jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,257
Kwa wale wakuu wa JF niliowaudhi hadi nikafungiwa...Naomba niwaeleze kuwa sitoruka tena anga zenu...Ila bosi wenu mi nayeye kule facebook halafu tuone kama facebook nao watanifungia!
Kwa wale wazalendo...Muendeleze mpambano huu hapa jf kwa niaba ya wanyonge hadi kieleweke!
Kwa wale wazalendo...Muendeleze mpambano huu hapa jf kwa niaba ya wanyonge hadi kieleweke!