Upi Ukweli kuhusu Uwekezaji wa FIC?

Status
Not open for further replies.

mwl. mziray

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
598
404
Ndugu zangu, kwa siku za karibuni kumekua na watu mbalimbali katika taasisi za Umma na binafsi wakijihusisha na Uwekezaji katika kampuni ijulikanayo kama FIC ambapo wanaweka mitaji na mitaji hiyo inakua kila siku.

Je Uwekezaji huu ni halali?
Usalama wa fedha za Wananchi upo?
Hii ni sehemu ya tangazo lao:

"Habari
Napenda kukukaribisha katika fursa hii ya uwekezaji katika jukwaa la FIC ambalo linajihusisha na kushinda kinyume na matokeo yaliyobuniwa yaani mfano magoli ni 3-1 , timu zikicheza zikapata matokeo yoyote tofauti na yaliyowekwa manake umekula ila zikifananisha na hayo hautapata faida ila mtaji wako ulioweka utabaki.
Kwahiyo hii siyo kama betting zingne ambazo unaweka au unabuni magoli sawa na matokeo.
Karibu sana. Kiwango cha kuwekeza ni kuanzia 10,000 na kuendelea ."
 
Hii kitu kuna jamaa aliweka 4,000,000 hadi sasa ana zaidi ya Mil 24 na kila siku anaingiza karibu laki 5 ukimuuliza umeshawahi kutoa anasema bado ...anasubiri aingize laki 7 kwa siku ndo atoe ....wenye mitaji yao wajilipue hii hakuna kukosa
 
Hii kitu kuna jamaa aliweka 4,000,000 hadi sasa ana zaidi ya Mil 24 na kila siku anaingiza karibu laki 5 ukimuuliza umeshawahi kutoa anasema bado ...anasubiri aingize laki 7 kwa siku ndo atoe ....wenye mitaji yao wajilipue hii hakuna kukosa
Idadi wamefika 35000 sasa hivi mchezo uta collapse mwambie achukue chake mapema
 
Hii kitu kuna jamaa aliweka 4,000,000 hadi sasa ana zaidi ya Mil 24 na kila siku anaingiza karibu laki 5 ukimuuliza umeshawahi kutoa anasema bado ...anasubiri aingize laki 7 kwa siku ndo atoe ....wenye mitaji yao wajilipue hii hakuna kukosa
Atapigwa soon
 
Atapigwa soon
Mimi naamini mazingira ya uwekezaji Tz sio rafiki,mtu.akilima anakutana na ulozi,akifuga wezi,akiweka genge vitu vinaoza,akibet hakuna shida sababu analiwa pesa,LBL mnasema wezi,FIC mnasema watasepa,sasa jiulize mtandao kwako ni biashara ngapi zimefungwa.Kila.mtu.afanye.awezalo,nchi haisomeki,Game walipoondika Tz mlinyanaza,Wenyewe malori walivyoenda Zambia akina meru mlisema mwenda zake sijui nini,sasa mnataka nini.kila.mtu.kivyake,msiwasemee watu.
 
Kuna watu wame take risk tangu mwaka jana mwezi wa tisa wanakula faida mpka leo na wanajua fika ni ponzi
Hata kama unakila FAIDA, ni FAIDA ya KIPUMBAVU, Yani unatumia muda kuwekeza kwenye jambo ambalo unajua lina kikomo hata kama unapata FAIDA huo ni upumvavu badala ya kuwekeza katika mambo yatakayo Jenga uchumi endelevu unacheza maponzi schemes ni kama mtu anayebeti alafu anajisifu amekula ni upumvavuna kupoteza muda sasa hivyo vihela vya msimu vinakupeleka wapi ZAIDI YA KUDUMAZA AKILI ??!
 
Wao nadhani wanatumia hiyo hela kama mtaji kufanya trading kwenye Forex ambapo kwa siku wanaweza ingiza at least 10% faida. Wao walikuwa 2% kwao faida kubwa. Kwenye hizi trading ukiwa na mtaji mkubwa kuingiza kama 10% kwa siku sio issue
 
Hata kama unakila FAIDA, ni FAIDA ya KIPUMBAVU, Yani unatumia muda kuwekeza kwenye jambo ambalo unajua lina kikomo hata kama unapata FAIDA huo ni upumvavu badala ya kuwekeza katika mambo yatakayo Jenga uchumi endelevu unacheza maponzi schemes ni kama mtu anayebeti alafu anajisifu amekula ni upumvavuna kupoteza muda sasa hivyo vihela vya msimu vinakupeleka wapi ZAIDI YA KUDUMAZA AKILI ??!
Pumbavu na weweπŸ˜€πŸ˜€
Tuache kubeti aaah
Tuache kurusha ndege aaah
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom