CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,974
- 23,242
Doh!
Mawifi wanapata tabu Sana..
Wewe ni pasua kichwa
🤫🤫🤫
ongea taratibu sasa,sauti yote hiyo na wewe
Doh!
Mawifi wanapata tabu Sana..
Wewe ni pasua kichwa
ila kuwaeka "wallpaper" nahisi ndio ninachowezaDoh!
Mawifi wanapata tabu Sana..
Wewe ni pasua kichwa
ila kuwaeka "wallpaper" nahisi ndio ninachoweza
nadhani ndio kinachowafanya wasini mind maana akishka simu
anakutana na msura wake umetanda pale juuuu "amani lazima imtawale"
ila kuwaeka "wallpaper" nahisi ndio ninachoweza
nadhani ndio kinachowafanya wasini mind maana akishka simu
anakutana na msura wake umetanda pale juuuu "amani lazima imtawale"
Mambo ya kupostiana nilishaacha
Hahaaa! Ni kupindua meza kibabeNikipost huwa naenda kwenye setting naweka aone yeye na marafiki zake tu.. akitaka screenshot nafanya editting inaonekana wameview watu 100+ kumbe kaona yeye na marafiki zake tu
Weka privacy tu kuna msichana mmoja alinipa tunda kiutan baada ya kuona kila siku namuomba picha alafu namueka status nikamwambiaga namkubali sana nikamwagia sifa zote ilikuwa kwa siku naweka status hata 5 ilifika kipind hata sijaomba picha natumiwa hapo hapo naweka status kumbe niliweka privacy alikuwa anaziona yeyepeke yake
Hiyo tulianza kuitumia zaman akati naolewa nlimblock hawara nikapost za husband baada ya wik nik unblock.......saivi nkimmiss hawara nablock husband 🤣 🤣 🤣Aisee! Ukidate na vi slay Queen ambavyo unataka uvipost kwenye WhatsApp status ni mtihani kweli!hasa pale unapokuwa una Mademu watatu sasa ukijifanya unapost kizembe huku kwingine wanapindua meza kibabe!
Mimi mbinu nayotumia nawablock kwanza kwa muda hao wawili na mashemeji uchwara kisha ndio napost baada ya masaa kadhaa nafuta status kisha Nina unblock, kisha napiga tena wengine block ya muda kisha napost mwingine!
Yeye mwenyewe umri wake unaujua??mapenzi ya kitoto hayo...ila tunao date na mijimama...huwa awana mambo hayo kabisa...ninachokushauli achana na vitoto vya shule utafungwa
Aisee! Ukidate na vi slay Queen ambavyo unataka uvipost kwenye WhatsApp status ni mtihani kweli!hasa pale unapokuwa una Mademu watatu sasa ukijifanya unapost kizembe huku kwingine wanapindua meza kibabe!
Mimi mbinu nayotumia nawablock kwanza kwa muda hao wawili na mashemeji uchwara kisha ndio napost baada ya masaa kadhaa nafuta status kisha Nina unblock, kisha napiga tena wengine block ya muda kisha napost mwingine!
Hiyo tulianza kuitumia zaman akati naolewa nlimblock hawara nikapost za husband baada ya wik nik unblock.......saivi nkimmiss hawara nablock husband
Hiyo tulianza kuitumia zaman akati naolewa nlimblock hawara nikapost za husband baada ya wik nik unblock.......saivi nkimmiss hawara nablock husband 🤣 🤣 🤣