Ummy Mwalimu: 1.4% ya Watanzania bado wanajisaidia vichakani

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,147
2,008
Waziri wa afya amesema kuwa idadi ya Watanzania wanaojisaidia vichakani imepungua kutoka asilimia 5.7 hadi 14 Desemba 2021.

Ameyasema hayo leo Jumatatu, Aprili 11, 2022 wakati akitaja mafanikio yaliyopatikana kupitia kampeni ya Nyumba ni Choo kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka mitano ya kampeni hiyo nchini.
 
wamesha kuta makimba mangapi yaliyo porini na vichakani.labda anataka kuunganisha na ripoti ya ziwa victoria
 
Back
Top Bottom