Ukweli kuhusu uteuzi wa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TIC

Mkuu Namtumbo, kwanza asante kwa hii!, uwongo ukisemwa sana na kuachwa bila kukanushwa, unageuka ukweli!, hivyo haya usemayo ndio ukweli wenyewe, na ushahidi ni huu hapa kutoka kwa mwajiri wake!.
Msikilize Mizengo Kayanza Peter Pinda, Anasema Nini Kumhusu Julliet Kairuki!.

 
taarifa rasmi ndio hii unatoa wewe au na wewe yako ni udaku. hebu tueleze kama wewe ndio mtoa taarifa rasmi, tumeambiwa alikua hapokei mshahara sasa tuseme alikua anafanya kazi bure?
Labda ni msemaji wa Boss wake Kairuki
 
mkuu kumbe kuna wakati akili zako huwa zinarudi, mi nilidhani utamtetea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…