Uongozi wa UDSM watoa angalizo uwepo wa CHATU maeneo ya Shule ya Msingi Mlimani

Chatu hawindi binadamu hasa watu wazima. Ni watu wachache sana wameshamezwa na chatu duniani hasa kwa miaka ya karibuni. Labda watoto wadogo inaweza kuwa hatari.

Inawezekana ni kweli. Kuna moja ilitokea Zambia 🇿🇲. Mama alikuwa akijifungua akiwa shambani peke yake. Kumbe chatu yupo anavizia. Alipomaliza tu kujifungua, chatu akammeza mtoto. Ilikuwa mbaya sana.
 
Mnaosema huyo chatu hana madhara mjitafakari. Mnyama wa mwituni akishaingia kwenye makazi ya binadamu anakuwa hatari mno kwasababu na yeye anajihami. Miaka ya karibuni huko Karatu watu wameliwa sana na fisi wanaosemakana walitoka hifadhini Ngorongoro na kuingia Karatu. Watoto wadogo wanakuwa hatarini zaidi. TAWA ni idara ya kipumbavu sana kuwahi kuwepo nchini. Karatu watu zaidi ya 20 walipoteza maisha ila bado hakukuwa na hatua zozote zilizochukuliwa hadi mbunge wa viti maalum CHADEMA Mh Cecilia Paresso alivyopeleka hoja bungeni. Pia UDSM nawaona ni wapumbavu. Wameshindwaje kuchukua hatua kwa kushirikiana na TAWA bila hata kutoa tangazo kwa wananchi?
 
sasa si angewaandikia tawa, anaway ngoja nimtaarifu nyanda kabundi huwa anawaita hao chatu kama kuku na kuwakamata
 
Back
Top Bottom