaini na matarajio mapya kwa wanainchi..

Hali hiyo imefanya uelekeo wa pamoja upinzani kua shakani. Na sasa hivi hawakosoani tena kupitia vikao vya ndani, bali majukwaa ya kisiasa ndio platform ya kuelezana mistakes na blunders za nyuma na za sasa, za kisiasa ndani ya vyama....

kuna hatari ya upinzani kubomoka na kusambaratika zaidi endapo ungwana, hekima na busara, miongoni mwao hasa viongozi wa andamizi isipochukua nafasi yake, tunapoelekea chaguzi zijazo...

Tz Requires Vibrant Opposition 🐒
Upinzani umeanza kuwa tishio kubwa kwa ccm baada ya dikteta kufa, mambo yameanza kuwa moto moto tena, ccm kaeni vizuri.
 
Angalau ungetoa statistics bas. Siyo umelewa smart jin unashika simu na kuandika upumbavu namna hii.
Mfano. Uliongea na watz wangapi? Lengo lako lilikuwa nn? Hao wtz. Wanatokea wapi? Umri wao na elimu nk
Vinginevyo huu ni uzushi toka kwa chawa
kwahiyo matahalani,
makamu mwenyekiti Taifa wa chadema, anaposema chama chake hakina fedha, lakini fedha nyingi binafsi zinatumika kwenye uchaguzi wa ndani ya chama chake, je ulihitaji statistics? au ni mihemko unakutesa hovyo hovyo tu...

umri au elimu ya nini kwenye jambo hili dogo tu lakini unapanic na kuropoka :BASED:
 
Back
Top Bottom