UPDF Airforce base commander, Col. Opita arrested over plot to overthrow President Museveni

ni kweli kabisa mkuu na hamna sehemu yeyote niliyowai au ntawahi kukanusha hilo..over!

Ukweli mwingine ni kwamba Waafrika wachache wenye IQ iliyo juu kuliko hiyo ya walio wengi, kamwe hawawezi kupewa uongozi maana uongozi wa Afrika hupatikana kwa uchafu mwingi ambao mtu mwenye akili nzuri hawezi kuufanya dhidi ya binadamu wenzake. Huo ndiyo uhakika wa tawala za Afrika zinazoongoza kidikteta kuendelea kusalia madarakani kwa karne nyingi.
 
Back
Top Bottom