Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,825
- 6,057
Nilipokua mdogo nilisema nikiwa mkubwa nitapata pesa, nitakua nawasaidia masikini, ila mpaka sasa hivi najiona Mimi ndio maskini mwenyewe ninayepaswa kusaidiwa kabisaa, sijafika 30 lakini nina approach 30, naona kama game ni gumu sana,
Inabidi nikae chini zaidi nifanye meditation nijue nimekuja kufanya nini duniani, maana nikisema utajiri naona kama hamna kabisa😁.
Watu wazima wenye miaka 40 -70 wasiokua na pesa ni wengi tu lakini kiukweli sitaki kua Miongoni mwao, ila kuna kitu nakiona kwenye maisha ukitaka vitu vizuri lazima ufanye juhudi, pia usubirie saana (uvumilivu ndio muhimu), japo wengine wanazaliwa na bahati tu, kila akifanya kinaenda lakini wengine lazima tupiganishe saana.
Mfano, nilishawai kuuza vitunguu sokoni ilala sokoni, gunia moja lilikua linachukua week mbili haliishi mpaka vitunguu vinanyauka, lakini wengine wanauza gunia moja kwa siku,
Mifano ya kupambana ni mingi sana, ukisema uingie shambani utakuta wapo waliofanikiwa kwenye mashamba, ingiza wewe uone moto, lakini je tutaacha kufanya? Lazima tuendelee kupigana na kupambana mpaka mwisho.
Hii dunia ninavyoiona, haitaki mazoea na watu maskini kabisaa, yaani lazima utapata matokeo ya umaskini.
Tusichoke tu, tuendelee kupambana.
Inabidi nikae chini zaidi nifanye meditation nijue nimekuja kufanya nini duniani, maana nikisema utajiri naona kama hamna kabisa😁.
Watu wazima wenye miaka 40 -70 wasiokua na pesa ni wengi tu lakini kiukweli sitaki kua Miongoni mwao, ila kuna kitu nakiona kwenye maisha ukitaka vitu vizuri lazima ufanye juhudi, pia usubirie saana (uvumilivu ndio muhimu), japo wengine wanazaliwa na bahati tu, kila akifanya kinaenda lakini wengine lazima tupiganishe saana.
Mfano, nilishawai kuuza vitunguu sokoni ilala sokoni, gunia moja lilikua linachukua week mbili haliishi mpaka vitunguu vinanyauka, lakini wengine wanauza gunia moja kwa siku,
Mifano ya kupambana ni mingi sana, ukisema uingie shambani utakuta wapo waliofanikiwa kwenye mashamba, ingiza wewe uone moto, lakini je tutaacha kufanya? Lazima tuendelee kupigana na kupambana mpaka mwisho.
Hii dunia ninavyoiona, haitaki mazoea na watu maskini kabisaa, yaani lazima utapata matokeo ya umaskini.
Tusichoke tu, tuendelee kupambana.