MasterGamaliel
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 911
- 996
Na sisi tutazuia au tutauza umeme kwa bei ambayo haitafikiwa na soko la dunia kwa zaidi ya miaka 1000 ijayo vile vile na bei ya transport na ushuru wa mafuta yaendayo migodini na kwenye biashara zao nyingine.
Ni bora tusing'ae mpaka tufike point waliyotubebea (zero aid level) ili tuanzie hapo kuja huku tulipo.
Na permit za wazungu kuja Tanzania ziongezewe bei kwa mara million 100 kwenye gharama iliyopo. Na wengine wenye msimamo thabiti wa kumwezesha Mama Tanzania awakazie sura hawa Europeans Aendelee kupigilia!!
Ni bora tusing'ae mpaka tufike point waliyotubebea (zero aid level) ili tuanzie hapo kuja huku tulipo.
Na permit za wazungu kuja Tanzania ziongezewe bei kwa mara million 100 kwenye gharama iliyopo. Na wengine wenye msimamo thabiti wa kumwezesha Mama Tanzania awakazie sura hawa Europeans Aendelee kupigilia!!