Harvey frank
Member
- Jun 17, 2016
- 54
- 22
MeWewe ni ke au me.?![]()
MeWewe ni ke au me.?![]()
hahahha basha?? we ni basha kwa hiyo?At 19 ilinisimbua sana ..lakini ilinipa hasira ya kupiga kitabu zaidi.Binti mkubwa tu sema mama yake aliolewa na basha mwengine
Nilifikiri yule kaka uliotusimulia episodes tatu ndio angekupa mtoto wa kwanza!Binafsi nikiwa na miaka 22 tulipanga na mwenza wangu uwezi amini mwanangu nampenda sana ata enjoy maisha yake yote atojutia
Pole ndugu kwa kuondojewa na mpenzi wako!Mkuu ni kweli,tulikua wadogo wote na inshort hata sielewi kwanini ila tulipendana..na alifariki kwa uzazi.anyway life still goes on
Katika umri huohuo nami nlipata kabinti... sijswahi kujuta na hivi sasa wakati wowote kakikaa vizuri kataniletea mjukuuAt 21 nlpata kijana skupanga bt sijutii
mzee za leo kwema, tunaweza ongea kidogo?Katika umri huohuo nami nlipata kabinti... sijswahi kujuta na hivi sasa wakati wowote kakikaa vizuri kataniletea mjukuu![]()
Karibu sana.....mzee za leo kwema, tunaweza ongea kidogo?
huyo mwanamke uliezaa nae mbona mdogo sana huyo mtoto si atamuita dada?at 25 wiki iliyopta, nimepata baby boy wangu, mama yake ana 20 yrs, nakupenda sana mwanangu Benedict.
Wewe Ni kiboko16 Fulani hivi....!!!
mzee ila kabla sijaja inboxKaribu sana.....
mkuu mbona unaniweka njia panda tena? unasemea kiboko wa majini au kiboko anachotumia mwalimu kumchapa mwanafunzi au yeyote yule.Wewe Ni kiboko