Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,290
- 44,534
Kijana wa Dar akinunua sabufa, sofa la watu 2, kitanda cha chuma na godoro, akipanga chumba kimoja, choo cha jumuia hapo katoboa maisha.
Wapo vijana waliofanikiwa wakajenga, kununua usafiri na wengine kumiliki biashara lakini wastani wa vijana wanaoishi kwenye chumba kimoja na vikorokoro vyao pamoja ni wengi sana.
Tanzania ilivyokuwa na ardhi kubwa mpaka nyingine imekuwa kama haina mwenyewe lakini kuna kijana hana hata umiliki wa square meter nne za mraba katika nchi hii, kazi kutunza ndevu na nywele tu.
Vijana wengi wa mikoani wana nyumba na mashamba ambayo yanaweza kuwasaidia uzeeni hata kama kwa kiasi kidogo.
Wapo vijana waliofanikiwa wakajenga, kununua usafiri na wengine kumiliki biashara lakini wastani wa vijana wanaoishi kwenye chumba kimoja na vikorokoro vyao pamoja ni wengi sana.
Tanzania ilivyokuwa na ardhi kubwa mpaka nyingine imekuwa kama haina mwenyewe lakini kuna kijana hana hata umiliki wa square meter nne za mraba katika nchi hii, kazi kutunza ndevu na nywele tu.
Vijana wengi wa mikoani wana nyumba na mashamba ambayo yanaweza kuwasaidia uzeeni hata kama kwa kiasi kidogo.