Natron Ltd
Member
- Feb 11, 2016
- 56
- 18
- Thread starter
- #41
ndo maana mnaambiwaga mfanye analysis ya data kabla ya kukurupuka kujibu wewe uoni kama hyo 2m kuna vifaa vya kutosha humo??? acha kukurupuka kwenye kazi usizozijua kama umesomea education fundisha, kama ni lawyer baki hukohuko ... wacha wenye field yao ndo wafanye critismEbu uone jamaa asivyo na aibu vitae sh 1.1m ufundi 2 m . Hapo wakuu kumbukeni mbayuwayu wa msoga alisema neno