Hapa ndio penye siri ya dhana ya kifo kwenye mwili uharibikao.
Vipi unajisikiaje asubuhi hii? Umemaliza dose. Huku mtandao ulikuwa shida tuna storms nilishindwa kukupata. Nitakutafuta baaday.
Hapa ndio penye siri ya dhana ya kifo kwenye mwili uharibikao.
Vipi unajisikiaje asubuhi hii? Umemaliza dose. Huku mtandao ulikuwa shida tuna storms nilishindwa kukupata. Nitakutafuta baaday.
Umenena vyema mkuu.Hapa ndio penye siri ya dhana ya kifo kwenye mwili uharibikao.
Kwa imani za Mungu mmoja, binadamu aliumbwa toka mavumbini...aliumbwa kinyago mpaka pale alipopuliziwa pumzi ya uhai/kuwekewa roho.
Mungu aliposema natuumbe mtu kwa mfano wetu dhana kuu ilikuwa kwenye ile pumzi ya uhai pumzi ya uzima, uzima wa milele.
Pumzi inayozungumziwa hapa ni ile pumzi ya kimungu ambayo IPO ilikuwepo na itakuwepo milele..haifi wala kuharibika ni pumzi roho isiyokufa.
Ndio maana baadhi ya imani hutumia maneno haya uliumbwa kwa mavumbini na mavumbini utarejea kamwe pumzi yako iliyokutoka haitajwi kwakuwa haijafa bali imerudi panapostahili ama la kwenda pengine popote.
Mungu sio mwili bali ni roho na pumzi ya uzima wa milele ukienda paradiso huendi mwili unaenda roho isiyokufa ukienda jehanam huendi mwili bali unaenda roho iliyobeba ufahamu.
Unapojitahidi sana kuugharamia huu mwili uharibikao kwa nguo na vipodozi vya gharama na karamu za kidunia huku roho ikiwa chafu ni sawa na kujipaka manukato ya bei ghali kwenye mwili mchafu.
Hivi kwenye gari unaweza kuondoa kila kitu ukabaki na engine na chassis tu?Makala yako ina jumla ya Paragraph 7.
Ningekua editor ningefuta paragraph 6 za juu nikabakiza ile ya 7 tuu.
Maana ndio imebeba ujumbe wote.
Qul nafsi will taqrib mauti