Umewahi kuchezea block toka kwa mpenzi wako? (Ushuhuda)

Kawaida katika maisha kanipa block fb tuu tsap ipo open ila sihitaji kumtafuta kwa dalili aliyo nionyesha na msimamo wangu ktk maisha sihitaji na haitakuja kutokea nipelekeshwe na mwanamke hawa wameumbwa watusikilize tuwasikilize lkn sio watupelekeshe asee!!
Naam mkuu

Huo ndio msimamo wa kiume
 
Mimi niliwahi kula blokuu kwa mtoto mmoja hivi alionesha kunielewaa maana kabla sijamtongoza alikuwa ananiita kipenzi na majina ya kuvutiaaa kinomaaa basi bwana nikimcheki anaonesha kunijali sanaaaaa (mara take care) nk, weeh mm nikawa sina papara za haraka haraka nikaona nisije nikaharibu mambo nikawa navunga si nikaj kuona status kwenye mtandao mmoja wa messaging eti kaandika nakupenda hivohivo ikiwa haina picha ya mtu anayemwambia hivoo

basi kulingana na hiyo nikilinganisha na yale majina nikaona huenda naambiwa mm nikaona isiwe tabu nimfungukiee tu maana me mwenyewe nilikuw nampenda nikaja kumtext jionii akanijibu ndo nilikuwa nakuwazaaa hapa sasa nikasema mambo si ndo haya basi nikamueleza lengo langu akasema asante akawa anajibu asante nikamwambia sema kitu roho itulie aiseee nilipewa jibu la kunikatisha tamaa kabisaaa akasema sitamuweza kabisaaa nikamuuliza kwann na kvp akawa hanipi majibu ya kueleweka sasa sisi wengine hatuwezagi kubembeleza nikamwambia sitakutongoza tenaaa basi toka hapo nikalambwa bloku saafi koteee yaani fb,insta, normal messages,calls, isipokuwa tiktok tu naona anajilalamisha kule mara ooh alikununiaa ukiwa wapi mara sijui nn mambo mengi kwa kweli

Kama yupo humu atambue bado nampenda hivo tuu
 
Mimi niliwahi kula blokuu kwa mtoto mmoja hivi alionesha kunielewaa maana kabla sijamtongoza alikuwa ananiita kipenzi na majina ya kuvutiaaa kinomaaa basi bwana nikimcheki anaonesha kunijali sanaaaaa (mara take care) nk, weeh mm nikawa sina papara za haraka haraka nikaona nisije nikaharibu mambo nikawa navunga si nikaj kuona status kwenye mtandao mmoja wa messaging eti kaandika nakupenda hivohivo ikiwa haina picha ya mtu anayemwambia hivoo

basi kulingana na hiyo nikilinganisha na yale majina nikaona huenda naambiwa mm nikaona isiwe tabu nimfungukiee tu maana me mwenyewe nilikuw nampenda nikaja kumtext jionii akanijibu ndo nilikuwa nakuwazaaa hapa sasa nikasema mambo si ndo haya basi nikamueleza lengo langu akasema asante akawa anajibu asante nikamwambia sema kitu roho itulie aiseee nilipewa jibu la kunikatisha tamaa kabisaaa akasema sitamuweza kabisaaa nikamuuliza kwann na kvp akawa hanipi majibu ya kueleweka sasa sisi wengine hatuwezagi kubembeleza nikamwambia sitakutongoza tenaaa basi toka hapo nikalambwa bloku saafi koteee yaani fb,insta, normal messages,calls, isipokuwa tiktok tu naona anajilalamisha kule mara ooh alikununiaa ukiwa wapi mara sijui nn mambo mengi kwa kweli

Kama yupo humu atambue bado nampenda hivo tuu
Best Friend hatongozwi
 
Mimi niliwahi kula blokuu kwa mtoto mmoja hivi alionesha kunielewaa maana kabla sijamtongoza alikuwa ananiita kipenzi na majina ya kuvutiaaa kinomaaa basi bwana nikimcheki anaonesha kunijali sanaaaaa (mara take care) nk, weeh mm nikawa sina papara za haraka haraka nikaona nisije nikaharibu mambo nikawa navunga si nikaj kuona status kwenye mtandao mmoja wa messaging eti kaandika nakupenda hivohivo ikiwa haina picha ya mtu anayemwambia hivoo

basi kulingana na hiyo nikilinganisha na yale majina nikaona huenda naambiwa mm nikaona isiwe tabu nimfungukiee tu maana me mwenyewe nilikuw nampenda nikaja kumtext jionii akanijibu ndo nilikuwa nakuwazaaa hapa sasa nikasema mambo si ndo haya basi nikamueleza lengo langu akasema asante akawa anajibu asante nikamwambia sema kitu roho itulie aiseee nilipewa jibu la kunikatisha tamaa kabisaaa akasema sitamuweza kabisaaa nikamuuliza kwann na kvp akawa hanipi majibu ya kueleweka sasa sisi wengine hatuwezagi kubembeleza nikamwambia sitakutongoza tenaaa basi toka hapo nikalambwa bloku saafi koteee yaani fb,insta, normal messages,calls, isipokuwa tiktok tu naona anajilalamisha kule mara ooh alikununiaa ukiwa wapi mara sijui nn mambo mengi kwa kweli

Kama yupo humu atambue bado nampenda hivo tuu
Hahah,mkuu kwa kifupi hapo ulishoboka ila hizo status ulizoona anapost wala haikua zinakuhusu,kwakifupi ana jamaa yake anae mpeleka speed,ivo wew ulivamia sherehe isiyo kuhusu.
 
Waungwana shida ziko palepale!
Twendeni kwenye mada

Nafikiri sote humu tushakuwa kwenye mahusiano kwa muda fulani, na kila mahusiano yana vimbwanga vyake, asikwambie mtu kila mahusiano yana changamoto zake.

Sasa hapa tunajadili kama uliwahi kuchezea blocki toka kwa mpenzi wako iwe ktk Harakati za kutongoza au wakati wowote ule

Nitaanza na ushuhuda wangu

Binafsi nina bahati sana kwenye mahusiano sijawahi kuchezea bloku ila niliwahi omba bloku kwa mtoto wa kile mmoja hivi

Huyo binti nilikuwa nae chuoni nilitokea kumpenda sana sana sana, nikamtongoza karibia wiki mbili ikawa kama hanielewi

Ktk wiki zote hizo pilika pilika zilikua nyingi sana maana hakuwa ananikataa mazima wala kunikubali

Sasa ktk kupima usiku mmoja nilimuomba kama hanitaki basi anibloku, ila kuamka kesho yake kupiga simu inaita

Ikawa bado haeleweki nikaomba sana anibloku hatimae nilichokitaka nilikipata 😂

Nilikula bloku partial yani kanibloku normal ila whatsapp alikuwa online

Baada ya siku mbili nikaona siwezi maisha yale nikapiga simu Whatsapp call nikamuomba aniondolee hizo sanctions haraka, binti alinipenda na akaondoa lakini kusema ukweli ilichukua masaa 8 ya negotiation kuondoa vikwazo hivyo ila aliviondoa na baada ya siku 4 alikubali officially!

Mbali na tukio hilo sikuwahi kublokiwa wala kumbloku mtu tena

Vipi kwako ilikuaje? Ulijisikiaje? Baada ya bloku hiyo ulitumia njia gani kuiondoa au ulipotezea?

Karibuni sana

Bandiko hili ni kwa hisani ya Mzee wa kupambania
Wenzako wanachezea papuchi na sio block
 
Back
Top Bottom