WANACCM NDANI YA CCM

Makada wa CCM ndani ya serikali,

Kila mmoja amuwazie mwenzake mema.

Tuache kuchuliana powa.

Powa powa sio powa.

Hakika hatutampenda Mungu bila ya kuwapenda waliotuwezesha kuwa na maisha tuliyonayo.

CHARITY BEGINS AT HOME. Tuondoe umaskini kwa wanaccm kwanza ili tuwaondolee Watanzania umaskini.

Nakumbuka tarehe 23/Novemba/2021

Mbunge na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama Barabarani Tanzania, Comrade Hamisi Hamza Chiro, alianza kwa kusema:

"Mabibi na Mabwana na Wanahabari,

Asalaam Aleikhum

Bwana Yesu Asifiwe,

Ninawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

Kwanza kabla ya yote, nichukuwe fursa hii nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwa ametujaalia tumekutana hapa tukiwa wazima wa afya."

Mwisho wa kunukuu.

Comrade Steave Biko, mpinga maovu aliyeuliwa kikatili huko Afrika Kusini tarehe 12/Septemba/1977 katika mahabusu ya polisi ya Makaburu aliwahi kusema:

"It is better to die for an idea that will live than to die for an idea that will die."

"I am going to be me as I am. And you can beat me or jail me or even kill me but I'm not going to be what you want me to be."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 25/Agosti/2021

Padre Dkt Faustine Kamugisha wa Parokia ya Minziro-Bukoba aliwahi kusema:

"Na mimi naongea kwa sababu nina matumaini kwamba haya yote yatawasaidia."

"Na wewe unayeyasikiliza una matumaini kwamba yatakusaidia."

Mwisho wa kunukuu.

Tukiisoma Kitabu cha Maandiko Matakatifu ya Mwenyezi Mungu kiitwacho Fadhila za A'maal, ukurasa wa 166, maandiko yanasema:

"Rasulullahi Swallallahu Alaihi Wasallam amesema: Kuweni wanyenyekevu sana na wenye heshima kwa watu ambao kutoka kwao mnapata elimu."

Mwisho wa kunukuu.

Wanaccm na Watanzania wenzangu, chama chetu CCM ngazi za shina, tawi, kata, na majimbo hali ya kimionekano sio nzuri na hii ni aibu kwa wanaccm wote bila ya kujali vyeo vyetu.

Na huu sio utu, ni kinyume na matakwa ya ilani ya CCM 2020 - 2025. Posho za baadhi ya viongozi ngazi hizo za CCM huku chini ni vichekesho.

Tubadilike kifikra.

Nakumbuka tarehe 05/Desemba/2021

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan akifungua barabara ya Morocco - Mwenge Dar alisema:

"Niwaombe sana na wananchi tubadilike kifikra, tubadilike kimatendo."

Mwisho wa kunukuu.

Ofisi za CCM ngazi za shina, tawi, kata, na jimbo hazina kumbi za mikutano, hakuna ofisi za kutosha kwa viongozi wa ngazi hizo, hakuna posho, na miradi mingi ya CCM ilianzia huku chini ila fedha nyingi inapaa juu. Mrejesho wa fedha hizo haukidhi mahitaji ya wanaccm wa huku chini.

Ukiangalia ngazi za wilaya, mkoa, na taifa hali ni nzuri sana. Tujenge daraja la kutuunganisha wote hali zetu ili tusichukuliane powa walau tujenge vyoo tu. Wanaccm wanaumia ila hawasemi. Baadaye tunawalaumu wajumbe kumbe ni sisi baadhi ya wanaccm tunawachukulia powa wenzetu kwa ukimya wao.

Nakumbuka Novemba 2020

Dkt Hassan Abbass aliyekuwa msemaji mkuu wa serikali akiwa katibu mkuu wa wizara yenye dhamana na sanaa aliwahi kusema:

"Kama wenzetu wamejengewa mradi la Rufiji kule la matrillioni, hivi na sisi kwenye sanaa huku hatuna kitu fulani hivi amazing cha billion kadhaa tukafanyiwa! Mbona wanatuchukulia powa hawa watu."

"Sasa inawezekana tulikuwa tunachukuliwa powa kwa sababu na sisi wenyewe tuko powa. Ehee, ukiwa umepowa watu wanakupoza tu, unaona bhana, inakuwa simple tu."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 04/Novemba/2016

Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea na wahariri wa habari alisema:

"Tuna wajibu wa kwenda pamoja, sisi wote ni wamoja tuna haki sawa mbele ya Mwenyezi Mungu wetu."

Mwisho wa kunukuu.

Wanaccm na Watanzania wenzangu, miongoni mwetu kuna baadhi hawaamini kabisa kama na sisi wanaccm wa ngazi hizi za chini tunahitaji kutendewa haki na usawa kwenye mambo ya kimsingi ya kibinadamu.

Nakumbuka tarehe 26/Desemba/2021

Comrade Job Yustino Ndugai, Spika wa Bunge alisema:

"Ohoo unajua sisi, tunadharaulika tunafany... Usidharaulike kwa nini?! Kwani una nini cha kukufanya uheshimike? Watu wanaheshimikaga tu hivi hivi?!"

"Haiwezekani, unaheshimika kwa kazi, kwa achievable, huna cha kuonyesha huheshimiki."

"Hii maneno ya shuleni binadamu wote ni sawa ile ni theory ya kupasi mtihani, ile ni ya kufaulu mtihani wa Wizara ya Elimu."

"Binadamu ni sawa tangu mwaka gani?! Tangu lini?"

Mwisho wa kunukuu.

Tusome Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ukurasa wa 20 Ibara 12 (1)(2), Ibara 13(1)(4)(5), Ibara 26(1)(2) bila kuacha Ibara 9(a)(b)(f).

Katiba ya CCM 1977 toleo 2020 ukurasa wa 01 Ibara 04 (1)(2).

Azimio la Arusha ukurasa wa 01 kifungu (a)(b).

Nakumbuka tarehe 15/Desemba/2021

Rais Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa wadau wa kujadili hali ya demokrasia ya vyama vingi nchini alisema:

"Unapovunja sheria, unajivunjia heshima, na serikali inashindwa kukuheshimu."

"Naomba tufanye kazi kwa kuheshimu sheria."

"Hakuna mbora wetu mbele ya sheria."

"Mbora wetu ni yule anayefuata sheria."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 27/12/2021

Akihojiwa na ITV, Mheshimiwa IGP Simon Nyakoro Sirro alisema:

"Unajua Mheshimiwa Rais (Samia) akisha zungumza ni maelekezo. Na mimi nayafanyia kazi maelekezo yake, nafuatilia."

Tusome Ilani ya CCM 2020 ukurasa wa 161 - 168 bila kuacha ukurasa wa 01 Ibara 04.

Nitoe wito kwa viongozi wa CCM ngazi za juu kutuangalia sisi tulioko huku chini kwa jicho la huruma na upendo huku tukijikumbusha ya kuwa sisi ni mwili mmoja.

Tukisoma Kitabu cha Awamu ya TATU ya Mradi wa Kukiimarisha Chama ukurasa wa 05, maandiko yanasema:

"Katika kikao chake cha Desemba 1985, Halmashauri Kuu ya Taifa ilianzisha mradi wa kwanza wa kuimarisha chama baada ya kubaini kuwa chama kilikuwa kibovu hasa katika ngazi zake za mwanzo."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 04/12/2021

Mheshimiwa Salvatory Venance Mabeyo, Mkuu wa Majeshi alisema:

"Hakuna mwanadamu ambaye Mungu kamnyima kila kitu, wala hakuna aliyepewa kila kitu. Wote tumepewa kadri ya uwezo wetu. Na hivyo ni wajibu wetu na hasa viongozi wetu kutuunganisha sote kwa pamoja kushirikiana katika kuujenga ufalme wa Mungu."

Mwisho wa kunukuu.

Tukisoma Kitabu cha Sera ya CCM ya Kujitegemea Kimapato na Kiuchumi ukurasa wa 03, maandiko yanasema:

"Katika chama hiki tokea 2000 yamekuwepo maamuzi mbali mbali ya vikao vya juu vya chama kuanzia sekretarieti, kamati kuu, halmashauri kuu ya taifa na hata mkutano mkuu wa taifa kuhusu chama kujitegemea kimapato na kiuchumi. Changamoto kubwa imekuwa ni utekelezaji wa maamuzi hayo."

Mwisho wa kunukuu.

Ilani yetu ya CCM imetamka neno ubunifu mara nyingi ila hakuna mtu aliye tayari kusaidia kwa lolote ili kubadili mielekeo na mitazamo ya kimaskini ndani ya CCM.

Mwenye uwezo naomba anipeleke kwa Mheshimiwa Sam
Mashudu tu kama ya Lucas Mwashambwa ,au ndiyo umekuja kivingine?
 
WANACCM NDANI YA CCM

Makada wa CCM ndani ya serikali,

Kila mmoja amuwazie mwenzake mema.

Tuache kuchuliana powa.

Powa powa sio powa.

Hakika hatutampenda Mungu bila ya kuwapenda waliotuwezesha kuwa na maisha tuliyonayo.

CHARITY BEGINS AT HOME. Tuondoe umaskini kwa wanaccm kwanza ili tuwaondolee Watanzania umaskini.

Nakumbuka tarehe 23/Novemba/2021

Mbunge na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama Barabarani Tanzania, Comrade Hamisi Hamza Chiro, alianza kwa kusema:

"Mabibi na Mabwana na Wanahabari,

Asalaam Aleikhum

Bwana Yesu Asifiwe,

Ninawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

Kwanza kabla ya yote, nichukuwe fursa hii nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwa ametujaalia tumekutana hapa tukiwa wazima wa afya."

Mwisho wa kunukuu.

Comrade Steave Biko, mpinga maovu aliyeuliwa kikatili huko Afrika Kusini tarehe 12/Septemba/1977 katika mahabusu ya polisi ya Makaburu aliwahi kusema:

"It is better to die for an idea that will live than to die for an idea that will die."

"I am going to be me as I am. And you can beat me or jail me or even kill me but I'm not going to be what you want me to be."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 25/Agosti/2021

Padre Dkt Faustine Kamugisha wa Parokia ya Minziro-Bukoba aliwahi kusema:

"Na mimi naongea kwa sababu nina matumaini kwamba haya yote yatawasaidia."

"Na wewe unayeyasikiliza una matumaini kwamba yatakusaidia."

Mwisho wa kunukuu.

Tukiisoma Kitabu cha Maandiko Matakatifu ya Mwenyezi Mungu kiitwacho Fadhila za A'maal, ukurasa wa 166, maandiko yanasema:

"Rasulullahi Swallallahu Alaihi Wasallam amesema: Kuweni wanyenyekevu sana na wenye heshima kwa watu ambao kutoka kwao mnapata elimu."

Mwisho wa kunukuu.

Wanaccm na Watanzania wenzangu, chama chetu CCM ngazi za shina, tawi, kata, na majimbo hali ya kimionekano sio nzuri na hii ni aibu kwa wanaccm wote bila ya kujali vyeo vyetu.

Na huu sio utu, ni kinyume na matakwa ya ilani ya CCM 2020 - 2025. Posho za baadhi ya viongozi ngazi hizo za CCM huku chini ni vichekesho.

Tubadilike kifikra.

Nakumbuka tarehe 05/Desemba/2021

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan akifungua barabara ya Morocco - Mwenge Dar alisema:

"Niwaombe sana na wananchi tubadilike kifikra, tubadilike kimatendo."

Mwisho wa kunukuu.

Ofisi za CCM ngazi za shina, tawi, kata, na jimbo hazina kumbi za mikutano, hakuna ofisi za kutosha kwa viongozi wa ngazi hizo, hakuna posho, na miradi mingi ya CCM ilianzia huku chini ila fedha nyingi inapaa juu. Mrejesho wa fedha hizo haukidhi mahitaji ya wanaccm wa huku chini.

Ukiangalia ngazi za wilaya, mkoa, na taifa hali ni nzuri sana. Tujenge daraja la kutuunganisha wote hali zetu ili tusichukuliane powa walau tujenge vyoo tu. Wanaccm wanaumia ila hawasemi. Baadaye tunawalaumu wajumbe kumbe ni sisi baadhi ya wanaccm tunawachukulia powa wenzetu kwa ukimya wao.

Nakumbuka Novemba 2020

Dkt Hassan Abbass aliyekuwa msemaji mkuu wa serikali akiwa katibu mkuu wa wizara yenye dhamana na sanaa aliwahi kusema:

"Kama wenzetu wamejengewa mradi la Rufiji kule la matrillioni, hivi na sisi kwenye sanaa huku hatuna kitu fulani hivi amazing cha billion kadhaa tukafanyiwa! Mbona wanatuchukulia powa hawa watu."

"Sasa inawezekana tulikuwa tunachukuliwa powa kwa sababu na sisi wenyewe tuko powa. Ehee, ukiwa umepowa watu wanakupoza tu, unaona bhana, inakuwa simple tu."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 04/Novemba/2016

Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea na wahariri wa habari alisema:

"Tuna wajibu wa kwenda pamoja, sisi wote ni wamoja tuna haki sawa mbele ya Mwenyezi Mungu wetu."

Mwisho wa kunukuu.

Wanaccm na Watanzania wenzangu, miongoni mwetu kuna baadhi hawaamini kabisa kama na sisi wanaccm wa ngazi hizi za chini tunahitaji kutendewa haki na usawa kwenye mambo ya kimsingi ya kibinadamu.

Nakumbuka tarehe 26/Desemba/2021

Comrade Job Yustino Ndugai, Spika wa Bunge alisema:

"Ohoo unajua sisi, tunadharaulika tunafany... Usidharaulike kwa nini?! Kwani una nini cha kukufanya uheshimike? Watu wanaheshimikaga tu hivi hivi?!"

"Haiwezekani, unaheshimika kwa kazi, kwa achievable, huna cha kuonyesha huheshimiki."

"Hii maneno ya shuleni binadamu wote ni sawa ile ni theory ya kupasi mtihani, ile ni ya kufaulu mtihani wa Wizara ya Elimu."

"Binadamu ni sawa tangu mwaka gani?! Tangu lini?"

Mwisho wa kunukuu.

Tusome Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ukurasa wa 20 Ibara 12 (1)(2), Ibara 13(1)(4)(5), Ibara 26(1)(2) bila kuacha Ibara 9(a)(b)(f).

Katiba ya CCM 1977 toleo 2020 ukurasa wa 01 Ibara 04 (1)(2).

Azimio la Arusha ukurasa wa 01 kifungu (a)(b).

Nakumbuka tarehe 15/Desemba/2021

Rais Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa wadau wa kujadili hali ya demokrasia ya vyama vingi nchini alisema:

"Unapovunja sheria, unajivunjia heshima, na serikali inashindwa kukuheshimu."

"Naomba tufanye kazi kwa kuheshimu sheria."

"Hakuna mbora wetu mbele ya sheria."

"Mbora wetu ni yule anayefuata sheria."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 27/12/2021

Akihojiwa na ITV, Mheshimiwa IGP Simon Nyakoro Sirro alisema:

"Unajua Mheshimiwa Rais (Samia) akisha zungumza ni maelekezo. Na mimi nayafanyia kazi maelekezo yake, nafuatilia."

Tusome Ilani ya CCM 2020 ukurasa wa 161 - 168 bila kuacha ukurasa wa 01 Ibara 04.

Nitoe wito kwa viongozi wa CCM ngazi za juu kutuangalia sisi tulioko huku chini kwa jicho la huruma na upendo huku tukijikumbusha ya kuwa sisi ni mwili mmoja.

Tukisoma Kitabu cha Awamu ya TATU ya Mradi wa Kukiimarisha Chama ukurasa wa 05, maandiko yanasema:

"Katika kikao chake cha Desemba 1985, Halmashauri Kuu ya Taifa ilianzisha mradi wa kwanza wa kuimarisha chama baada ya kubaini kuwa chama kilikuwa kibovu hasa katika ngazi zake za mwanzo."

Mwisho wa kunukuu.

Nakumbuka tarehe 04/12/2021

Mheshimiwa Salvatory Venance Mabeyo, Mkuu wa Majeshi alisema:

"Hakuna mwanadamu ambaye Mungu kamnyima kila kitu, wala hakuna aliyepewa kila kitu. Wote tumepewa kadri ya uwezo wetu. Na hivyo ni wajibu wetu na hasa viongozi wetu kutuunganisha sote kwa pamoja kushirikiana katika kuujenga ufalme wa Mungu."

Mwisho wa kunukuu.

Tukisoma Kitabu cha Sera ya CCM ya Kujitegemea Kimapato na Kiuchumi ukurasa wa 03, maandiko yanasema:

"Katika chama hiki tokea 2000 yamekuwepo maamuzi mbali mbali ya vikao vya juu vya chama kuanzia sekretarieti, kamati kuu, halmashauri kuu ya taifa na hata mkutano mkuu wa taifa kuhusu chama kujitegemea kimapato na kiuchumi. Changamoto kubwa imekuwa ni utekelezaji wa maamuzi hayo."

Mwisho wa kunukuu.

Ilani yetu ya CCM imetamka neno ubunifu mara nyingi ila hakuna mtu aliye tayari kusaidia kwa lolote ili kubadili mielekeo na mitazamo ya kimaskini ndani ya CCM.

Mwenye uwezo naomba anipeleke kwa Mheshimiwa Sam
ephen_ bandiko kama la mlishikaji au kabadili ID?
 
Namuomba mwenyezi Mungu sana mjalie Rais wetu Dkt. Samia afya njema. Ampe macho ya kiroho anione popote nilipo, aniite mimi ili nikamuonyeshe fedha mahali zilipo za kukijenga na kukiimarisha chama ngazi za shina tawi kata na jimbo.

Nilisikika katika ulimwengu wa kiroho huko ndotoni nikunguruma kama simba baada ya kikao fulani cha chama kabla hakijaisha niliona wanassem mafukara wakipigana vikumbo kuwagombea viongozi walau wawaachie chochote.

Nikaumia sana moyoni hasa kwa kuzingatia mambo ya kufanya yapo ila waliopewa nyadhifa za kufanya maamuzi ni wakali wakali muda wote. Mikwara mingi na vitisho vya kufa mtu kinyume na viapo walivyoapa na kuahidi kuwa wanyenyekevu.

Mheshimiwa Daniel Godfrey Chongolo aliyekuwa Katibu mkuu CCM taifa nakumbuka tarehe 15/06/2022 katika baraza kuu la UWT huko Dodoma alisema sisi ni viongozi tuliopewa dhamana ya kusimamia katiba kanuni na miongozo halali ya chama chetu.

Mwisho wa kunukuu.

Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2022 uk 153 kifungu 04 ili kupata uhalali wa kwenda kusoma kanuni za fedha na mali za chama na jumuiya zake toleo 2018 uk 164-165 kwa mazingatio makubwa.

Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2022 uk 09-10 ibara 14(5) kwa msisitizo. Ilani ya CCM uk 01 ibara 04 na ibara 10 na 11. Nakumbuka tarehe 5/august/2021, Padre Dkt Faustine Kamugisha wa parokia ya Minziro jimbo la Bukoba alisema ukitaka kumsaidia mtu mwenye matatizo muache aongee sana. Na ili aongee msikilize na onyesha juhudi kwamba unamsikiliza.

Mwisho wa nakumbuka tarehe 13/07/2022. Comrade Shaka Hamdu Shaka akiwa katibu NEC itikadi siasa na uenezi CCM taifa akiwa ndani ya ZBC- zanzibar alisema Chama chetu ni chama cha kusikiliza watu. Mwisho wa kunukuu.

Nikitazama chama cha mapinduzi ngazi za chini huku machozi yananitoka. Hali ni mbaya sana. Wanachama wana maisha magumu. Hata ikitokea mwanachama kafariki hapati huduma stahiki anazo zistahili kama mwanachama wa chama tawala hasa kwa kuzingatia chama hiki kina mali nyingi zisizo wanufaisha wanaccm walio wengi.

Wanachama wakiwezeshwa ni wazi watawahudumia vyema wananchi wenye changamoto.

Wananchi walio wengi na wenye changamoto zilizo nyingi huishi huku ngazi za chini .

Huku ndiko kunako paswa kurekebishwa saana na kuboreshwa kuliko huko wilaya , mkoa na taifa.

Mheshimiwa Rais Dkt. Hussein Mwinyi, Rais wa Zanzibar Katika baraza la eid el fitr nakumbuka tarehe 03/05/2022 alisema tumuombe mwenyezi Mungu (ili) atuongoze katika kufanya mambo mema na kuyakimbilia yale yote ya kheri ili tupate kufanikiwa hapa duniani na kesho mbele ya haki.

Mwisho wa kunukuu.

Kufanikiwa kwetu wana ssem ni kuwajali watu wanyonge miongoni mwetu kwani sio kheri kukimbilia nje kuwajali watu wa nje huku waliopambana kutuinua sisi wakiwa ni mafukara na hawana hata hope yeyote ya kufikiriwa kuinuliwa kimaisha.

Wanassem ni wananchi pia ambao wanatamani waboreshewe maeneo yao ili kazi zao za kusikiliza watu na kuisimamia serikali iweze kutekeleza ilani ya ccm.

Wanassem wamekuwa wakilia vilio vikubwa na machozi yao kupotelea baharini pasipo kusikilizwa wala kupewa hope.

Mheshimiwa Daniel Chongolo, Katibu mkuu wa zamani ccm taifa nakumbuka tarehe 01/06/2022 alisema hatuwezi kuwa tunafanya masihara kwenye mambo ya msingi.

Mtu umepewa dhamana lazima uwajibike kwa dhamana uliyopewa. Unatakiwa kutumikia wananchi lazima utumikie wananchi. Wananchi hawawezi wakawa wana kilio (ambacho) hakifiki mwisho. Wamelalamika leo. Wamelalamika kesho. Wamelalamika jana. Sisi (viongozi wenye dhamana) tupo (tu). Tumekaa kwenye ofisi. Mwisho wa kunukuu

Diwani Manyama. Diwani wa kata ya wazo dar es salaam, nakumbuka tarehe 19/06/2022 alisema Uongozi tunapopewa ni utumishi kama utumishi mwingine, Twende tukatumie nafasi tulizopewa kutatua kero za wananchi. Mwisho wa kunukuu.

Mazingira mazuri ya kufanyia kazi husaidia watu wanaoitumikia jamii kufanya kazi kwa tija. Mfano katiba ya ccm inamtaka balozi atunze kumbukumbu. Atazitunzia wapi. Je matawi yasiyo na ofisi yanatunzaje kumbukumbu za chama!? Je utunzaji wao hao wasio na ofisi uko kisheria?

Tusome ilani ya ccm uk 01 ibara 04. Nakumbuka tarehe 05/08/2022, Mheshimiwa Rais Dkt Samia Katika uwekaji wa jiwe la msingi katika jengo la ofisi ya mkuu wa mkoa wa mbeya alisema Utafiti unaonyesha kwamba mwaadamu akifanya kazi kwenye mazingira mazuri. Basi kama ni haki (anaitoa ) anakuwa ametulia anatoa haki ipasavyo. Kama ni huduma anatulia anatoa huduma ipasavyo. Mwisho wa kunukuu

Saa nyingine tunawalaumu saana wanaccm huku ngazi za chini ila mazingira ya kazi zao ni magumu kiasi kwamba hata haki hazitekelezeki inavyo stahili .

Ni jukumu letu makada kuyaona haya kwani haya ni aibu kwetu wote wazalendo ndani ya ccm. Mheshimiwa Wanu Hafidh Ameir. Mwenyekiti wa mwanamke initiative foundation Zanzibar

Binti wa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Nakumbuka tarehe 19/06/2022, alisema Changamoto za kijamii ni nyingi na zinahitaji nguvu ya pamoja (ili) kuzitatua. Mwisho wa kunukuu

Wanaccm hatuna ofisi za kutosha ngazi za chini. Hakuna kumbi za mikutano, hakuna vyoo, hakuna maji.

Na sisi ndiyo tunatakiwa kuwa na vitu hivyo vya msingi ili tutakapo kuwa tunaieleza jamii kuwa tutaiondolea umaskini ione tunamaanisha hivyo.

Pastor Sunbella Kyando wa the reality of christ church nakumbuka tarehe 17/11/2020 alisema (mwenyezi mungu) kama kakuita kwenye siasa, yanayotokea kwenye siasa yatakuwa yanakutesa sana.

Unaweza ukaona kila mtu anafurahia hilo eneo.

Lakini kila wakati ukiangalia kwenye hiyo sekta moyo wako unatoka machozi. Ukiona vinavyotokea kwenye siasa havikuumizi(ujuwe) wewe sio mwanasiasa. Mwisho wa kunukuu

Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Katika hafla ya utiaji saini wa mikataba ya ujenzi wa miundo mbinu ya barabara huko dodoma, nakumbuka tarehe 14/08/2022 alisema Kipaumbele (chetu) cha kwanza ni wananchi kule chini. Mwisho wa kunukuu

Tusome katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania 1977 toleo 2005 ibara 08 yote. Ibara 26 yote bila kuiacha ibara 9(a)(b)(f)(h)

Mheshimiwa rais Dkt. Samia Suluhu Hassan August 2022 Katika hafla ya kuwaapisha wakuu wa mikoa alisema na (katiba ) iliyoko mezani kwangu ni katiba (ya )1977 toleo 2005.

Dkt. Dotto Mashaka Biteko, Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati akimuwakilisha mheshimiwa rais dkt samia suluhu hassan katika shughuli maalumu za waumini wa kikatoliki huko tabora Alisema Tupambane kuwaondoa watanzania kwenye umaskini na kuwaletea nafuu kubwa ya maisha. Mwisho wa kunukuu

Kauli hii inawezekana tu pale baadhi ya viongozi watakapoamua kubadili mitazamo yao juu ya watanzania wanajitokeza wakiwa na ubunifu wakiomba kusaidiwa walau kuidhinishiwa mambo fulani ili wayafanye wazalishe ajira kwa wenzao wasio wabunifu.

Sisi wabunifu hatupati msaada kabisa huku ngazi za chini. Watu hawatusaidii. Wanaamini kuwa tukiwasaidia maskini wao wasiopenda kuwasaidia watapoteza vyeo vyao ndiyo maana hawako tayari kutusaidia.

Kila tukiwaomba hawataki na ushahidi wa barua nilizo waandikia ninao ila wanakaa kimya tu.

Nakuomba sasa mheshimiwa rais uingilie kati , uniite mheshimiwa rais huku nikiamini kukuona wewe itakuwa ni mwanzo wa kufanya maamuzi magumu .

Nakumbuka august 2022, Mheshimiwa rais Dkt Samia Suluhu Hassan alisema Mwamuzi wa mwisho ni mimi kama rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania na amiri jeshi mkuu. Ni mimi. Mwisho wa kunukuu.

Kwa kulijuwa hili mheshimiwa rais nakuomba mheshimiwa unitizame kwa jicho la kipekee ili nami niweze kufanya jambo lisilo na bla bla la kuacha alama ndani ya chama ingawaje sisi wabeba maono tunakuwa na vita vikubwa ili kuzuiwa tusitimize maono hayo.

Pastor sunbella kyando wa the reality of christ church, Nakumbuka tarehe 18/03/2022 alisema Kuna mawazo (ambayo) mungu ameyaongea ndani yako na unayadharau Unayaona ni ya kawaida. Lakini hayo mawazo yamebeba hatma za watu Hayo mawazo yamebeba miisho ya watu

Hayo mawazo yamebeba destiny za watu na hao watu hawatakufa kama utakubali kutengeneza hilyo safina. Mwisho wa kunukuu

Naamini kwa usikivu na upendo wa rais wetu alio nao kwa ccm naamini ataniita ili afanye maamuzi ili niweze kufanya kazi kuacha alama ndani ya ccm.

Meja Charles Mbuge akiwa mkuu wa mkoa wa Kagera Nakumbuka tarehe 10/06/2022 alisema (Dkt. samia suluhu hassan) ni rais mwenye maono, Rais mwenye upendo, Rais msikivu wa awamu ya sita. Mwisho wa kunukuu

Kwa usikivu wa mheshimiwa rais dkt samia,

Naendelea kufunga na kufanya maombi ili mwenyezi mungu amguse mheshimiwa rais dkt samia katika hali ya kipekee kabisa amguse ili aweze kuniona na kuielewa nia yangu thabiti iliyopo ndani yangu ya kuweka alama kubwa ndani ya ccm itakayokumbukwa vizazi hata vizazi.

Mheshimiwa rais dkt samia suluhu hassan, Nakumbuka tarehe 10/06/2022 Katika hafla ya ufunguzi wa msikiti wa jami'ul istiqaama huko bukoba kagera Alisema Mwenyezi mungu ametuambia kwenye vitabu vyake (vitakatifu na vitukufu)

Quran inasema Mwenyezi mungu ametuambia niombeni (nami ) nitawajibu. Twende tukaombe na mwenyezi mungu si mchache wa kujibu. Atatujibu, Pia kwenye biblia kuna aya inayosema;

Ombeni mtapewa.
Bisheni hodi mtafunguliwa.
Kwa hiyo nasi (twendeni) tukaombe ( mbele ya mwenyezi mungu).
Tumuombe mwenyezi mungu atushushie neema na baraka zake.
Hivyo basi kila mmoja wetu kwa imani yake

Hatuna budi kumuomba mwenyezi mungu mara kwa mara na kwa unyenyekevu mkubwa usiku na mchana ili (mwenyezi mungu) aweze kutukidhia haja zetu mbali mbali na kutuepusha na majanga ya dunia. Mwisho wa kunukuu

Nimezuiliwa saana. Nimepuuzwa sana. Naamini sasa kwa dua hizi naona mbigu zikimimina baraka nakwenda kuitwa ikulu ili kuongea na mheshimiwa rais dkt samia kuhusu kukiimarisha chama ngazi za huku chini.

Apostle deonis mutalemwa bushir wa kanisa la ACG nakumbuka tarehe 28/09/2021 akitoa mahubiri alisema (wagalatia 1:20) na hayo niliyo waandikia, angalieni Mbele za mungu Sisemi uongo. Mwisho wa kunukuu

Nikashtuka kutoka ndotoni nilipokuwa naota huku nikiwa nimeikunja miguu huku nikisema huu ndiyo wakati muafaka wa kukiimarisha chama ngani za huku chini kabisa kwa vitendo.

Kidumu chama cha mapinduzi.

Mathias Mugerwa Kahinga
 
NAMUOMBA MWENYEZI MUNGU SAANA
AMJALIE RAIS WETU DKT SAMIA AFYA NJEMA
AMPE MACHO YA KIROHO
ANIONE POPOTE NILIPO
ANIITE MIMI
ILI NIKAMUONYESHE
FEDHA MAHALI ZILIPO ZA KUKIJENGA NA KUKIIMARISHA CHAMA
NGAZI ZA SHINA TAWI KATA NA JIMBO

Nilisikika katika Ulimwengu wa Kiroho huko Ndotoni nikunguruma Kama Simba baada ya Kikao fulani Cha chama kabla hakijaisha niliona Wanassem Mafukara wakipigana vikumbo kuwagombea Viongozi walau wawaachie chochote
Nikaumia saana Moyoni
Hasa kwa kuzingatia Mambo ya kufanya yapo ila waliopewa Nyadhifa za kufanya maamuzi ni wakali wakali muda wote
Mikwara mingi na vitisho vya kufa mtu Kinyume na viapo walivyoapa na kuahidi kuwa Wanyenyekevu
Mheshimiwa Daniel Godfrey Chongolo
Katibu Mkuu CCM Taifa
Nakumbuka Tarehe 15/06/2022 Katika Baraza kuu la UWT huko Dodoma
Alisema
Sisi ni Viongozi tuliopewa dhamana ya kusimamia katiba Kanuni na Miongozo halali ya Chama chetu.
Mwisho wa kunukuu
Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2022 uk 153 kifungu 04 ili kupata Uhalali wa kwenda kusoma Kanuni za Fedha na Mali za chama na Jumuiya zake toleo 2018 uk 164-165 kwa mazingatio makubwa.
Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2022 uk 09-10 ibara 14(5) kwa msisitizo.
Ilani ya CCM uk 01 ibara 04 na ibara 10 na 11.
Nakumbuka Tarehe 5/August/2021
Padre Dkt Faustine Kamugisha
Wa Parokia ya Minziro Jimbo la Bukoba
Alisema,
Ukitaka kumsaidia mtu Mwenye matatizo muache aongee
Aongee Sana
Na ili aongee msikilize na onyesha Juhudi kwamba unamsikiliza.
Mwisho wa nakumbuka Tarehe 13/07/2022
Comrade Shaka Hamdu Shaka
Akiwa Katibu NEC Itikadi Siasa na Uenezi CCM Taifa
Akiwa ndani ya ZBC- Zanzibar
Alisema
Chama chetu ni Chama Cha kusikiliza watu.
Mwisho wa kunukuu
Nikitazama Chama Cha Mapinduzi ngazi za Chini huku Machozi yananitoka
Hali ni Mbaya saaana
Wanachama Wana maisha magumu
Hata ikitokea Mwanachama kafariki hapati huduma stahiki anazo zistahili Kama Mwanachama wa Chama Tawala hasa kwa kuzingatia Chama hiki kina Mali nyingi zisizo wanufaisha Wanaccm walio wengi.
Wanachama wakiwezeshwa ni wazi watawahudumia vyema wananchi wenye changamoto
Wananchi walio wengi na wenye changamoto zilizo nyingi huishi huku ngazi za Chini .
Huku ndiko kunako paswa kurekebishwa saana na kuboreshwa kuliko huko Wilaya , Mkoa na Taifa.
Mheshimiwa Rais Dkt Hussein Mwinyi
Rais wa Zanzibar
Katika Baraza la Eid el fitr
Nakumbuka Tarehe 03/05/2022
Alisema tumuombe Mwenyezi Mungu (ili) atuongoze katika kufanya Mambo mema na kuyakimbilia Yale yote ya kheri ili tupate kufanikiwa hapa Duniani na kesho mbele ya Haki.
Mwisho wa kunukuu
Kufanikiwa kwetu Wana ssem ni kuwajali watu Wanyonge miongoni Mwetu kwani sio kheri kukimbilia nje kuwajali watu wa nje huku waliopambana kutuinua Sisi wakiwa ni Mafukara na Hawana hata hope yeyote ya kufikiriwa kuinuliwa kimaisha.
Wanassem ni wananchi pia ambao wanatamani waboreshewe maeneo Yao ili kazi zao za kusikiliza watu na kuisimamia serikali iweze kutekeleza ilani ya CCM.
Wanassem wamekuwa wakilia Vilio vikubwa na Machozi Yao kupotelea baharini pasipo kusikilizwa Wala kupewa hope.

Mheshimiwa Daniel Godfrey Chongolo
Katibu Mkuu CCM Taifa
Nakumbuka Tarehe 01/06/2022
Alisema
Hatuwezi kuwa tunafanya masihara kwenye Mambo ya msingi .
Mtu umepewa dhamana lazima uwajibike kwa dhamana uliyopewa.
Unatakiwa kutumikia Wananchi lazima utumikie Wananchi
Wananchi hawawezi wakawa Wana kilio (ambacho) hakifiki Mwisho.
Wamelalamika leo
Wamelalamika kesho
Wamelalamika Jana
Sisi (Viongozi wenye dhamana) tupo (tu)
Tumekaa kwenye ofisi.
Mwisho wa kunukuu
Diwani Manyama
Diwani wa Kata ya Wazo Dar es salaam
Nakumbuka Tarehe 19/06/2022
Alisema
Uongozi tunapopewa ni Utumishi Kama Utumishi mwingine,
Twende tukatumie nafasi tulizopewa kutatua kero za Wananchi.
Mwisho wa kunukuu
Mazingira mazuri ya kufanyia kazi husaidia Watu wanaoitumikia Jamii kufanya kazi kwa tija .
Mfano katiba ya CCM inamtaka Balozi atunze kumbukumbu
Atazitunzia wapi
Je Matawi yasiyo na ofisi yanatunzaje kumbukumbu za Chama !?
Je utunzaji wao hao wasio na ofisi uko kisheria !?
Tusome ilani ya CCM uk 01 ibara 04
Nakumbuka Tarehe 05/08/2022
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Katika uwekaji wa jiwe la msingi katika Jengo la ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya
Mheshimiwa Rais Dkt Samia alisema
Utafiti unaonyesha kwamba Mwaadamu akifanya kazi kwenye mazingira mazuri ,
Basi Kama ni Haki (anaitoa ) anakuwa ametulia anatoa Haki ipasavyo.
Kama ni huduma anatulia anatoa huduma ipasavyo.
Mwisho wa kunukuu
Saa nyingine tunawalaumu saana Wanaccm huku ngazi za Chini ila mazingira ya kazi zao ni magumu kiasi kwamba hata Haki hazitekelezeki inavyo stahili .
Ni jukumu letu Makada kuyaona haya kwani haya ni aibu kwetu wote Wazalendo ndani ya CCM.
Mheshimiwa Wanu Hafidh Ameir
Mwenyekiti wa Mwanamke Initiative Foundation Zanzibar
Binti wa Dkt Samia Suluhu Hassan
Nakumbuka Tarehe 19/06/2022
Alisema
Changamoto za kijamii ni nyingi na zinahitaji nguvu ya Pamoja (ili) kuzitatua.
Mwisho wa kunukuu
Wanaccm hatuna ofisi za kutosha ngazi za Chini
Hakuna kumbi za mikutano
Hakuna vyoo
Hakuna maji
Na Sisi ndiyo tunatakiwa kuwa na vitu hivyo vya msingi ili tutakapo kuwa tunaieleza jamii kuwa tutaiondolea Umaskini ione tunamaanisha hivyo
Pastor Sunbella Kyando
Wa The Reality of Christ Church
Nakumbuka Tarehe 17/11/2020
Alisema
(Mwenyezi Mungu) Kama kakuita kwenye Siasa ,
Yanayotokea kwenye Siasa yatakuwa yanakutesa saana.
Unaweza ukaona kila mtu anafurahia Hilo eneo ,
Lakini kila wakati ukiangalia kwenye hiyo sekta moyo wako unatoka machozi
Ukiona vinavyotokea kwenye Siasa havikuumizi(ujuwe) Wewe sio Mwanasiasa.
Mwisho wa kunukuu
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Katika Hafla ya utiaji saini wa mikataba ya ujenzi wa miundo mbinu ya Barabara huko Dodoma
Nakumbuka Tarehe 14/08/2022
Alisema
Kipaumbele (chetu) Cha kwanza ni Wananchi kule Chini.
Mwisho wa kunukuu
Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 08 yote.
Ibara 26 yote bila kuiacha ibara 9(a)(b)(f)(h)
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
August 2022
Katika Hafla ya kuwaapisha Wakuu wa Mikoa
Alisema
Na (katiba ) iliyoko mezani kwangu ni katiba (ya )1977 toleo 2005.
Dkt Dotto Mashaka Biteko
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati
Akimuwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika Shughuli Maalumu za Waumini wa kikatoliki huko Tabora
Alisema
Tupambane kuwaondoa Watanzania kwenye Umaskini na kuwaletea nafuu kubwa ya maisha.
Mwisho wa kunukuu
Kauli hii inawezekana tu pale Baadhi ya Viongozi watakapoamua kubadili Mitazamo Yao juu ya Watanzania wanajitokeza wakiwa na ubunifu wakiomba kusaidiwa walau kuidhinishiwa Mambo fulani ili wayafanye wazalishe ajira kwa wenzao wasio wabunifu.
Sisi Wabunifu hatupati Msaada kabisa huku ngazi za Chini
Watu hawatusaidii
Wanaamini kuwa tukiwasaidia Maskini wao wasiopenda kuwasaidia watapoteza Vyeo vyao ndiyo maana hawako Tayari kutusaidia.
Kila tukiwaomba hawataki na ushahidi wa barua nilizo waandikia ninao ila wanakaa kimya tu.
Nakuomba Sasa Mheshimiwa Rais uingilie Kati , uniite Mheshimiwa Rais huku nikiamini kukuona wewe itakuwa ni Mwanzo wa kufanya Maamuzi magumu .
Nakumbuka August 2022
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Alisema
Mwamuzi wa Mwisho ni Mimi Kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu
Ni Mimi
Mwisho wa kunukuu
Kwa kulijuwa hili Mheshimiwa Rais nakuomba Mheshimiwa unitizame kwa jicho la kipekee ili nami niweze kufanya Jambo lisilo na bla bla la kuacha alama ndani ya Chama ingawaje Sisi Wabeba maono tunakuwa na vita vikubwa ili kuzuiwa tusitimize maono hayo.
Pastor Sunbella Kyando
Wa the Reality of Christ Church
Nakumbuka Tarehe 18/03/2022
Alisema
Kuna Mawazo (ambayo) Mungu ameyaongea ndani yako na unayadharau
Unayaona ni ya kawaida.
Lakini hayo Mawazo yamebeba hatma za watu
Hayo Mawazo yamebeba miisho ya Watu
Hayo Mawazo yamebeba destiny za watu na hao watu hawatakufa Kama utakubali kutengeneza hilyo safina.
Mwisho wa kunukuu
Naamini kwa Usikivu na Upendo wa Rais wetu alio nao kwa CCM naamini ataniita ili afanye Maamuzi ili niweze kufanya kazi kuacha alama ndani ya CCM.
Meja Generally Charles Mbuge
Akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera
Nakumbuka Tarehe 10/06/2022
Alisema
(Dkt Samia Suluhu Hassan) ni Rais Mwenye Maono
Rais Mwenye Upendo
Rais msikivu wa Awamu ya Sita.
Mwisho wa kunukuu
Kwa usikivu wa Mheshimiwa Rais Dkt Samia ,
Naendelea kufunga na kufanya maombi ili Mwenyezi Mungu amguse Mheshimiwa Rais Dkt Samia katika Hali ya kipekee kabisa amguse ili aweze kuniona na kuielewa Nia yangu thabiti iliyopo ndani yangu ya kuweka alama kubwa ndani ya CCM itakayokumbukwa vizazi hata vizazi.
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Nakumbuka Tarehe 10/06/2022
Katika Hafla ya ufunguzi wa Msikiti wa Jami'ul Istiqaama huko Bukoba Kagera
Alisema
Mwenyezi Mungu ametuambia kwenye vitabu vyake (vitakatifu na vitukufu)
Qur aan inasema
Mwenyezi Mungu ametuambia niombeni (Nami ) nitawajibu.
Twende tukaombe na Mwenyezi Mungu si Mchache wa kujibu
Atatujibu
Pia kwenye Biblia Kuna aya inayosema
Ombeni mtapewa
Bisheni hodi mtafunguliwa
Kwa hiyo nasi (twendeni) tukaombe ( mbele ya Mwenyezi Mungu)
Tumuombe Mwenyezi Mungu atushushie neema na Baraka zake.
Hivyo Basi kila mmoja wetu kwa imani yake
Hatuna budi kumuomba Mwenyezi Mungu Mara kwa Mara na kwa unyenyekevu mkubwa usiku na mchana ili (Mwenyezi Mungu) aweze kutukidhia haja zetu Mbali Mbali na kutuepusha na Majanga ya Dunia.
Mwisho wa kunukuu
Nimezuiliwa saana
Nimepuuzwa Sana
Naamini Sasa kwa Dua hizi
Naona mbigu zikimimina Baraka nakwenda kuitwa ikulu ili kuongea na Mheshimiwa Rais Dkt Samia kuhusu kukiimarisha Chama ngazi za huku Chini.
Apostle Deonis Mutalemwa Bushir
Wa Kanisa la ECG
Nakumbuka Tarehe 28/09/2021
Akitoa Mahubiri
Alisema
(Wagalatia 1:20) na hayo niliyo waandikia ,
Angalieni
Mbele za Mungu
Sisemi Uongo
Mwisho wa kunukuu
Nikashtuka kutoka Ndotoni nilipokuwa naota huku nikiwa nimeikunja Miguu huku nikisema huu ndiyo wakati muafaka wa kukiimarisha Chama ngani za huku Chini kabisa kwa Vitendo .


Kidumu Chama Cha Mapinduzi


Mathias Mugerwa Kahinga


🙏🏿🙏🏿🙏🏿🔨🔨🔨💪🏿💪🏿💪🏿
Mkishatumia hivyo vilevi vyenu visivyokuwa na viwango mnasumbua sana humu jamvini, JF imeingiliwa kweli na viwavi jeshi.
 
NAMUOMBA MWENYEZI MUNGU SAANA
AMJALIE RAIS WETU DKT SAMIA AFYA NJEMA
AMPE MACHO YA KIROHO
ANIONE POPOTE NILIPO
ANIITE MIMI
ILI NIKAMUONYESHE
FEDHA MAHALI ZILIPO ZA KUKIJENGA NA KUKIIMARISHA CHAMA
NGAZI ZA SHINA TAWI KATA NA JIMBO

Nilisikika katika Ulimwengu wa Kiroho huko Ndotoni nikunguruma Kama Simba baada ya Kikao fulani Cha chama kabla hakijaisha niliona Wanassem Mafukara wakipigana vikumbo kuwagombea Viongozi walau wawaachie chochote
Nikaumia saana Moyoni
Hasa kwa kuzingatia Mambo ya kufanya yapo ila waliopewa Nyadhifa za kufanya maamuzi ni wakali wakali muda wote
Mikwara mingi na vitisho vya kufa mtu Kinyume na viapo walivyoapa na kuahidi kuwa Wanyenyekevu
Mheshimiwa Daniel Godfrey Chongolo
Katibu Mkuu CCM Taifa
Nakumbuka Tarehe 15/06/2022 Katika Baraza kuu la UWT huko Dodoma
Alisema
Sisi ni Viongozi tuliopewa dhamana ya kusimamia katiba Kanuni na Miongozo halali ya Chama chetu.
Mwisho wa kunukuu
Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2022 uk 153 kifungu 04 ili kupata Uhalali wa kwenda kusoma Kanuni za Fedha na Mali za chama na Jumuiya zake toleo 2018 uk 164-165 kwa mazingatio makubwa.
Tusome katiba ya CCM 1977 toleo 2022 uk 09-10 ibara 14(5) kwa msisitizo.
Ilani ya CCM uk 01 ibara 04 na ibara 10 na 11.
Nakumbuka Tarehe 5/August/2021
Padre Dkt Faustine Kamugisha
Wa Parokia ya Minziro Jimbo la Bukoba
Alisema,
Ukitaka kumsaidia mtu Mwenye matatizo muache aongee
Aongee Sana
Na ili aongee msikilize na onyesha Juhudi kwamba unamsikiliza.
Mwisho wa nakumbuka Tarehe 13/07/2022
Comrade Shaka Hamdu Shaka
Akiwa Katibu NEC Itikadi Siasa na Uenezi CCM Taifa
Akiwa ndani ya ZBC- Zanzibar
Alisema
Chama chetu ni Chama Cha kusikiliza watu.
Mwisho wa kunukuu
Nikitazama Chama Cha Mapinduzi ngazi za Chini huku Machozi yananitoka
Hali ni Mbaya saaana
Wanachama Wana maisha magumu
Hata ikitokea Mwanachama kafariki hapati huduma stahiki anazo zistahili Kama Mwanachama wa Chama Tawala hasa kwa kuzingatia Chama hiki kina Mali nyingi zisizo wanufaisha Wanaccm walio wengi.
Wanachama wakiwezeshwa ni wazi watawahudumia vyema wananchi wenye changamoto
Wananchi walio wengi na wenye changamoto zilizo nyingi huishi huku ngazi za Chini .
Huku ndiko kunako paswa kurekebishwa saana na kuboreshwa kuliko huko Wilaya , Mkoa na Taifa.
Mheshimiwa Rais Dkt Hussein Mwinyi
Rais wa Zanzibar
Katika Baraza la Eid el fitr
Nakumbuka Tarehe 03/05/2022
Alisema tumuombe Mwenyezi Mungu (ili) atuongoze katika kufanya Mambo mema na kuyakimbilia Yale yote ya kheri ili tupate kufanikiwa hapa Duniani na kesho mbele ya Haki.
Mwisho wa kunukuu
Kufanikiwa kwetu Wana ssem ni kuwajali watu Wanyonge miongoni Mwetu kwani sio kheri kukimbilia nje kuwajali watu wa nje huku waliopambana kutuinua Sisi wakiwa ni Mafukara na Hawana hata hope yeyote ya kufikiriwa kuinuliwa kimaisha.
Wanassem ni wananchi pia ambao wanatamani waboreshewe maeneo Yao ili kazi zao za kusikiliza watu na kuisimamia serikali iweze kutekeleza ilani ya CCM.
Wanassem wamekuwa wakilia Vilio vikubwa na Machozi Yao kupotelea baharini pasipo kusikilizwa Wala kupewa hope.

Mheshimiwa Daniel Godfrey Chongolo
Katibu Mkuu CCM Taifa
Nakumbuka Tarehe 01/06/2022
Alisema
Hatuwezi kuwa tunafanya masihara kwenye Mambo ya msingi .
Mtu umepewa dhamana lazima uwajibike kwa dhamana uliyopewa.
Unatakiwa kutumikia Wananchi lazima utumikie Wananchi
Wananchi hawawezi wakawa Wana kilio (ambacho) hakifiki Mwisho.
Wamelalamika leo
Wamelalamika kesho
Wamelalamika Jana
Sisi (Viongozi wenye dhamana) tupo (tu)
Tumekaa kwenye ofisi.
Mwisho wa kunukuu
Diwani Manyama
Diwani wa Kata ya Wazo Dar es salaam
Nakumbuka Tarehe 19/06/2022
Alisema
Uongozi tunapopewa ni Utumishi Kama Utumishi mwingine,
Twende tukatumie nafasi tulizopewa kutatua kero za Wananchi.
Mwisho wa kunukuu
Mazingira mazuri ya kufanyia kazi husaidia Watu wanaoitumikia Jamii kufanya kazi kwa tija .
Mfano katiba ya CCM inamtaka Balozi atunze kumbukumbu
Atazitunzia wapi
Je Matawi yasiyo na ofisi yanatunzaje kumbukumbu za Chama !?
Je utunzaji wao hao wasio na ofisi uko kisheria !?
Tusome ilani ya CCM uk 01 ibara 04
Nakumbuka Tarehe 05/08/2022
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Katika uwekaji wa jiwe la msingi katika Jengo la ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya
Mheshimiwa Rais Dkt Samia alisema
Utafiti unaonyesha kwamba Mwaadamu akifanya kazi kwenye mazingira mazuri ,
Basi Kama ni Haki (anaitoa ) anakuwa ametulia anatoa Haki ipasavyo.
Kama ni huduma anatulia anatoa huduma ipasavyo.
Mwisho wa kunukuu
Saa nyingine tunawalaumu saana Wanaccm huku ngazi za Chini ila mazingira ya kazi zao ni magumu kiasi kwamba hata Haki hazitekelezeki inavyo stahili .
Ni jukumu letu Makada kuyaona haya kwani haya ni aibu kwetu wote Wazalendo ndani ya CCM.
Mheshimiwa Wanu Hafidh Ameir
Mwenyekiti wa Mwanamke Initiative Foundation Zanzibar
Binti wa Dkt Samia Suluhu Hassan
Nakumbuka Tarehe 19/06/2022
Alisema
Changamoto za kijamii ni nyingi na zinahitaji nguvu ya Pamoja (ili) kuzitatua.
Mwisho wa kunukuu
Wanaccm hatuna ofisi za kutosha ngazi za Chini
Hakuna kumbi za mikutano
Hakuna vyoo
Hakuna maji
Na Sisi ndiyo tunatakiwa kuwa na vitu hivyo vya msingi ili tutakapo kuwa tunaieleza jamii kuwa tutaiondolea Umaskini ione tunamaanisha hivyo
Pastor Sunbella Kyando
Wa The Reality of Christ Church
Nakumbuka Tarehe 17/11/2020
Alisema
(Mwenyezi Mungu) Kama kakuita kwenye Siasa ,
Yanayotokea kwenye Siasa yatakuwa yanakutesa saana.
Unaweza ukaona kila mtu anafurahia Hilo eneo ,
Lakini kila wakati ukiangalia kwenye hiyo sekta moyo wako unatoka machozi
Ukiona vinavyotokea kwenye Siasa havikuumizi(ujuwe) Wewe sio Mwanasiasa.
Mwisho wa kunukuu
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Katika Hafla ya utiaji saini wa mikataba ya ujenzi wa miundo mbinu ya Barabara huko Dodoma
Nakumbuka Tarehe 14/08/2022
Alisema
Kipaumbele (chetu) Cha kwanza ni Wananchi kule Chini.
Mwisho wa kunukuu
Tusome katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005 ibara 08 yote.
Ibara 26 yote bila kuiacha ibara 9(a)(b)(f)(h)
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
August 2022
Katika Hafla ya kuwaapisha Wakuu wa Mikoa
Alisema
Na (katiba ) iliyoko mezani kwangu ni katiba (ya )1977 toleo 2005.
Dkt Dotto Mashaka Biteko
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati
Akimuwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika Shughuli Maalumu za Waumini wa kikatoliki huko Tabora
Alisema
Tupambane kuwaondoa Watanzania kwenye Umaskini na kuwaletea nafuu kubwa ya maisha.
Mwisho wa kunukuu
Kauli hii inawezekana tu pale Baadhi ya Viongozi watakapoamua kubadili Mitazamo Yao juu ya Watanzania wanajitokeza wakiwa na ubunifu wakiomba kusaidiwa walau kuidhinishiwa Mambo fulani ili wayafanye wazalishe ajira kwa wenzao wasio wabunifu.
Sisi Wabunifu hatupati Msaada kabisa huku ngazi za Chini
Watu hawatusaidii
Wanaamini kuwa tukiwasaidia Maskini wao wasiopenda kuwasaidia watapoteza Vyeo vyao ndiyo maana hawako Tayari kutusaidia.
Kila tukiwaomba hawataki na ushahidi wa barua nilizo waandikia ninao ila wanakaa kimya tu.
Nakuomba Sasa Mheshimiwa Rais uingilie Kati , uniite Mheshimiwa Rais huku nikiamini kukuona wewe itakuwa ni Mwanzo wa kufanya Maamuzi magumu .
Nakumbuka August 2022
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Alisema
Mwamuzi wa Mwisho ni Mimi Kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu
Ni Mimi
Mwisho wa kunukuu
Kwa kulijuwa hili Mheshimiwa Rais nakuomba Mheshimiwa unitizame kwa jicho la kipekee ili nami niweze kufanya Jambo lisilo na bla bla la kuacha alama ndani ya Chama ingawaje Sisi Wabeba maono tunakuwa na vita vikubwa ili kuzuiwa tusitimize maono hayo.
Pastor Sunbella Kyando
Wa the Reality of Christ Church
Nakumbuka Tarehe 18/03/2022
Alisema
Kuna Mawazo (ambayo) Mungu ameyaongea ndani yako na unayadharau
Unayaona ni ya kawaida.
Lakini hayo Mawazo yamebeba hatma za watu
Hayo Mawazo yamebeba miisho ya Watu
Hayo Mawazo yamebeba destiny za watu na hao watu hawatakufa Kama utakubali kutengeneza hilyo safina.
Mwisho wa kunukuu
Naamini kwa Usikivu na Upendo wa Rais wetu alio nao kwa CCM naamini ataniita ili afanye Maamuzi ili niweze kufanya kazi kuacha alama ndani ya CCM.
Meja Generally Charles Mbuge
Akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera
Nakumbuka Tarehe 10/06/2022
Alisema
(Dkt Samia Suluhu Hassan) ni Rais Mwenye Maono
Rais Mwenye Upendo
Rais msikivu wa Awamu ya Sita.
Mwisho wa kunukuu
Kwa usikivu wa Mheshimiwa Rais Dkt Samia ,
Naendelea kufunga na kufanya maombi ili Mwenyezi Mungu amguse Mheshimiwa Rais Dkt Samia katika Hali ya kipekee kabisa amguse ili aweze kuniona na kuielewa Nia yangu thabiti iliyopo ndani yangu ya kuweka alama kubwa ndani ya CCM itakayokumbukwa vizazi hata vizazi.
Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
Nakumbuka Tarehe 10/06/2022
Katika Hafla ya ufunguzi wa Msikiti wa Jami'ul Istiqaama huko Bukoba Kagera
Alisema
Mwenyezi Mungu ametuambia kwenye vitabu vyake (vitakatifu na vitukufu)
Qur aan inasema
Mwenyezi Mungu ametuambia niombeni (Nami ) nitawajibu.
Twende tukaombe na Mwenyezi Mungu si Mchache wa kujibu
Atatujibu
Pia kwenye Biblia Kuna aya inayosema
Ombeni mtapewa
Bisheni hodi mtafunguliwa
Kwa hiyo nasi (twendeni) tukaombe ( mbele ya Mwenyezi Mungu)
Tumuombe Mwenyezi Mungu atushushie neema na Baraka zake.
Hivyo Basi kila mmoja wetu kwa imani yake
Hatuna budi kumuomba Mwenyezi Mungu Mara kwa Mara na kwa unyenyekevu mkubwa usiku na mchana ili (Mwenyezi Mungu) aweze kutukidhia haja zetu Mbali Mbali na kutuepusha na Majanga ya Dunia.
Mwisho wa kunukuu
Nimezuiliwa saana
Nimepuuzwa Sana
Naamini Sasa kwa Dua hizi
Naona mbigu zikimimina Baraka nakwenda kuitwa ikulu ili kuongea na Mheshimiwa Rais Dkt Samia kuhusu kukiimarisha Chama ngazi za huku Chini.
Apostle Deonis Mutalemwa Bushir
Wa Kanisa la ECG
Nakumbuka Tarehe 28/09/2021
Akitoa Mahubiri
Alisema
(Wagalatia 1:20) na hayo niliyo waandikia ,
Angalieni
Mbele za Mungu
Sisemi Uongo
Mwisho wa kunukuu
Nikashtuka kutoka Ndotoni nilipokuwa naota huku nikiwa nimeikunja Miguu huku nikisema huu ndiyo wakati muafaka wa kukiimarisha Chama ngani za huku Chini kabisa kwa Vitendo .


Kidumu Chama Cha Mapinduzi


Mathias Mugerwa Kahinga


🙏🏿🙏🏿🙏🏿🔨🔨🔨💪🏿💪🏿💪🏿
ephen_ vipi jamaa amekuja kivingine?
 
Back
Top Bottom