Updates - Pres. Obama in Tanzania July 01-02, 2013

Hivi nani analipia gharama za hayo Mapambo na nguo?

Mkuu,hizo zote ni kodi za wananchi! Kinachouma sana ni hizo gharama kuongezwa mara mbili na wahusika. Si unajua tena mambo ya MGENI NJOO,MWENYEJI APONE! Cha juu na 10% kama kawaida!
 
li-obama-tanzania-04668066.jpg
 
nimesikia sauti kwenye tbc1 tv tena sauti ya kike ikisema "sasa nitakumiss kwa muda gani mpenzi?, ameshaongea yote na viongozi". hii ni aibu kubwa kwa chombo cha taifa. mia
 
[h=1]Raucous Reception for Obama in Tanzania[/h]by Keith Koffler on July 1, 2013, 9:11 am

President Obama is receiving a hero's welcome from Tanzania, a possible reflection of the fact that Tanzania shares a long border with the president's ancestral homeland of Kenya.
From the press pool report:
Massive crowds lined the main road from the airport to watch POTUS motorcade, in some places five and six rows deep for miles, according to the press pool report. You pooler saw one man wearing an American flag shirt pump his fists in the air in excitement as the motorcade passed.
At one point the road narrowed to the point that it felt like the motorcade was wading through a sea of people. Many were waving little American flags.
At the airport, Obama was greeted by a military band that played the Star Spangled Banner – twice.

[http://www.whitehousedossier.com/2013/07/01/raucous-reception-obama-tanzania/]
 
CHAMVIGA picha aliyeweka Crashwise ni ile iliyofanywa na polisisisiem pale Bukoba mwezi wa tano mwaka huu.

Hiyo ndiyo Tanzania nchi ya Amani.

Unajitambua kweli wewe? Mapicha ya ajari za magari ndio unayaleta humu kuhalalisha uongo wako? Watu mnaowaua kwenye mikutano yenu ya siasa mnadhani ndio mtaeleweka kwa uongo kwenye jamii ya kimataifa?. Poleni sana.
 
Last edited by a moderator:
nimesikia sauti kwenye tbc1 tv tena sauti ya kike ikisema "sasa nitakumiss kwa muda gani mpenzi?, ameshaongea yote na viongozi". hii ni aibu kubwa kwa chombo cha taifa. mia

Acha masikhara......mia.!
 
Bush naye anakuja kesho, nahisi anakuja kuangalia "vitega uchumi" vyake...

kumbe anakuja kesho. mi nimeshangaa kuskia kupitia aljazeera wakisema kwamba Bush naye yupo nchini tanzania. kwanini hawajamtangaza kama Obama?. mia
 
Raucous Reception for Obama in Tanzania

by Keith Koffler on July 1, 2013, 9:11 am

President Obama is receiving a hero's welcome from Tanzania, a possible reflection of the fact that Tanzania shares a long border with the president's ancestral homeland of Kenya.
From the press pool report:
Massive crowds lined the main road from the airport to watch POTUS motorcade, in some places five and six rows deep for miles, according to the press pool report. You pooler saw one man wearing an American flag shirt pump his fists in the air in excitement as the motorcade passed.
At one point the road narrowed to the point that it felt like the motorcade was wading through a sea of people. Many were waving little American flags.
At the airport, Obama was greeted by a military band that played the Star Spangled Banner – twice.

[http://www.whitehousedossier.com/2013/07/01/raucous-reception-obama-tanzania/]

Aibu tupu!

Wasije tu wakazimia.
 
[h=5]Ridhiwani Kikwete
[/h][h=5]Busting a move! - with Exaud Marandu.
[/h]


Like · Share · 18 minutes ago ·
 
obama_2605021b.jpg
U.S. President Barack Obama, right, and Tanzanian President Jakaya Kikwete, left, wave as they enter State House, in Dar es Salaam, Tanzania
 
Kuna maelezo yanatolewa hapa kwa lugha ya king'eng'e kuhusu utaratibu wa press conference na Obama kupanda mtani kama kumbukumbu ya yeye kutembelea Tanzania.

Pamoja na kelele zoooote kumbe wewe ni maimuna mulugo product!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom