Nawaza tu sakata la Mwakabela ingekuwa ni zile enzi za Shujaa Magufuli na yule RC.

Mungu ni mwema wakati wote.

Jumaa Mubarak 😀😀

====

Pia soma: ACT Wazalendo: Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela
Mzee Mgaya mbona unayumba sana? Hivi wakati wa JIWE nani alikuwa ndiyo aliyekuwa anaongoza GENGE LA WASIOJULIKANA?

Si bado yupo huyo kiongozi wa GENEGE LA WASIOJULIKANA? kama yupo bado utekaji utaendelea tu hata kama JIWE hayupo.

Kwani CEO akifa na kampuni inakufa? Si ina management ambayo itaendelea kufanya kazi ndiyo maana MENGI amefariki bado IPP inaendelea kupiga kazi.
 
Mheshimiwa ni mdini haijapata kutokea. Halafu haya mambo bhana kumbe kama watu wanajipigia rasilimali za nchi wapendavyo rais uliyeko madarakani hata kama yatafanyika Madudu gani hutoona watu wanalalamika maana wanahisi wakipiga kelele watu wanaweza kushtuka na kutolewa.

Kwa sasa Samia hata yafanyike madudu ya namna na kiwango gani hakuna atakayesema huh utawala ni wa kidikiteta ila sasa gusa maslahi ya mafisadi haki anani utaona kelele za kila rangi.
 
Gener Z ya Tanzania;

1.Tunaimani na Mo
2. Hakuna kama engenear Heris
3.Aziziz K ni bora kuliko Chama
4.Mwakani Chama letu linachukua ndoo EPL
5. Diamond ana pesa sana.
6. Kiwanja gani kuna Mademu wakari?
7.Mama ni Yanga damu damu hapana ni Simba Damu damu yule.
8.Kampuni gani ya mabasi ina wahudumu wakari?
9.Jana kuna timu moja tu imenichania mkeka nilikuwa niondoke na Milion
10. Mama anatujengea uwanja mpya wa mpira safi sana ajenge na Dodoma.
11.Siasa mchezo mchafu sijihangisji kupiga kura.

Hizi ndio stories za Gener Z ya Tanzania kutwa nzima.
 
Mheshimiwa ni mdini haijapata kutokea. Halafu haya mambo bhana kumbe kama watu wanajipigia rasilimali za nchi wapendavyo rais uliyeko madarakani hata kama yatafanyika Madudu gani hutoona watu wanalalamika maana wanahisi wakipiga kelele watu wanaweza kushtuka na kutolewa.

Kwa sasa Samia hata yafanyike madudu ya namna na kiwango gani hakuna atakayesema huh utawala ni wa kidikiteta ila sasa gusa maslahi ya mafisadi haki anani utaona kelele za kila rangi.
Zitto ni mdini haswa
 
Maana ya Gen Z.
Kwa mujibu vyanzo vya mtandaoni, Gen Z ni vijana waliozaliwa kuanzia mwishoni mwa miaka 1990. Pia wanafahamika kama kizazi cha kidijitali kwa sababu walizaliwa wakati mtandao ndio umeanza kuchipukia.

Hiki ndicho kizazi kinachosadikika kukuza mtandao ndio maana kimepewa jina Gen Z ambalo lina maana ya: Gen=Generation. Z=Zoomer. Hivyo, kijana aliyezaliwa katika hicho anaweza kuwa na miaka 26-28

Gen Z ya Tanzania!

Tumeona au kusikia huko Kenya Gen Z yao imeandaa maandamano bila kujali ukabila dhidi ya mswaada wa kodi na wamefanikiwa kwa sababu rais hajasaini na ameurudisha bungeni. Gen Z ya Kenya imekuwa kitu kimoja kupigania mustakabali wao.

Mimi nawauliza wajumbe kila mmoja atathmini kwa kurejea Gen Z ya Tanzania iliyopo mtaani na mtandaoni;

1. Je, Gen Z ya Tanzania ina uwezo wa kupigania haki zao?

2. Je, Gen Z ya Tanzania inafuatilia mambo yanayohusu nchi yao?

3. Je, Gen Z ya Tanzania inauwezo wa kujisimamia katika maisha na kufika mbali au ni mpaka wapewe mwongozo na wazazi au walezi?

4. Je, Gen Z ya Tanzania inatumia muda mwingi kufanya nini katika maisha yao ya kila siku?

5. Je, Gen Z ya Tanzania inaweza kupewa madaraka mbalimbali na wakafanya vizuri?

6.Je, Gen Z ya Tanzania ni ya moto au imepoa? Kama imepoa, ni nini kimesababisha kuwa hivi?

Ikumbukwe, Gen Z ndio baadae wanakuwa watu wazima. Je, Gen Z ya Tanzania inaandaliwaje baadae kuwa watu wazima na kuongoza nchi baada ya wale wazee wajamaa wote kuisha?
Gen Z ni jina la Kimarekani, linalotaja kizazi cha cha Kimarekani, kwa historia ya Marekani, inayotupa watu wenye tabia zilizopo Marekani.

Tanzania hakuna Gen Z.

Tafuteni majina yenu kuwasema watu wa nchi zenu, msiwe gezageza kila kitu mnageza.
 
Yaani sijui jamaa anakwama wapi na wakati alikuwa mwanasiasa mzuri sana ila udini umemharibia sana!! Zitto yuko tayari hata nchi yote iuzwe ila muhimu anayeuza ajue tu kuongea hata kiarabu cha kwenye Quran na anayenunua awe muislam mwenzake hapo hutomuona kasema chochote
Anajua waislamu wote watamsikiliza
 
Maana ya Gen Z.
Kwa mujibu vyanzo vya mtandaoni, Gen Z ni vijana waliozaliwa kuanzia mwishoni mwa miaka 1990. Pia wanafahamika kama kizazi cha kidijitali kwa sababu walizaliwa wakati mtandao ndio umeanza kuchipukia.

Hiki ndicho kizazi kinachosadikika kukuza mtandao ndio maana kimepewa jina Gen Z ambalo lina maana ya: Gen=Generation. Z=Zoomer. Hivyo, kijana aliyezaliwa katika hicho anaweza kuwa na miaka 26-28

Gen Z ya Tanzania!

Tumeona au kusikia huko Kenya Gen Z yao imeandaa maandamano bila kujali ukabila dhidi ya mswaada wa kodi na wamefanikiwa kwa sababu rais hajasaini na ameurudisha bungeni. Gen Z ya Kenya imekuwa kitu kimoja kupigania mustakabali wao.

Mimi nawauliza wajumbe kila mmoja atathmini kwa kurejea Gen Z ya Tanzania iliyopo mtaani na mtandaoni;

1. Je, Gen Z ya Tanzania ina uwezo wa kupigania haki zao?

2. Je, Gen Z ya Tanzania inafuatilia mambo yanayohusu nchi yao?

3. Je, Gen Z ya Tanzania inauwezo wa kujisimamia katika maisha na kufika mbali au ni mpaka wapewe mwongozo na wazazi au walezi?

4. Je, Gen Z ya Tanzania inatumia muda mwingi kufanya nini katika maisha yao ya kila siku?

5. Je, Gen Z ya Tanzania inaweza kupewa madaraka mbalimbali na wakafanya vizuri?

6.Je, Gen Z ya Tanzania ni ya moto au imepoa? Kama imepoa, ni nini kimesababisha kuwa hivi?

Ikumbukwe, Gen Z ndio baadae wanakuwa watu wazima. Je, Gen Z ya Tanzania inaandaliwaje baadae kuwa watu wazima na kuongoza nchi baada ya wale wazee wajamaa wote kuisha?
Jana nlikua nafuatlia malumbano ya hoja, gen Z kutoka vyuo kadhaa mkoani mwanza pia walikuepo

Nlichogundua mfumo wa elimu wa Tanzania haumwandai genZ wa bongo kujielewa
 
Maana ya Gen Z.
Kwa mujibu vyanzo vya mtandaoni, Gen Z ni vijana waliozaliwa kuanzia mwishoni mwa miaka 1990. Pia wanafahamika kama kizazi cha kidijitali kwa sababu walizaliwa wakati mtandao ndio umeanza kuchipukia.

Hiki ndicho kizazi kinachosadikika kukuza mtandao ndio maana kimepewa jina Gen Z ambalo lina maana ya: Gen=Generation. Z=Zoomer. Hivyo, kijana aliyezaliwa katika hicho anaweza kuwa na miaka 26-28

Gen Z ya Tanzania!

Tumeona au kusikia huko Kenya Gen Z yao imeandaa maandamano bila kujali ukabila dhidi ya mswaada wa kodi na wamefanikiwa kwa sababu rais hajasaini na ameurudisha bungeni. Gen Z ya Kenya imekuwa kitu kimoja kupigania mustakabali wao.

Mimi nawauliza wajumbe kila mmoja atathmini kwa kurejea Gen Z ya Tanzania iliyopo mtaani na mtandaoni;

1. Je, Gen Z ya Tanzania ina uwezo wa kupigania haki zao?

2. Je, Gen Z ya Tanzania inafuatilia mambo yanayohusu nchi yao?

3. Je, Gen Z ya Tanzania inauwezo wa kujisimamia katika maisha na kufika mbali au ni mpaka wapewe mwongozo na wazazi au walezi?

4. Je, Gen Z ya Tanzania inatumia muda mwingi kufanya nini katika maisha yao ya kila siku?

5. Je, Gen Z ya Tanzania inaweza kupewa madaraka mbalimbali na wakafanya vizuri?

6.Je, Gen Z ya Tanzania ni ya moto au imepoa? Kama imepoa, ni nini kimesababisha kuwa hivi?

Ikumbukwe, Gen Z ndio baadae wanakuwa watu wazima. Je, Gen Z ya Tanzania inaandaliwaje baadae kuwa watu wazima na kuongoza nchi baada ya wale wazee wajamaa wote kuisha?
Kwani kuna ulazima kuiga Kenya. Yasingetokea Kenya ungeandika huu upuzi??
 
Sina wivu na Mtu aliekufa.


Unajisikiaje ukijua yeye ndiye alikuwa Rais wa Tanzania lakini?😂😂😂😂😂

Kuuumbe ni wivu tu
===============

Mwendazake Ali Hassan Mwinyi Amekufa, Membe Amekufa, Lowassa nae Amekufa na anaungua kwa Ufisadi wake....

Na wewe utakufa tu na sidhani kama utawekewa hata uzi mmoja wa Tanzia.
 
Back
Top Bottom