Unasemaga asante baada ya tendo la ndoa?

Hili nalo jipu
 

Attachments

  • Screenshot_2017-04-29-11-59-54.png
    Screenshot_2017-04-29-11-59-54.png
    84.2 KB · Views: 84
kwa hiyo hata kufuta hilo dudu hufuti? me napenda ukimaliza usubiri kidogo kama dakika mbili ndiyo utoe si unakojoa unaruka kama ulienda kutupa uchafu jalalani unakimbia sababu ya harufu kali ya uchafu .....
Unafurahia Ule Uji Wa Moto Ukikuingia Eenhe
 
kwa hiyo hata kufuta hilo dudu hufuti? me napenda ukimaliza usubiri kidogo kama dakika mbili ndiyo utoe si unakojoa unaruka kama ulienda kutupa uchafu jalalani unakimbia sababu ya harufu kali ya uchafu .....
sio sababu ya harufu kali wala nini? ni vile sipendi kumwona tu katika mazingira ya chumba changu tena huwa natamani na aondoke tu...
 
  • Thanks
Reactions: 911
Sijui na sisi tusiokua nje ya ndoa tunastahili kusema ni tunafanya tendo la ndoa? Anyway vyovyote hilo tendo linavyoitwa hua nashukuru.

Ni kama nikienda dukani, natoa hela kupewa kitu fulani... Muuzaji akainikabidhi hicho kitu hua namshukuru.
Hicho kitendo ni kama huduma fulani, ni vizuri kushukuru.
 
kwa hiyo hata kufuta hilo dudu hufuti? me napenda ukimaliza usubiri kidogo kama dakika mbili ndiyo utoe si unakojoa unaruka kama ulienda kutupa uchafu jalalani unakimbia sababu ya harufu kali ya uchafu .....
Aisee, wewe ni jembe jembe... Safi sana
 
Asante sana mpenzi wangu.
Pole kwa shughuli.
Lazima itoke Shukrani nzuri
 
kwa hiyo hata kufuta hilo dudu hufuti? me napenda ukimaliza usubiri kidogo kama dakika mbili ndiyo utoe si unakojoa unaruka kama ulienda kutupa uchafu jalalani unakimbia sababu ya harufu kali ya uchafu .....
Mi naicha ndani huko huko hadi kesho yake asubuhi
 
Back
Top Bottom