Hapana wengine tuna ban hukowacha ni editi iende jukwaa la mabo ya kikubwa
wacha ni editi iende jukwaa la mabo ya kikubwa
IMA JUNGU KUU HALIKOSI UKOKOUkiachana na ishu za ushirikina baharini na mambo mengi ya ajabu mengi uliyoongea ni kweli kabisa labda tu kwa kuongezea ni kwamba
-kama unasafiri na meli boat mtumbwi jahazi nk ikitokea ukapata kichefuchefu au kujisikia kutapika lala chali Ukiangalia juu
-bahari pekee ndio ambayo mpaka leo kuna viumbe mimea na vitu vya ajabu vinavumbuliwa
AMA KWELI ELIMU NI BAHARIChini ya bahari kuna idadi kubwa ya Viumbe kuliko huku juu, kuna milima, mabonde ya kutisha, pango na miti mirefu, pia bahari mpaka Leo hatujui wapi Yale maji yakitoka yanakwenda na yakirudi hujui wapi yatoka. Hii ni miujiza mikubwa. Bahari INA maua mazuri kuliko huku juu na viumbe wa kutisha hatari. Huenda siku nyingine ukakutana na ngombe chini ya bahari.
Kuna chunusi unaweza ukazama kwenye maji ya kwenye kifua tuu na usionekane tena hata kama ulikua unajua kuogelea. Nimambo mengi huwezi kuyamaliza.
Mshàna Jr lile tatizo language halijesha naomba unisaidie.
Tukutane dar weekend hii tutawasiliana pmChini ya bahari kuna idadi kubwa ya Viumbe kuliko huku juu, kuna milima, mabonde ya kutisha, pango na miti mirefu, pia bahari mpaka Leo hatujui wapi Yale maji yakitoka yanakwenda na yakirudi hujui wapi yatoka. Hii ni miujiza mikubwa. Bahari INA maua mazuri kuliko huku juu na viumbe wa kutisha hatari. Huenda siku nyingine ukakutana na ngombe chini ya bahari.
Kuna chunusi unaweza ukazama kwenye maji ya kwenye kifua tuu na usionekane tena hata kama ulikua unajua kuogelea. Nimambo mengi huwezi kuyamaliza.
Mshàna Jr lile tatizo language halijesha naomba unisaidie.
OkTukutane dar weekend hii tutawasiliana pm