Ukristo katika aibu kubwa Tanzania

musicarlito

JF-Expert Member
Dec 29, 2020
490
720
Dini ya Kikristo Ulaya inazidi kuwa katika hali mbaya. Uislam unashamiri, sisemi uislam ni jambo baya.

Hapa kwetu viongozi wa siasa wanaweza kufanya chochote na imani za watu.

Kuna tamasha linaendelea la 'kuiombea nchi na viongozi'

Waratibu ni vyombo kama WASAFI na wengineo. Swali, viongozi wetu kweli wameshindwa kujua kama wanatumika?

Pongezi ndugu zetu waislam, ninyi hamtaki mchezo na dini yenu, tuna mifano mingi mpaka ya kupigwa viongozi wakubwa.

Lakini watu wachache pia wanaweza kuwatia katika hatari tunayopitia.

Hili tamasha la Leaders club kweli ni la kuliombea Taifa?

Tuache basi mchezo na Mungu, tusije jipata katika matatizo makubwa.
 
Wazungu washagundua kuwa dini ni utapeli ndio uoni wanampa 100,000 nabii kama wewe.

Kwa hio hao uona wanaenda na dini zao wasidhani wata overwhelm culture ya wazungu. Wataangushwa tu.
 
Wazungu washagundua kuwa dini ni utapeli ndio uoni wanampa 100,000 nabii kama wewe.

Kwa hio hao uona wanaenda na dini zao wasidhani wata overwhelm culture ya wazungu. Wataangushwa tu.
Si kila anachofanya mzungu ni sahihi

Unajua hali ngumu ya kimaadili wanayopitia wazungu kwa sababu ya hili

Unajua kushamiri na kupigiwa upatu mambo ya hovyo kama kubadili jinsia...ushoga nk ni matokeo ya kukataa dini?

Unajua kama mauaji ya hovyo hovyo mfano kufyatuliana risasi na uhuru wa kila mtu kufanya chochote ni matokeo ya kubeza dini?

Unajua kuishi maisha ya upweke mpaka mtu anaishi na wanyama kama mbwa kama ndugu zake hali amemtelekeza baba au mama yake ambaye ni mzee kwenye nyumba za kulelea wazee ni matokeo ya kudharau dini?

Dini ya Kikristo asili yake si ulaya...kabla ya ukristo wazungu walikuwa wapagani pia na bado upagani upo kwa kiwango cha juu tuu...nchi kama Spain na Romania ni mifano michache

Dini nyingi asili yake ni Mashariki ya kati
 
Dini ya Kikristo Ulaya inazidi kuwa katika hali mbaya. Uislam unashamiri, sisemi uislam ni jambo baya.

Hapa kwetu viongozi wa siasa wanaweza kufanya chochote na imani za watu.

Kuna tamasha linaendelea la 'kuiombea nchi na viongozi'

Waratibu ni vyombo kama WASAFI na wengineo. Swali, viongozi wetu kweli wameshindwa kujua kama wanatumika?

Pongezi ndugu zetu waislam, ninyi hamtaki mchezo na dini yenu, tuna mifano mingi mpaka ya kupigwa viongozi wakubwa.

Lakini watu wachache pia wanaweza kuwatia katika hatari tunayopitia.

Hili tamasha la Leaders club kweli ni la kuliombea Taifa?

Tuache basi mchezo na Mungu, tusije jipata katika matatizo makubwa.
mbona hata waislam wanatumika katika abrakadabra kama hizi? Unawasifu waislam kutokuchezewa dini yao wakati hiyo dini ni uongo mtupu kuwahi kutokea duniani, a big scam, how they create islam
 
Dini ya Kikristo Ulaya inazidi kuwa katika hali mbaya. Uislam unashamiri, sisemi uislam ni jambo baya.

Hapa kwetu viongozi wa siasa wanaweza kufanya chochote na imani za watu.

Kuna tamasha linaendelea la 'kuiombea nchi na viongozi'

Waratibu ni vyombo kama WASAFI na wengineo. Swali, viongozi wetu kweli wameshindwa kujua kama wanatumika?

Pongezi ndugu zetu waislam, ninyi hamtaki mchezo na dini yenu, tuna mifano mingi mpaka ya kupigwa viongozi wakubwa.

Lakini watu wachache pia wanaweza kuwatia katika hatari tunayopitia.

Hili tamasha la Leaders club kweli ni la kuliombea Taifa?

Tuache basi mchezo na Mungu, tusije jipata katika matatizo makubwa.
Picha linaanzia hapa, Kwa wasafi ni taasisi ya kidini?
 
Si kila anachofanya mzungu ni sahihi

Unajua hali ngumu ya kimaadili wanayopitia wazungu kwa sababu ya hili

Unajua kushamiri na kupigiwa upatu mambo ya hovyo kama kubadili jinsia...ushoga nk ni matokeo ya kukataa dini?

Unajua kama mauaji ya hovyo hovyo mfano kufyatuliana risasi na uhuru wa kila mtu kufanya chochote ni matokeo ya kubeza dini?

Unajua kuishi maisha ya upweke mpaka mtu anaishi na wanyama kama mbwa kama ndugu zake hali amemtelekeza baba au mama yake ambaye ni mzee kwenye nyumba za kulelea wazee ni matokeo ya kudharau dini?

Dini ya Kikristo asili yake si ulaya...kabla ya ukristo wazungu walikuwa wapagani pia na bado upagani upo kwa kiwango cha juu tuu...nchi kama Spain na Romania ni mifano michache

Dini nyingi asili yake ni Mashariki ya kati
Kukataa dini kuna husiana vipi na ushoga na kubadili jinsia?

Unafahamu slogans za hao watu zinazohusiana na dini?



  1. "God’s Love is for All
  2. "Faith Knows No boundaries "
  3. "Created in God’s Image"
  4. "Love Thy Neighbor – No Exceptions"
  5. "You Are Fearfully and Wonderfully Made"
  6. "Jesus Loves You Just as You Are "
  7. "Grace is for Everyone"
  8. "All Are Welcome in God’s Kingdom"
  9. "Let Your Light Shine"
  10. "Faith, Love"
Huu utumbo wote unahimizwa na jamii za hao watu wa imani za kidini.
 
Kukataa dini kuna husiana vipi na ushoga na kubadili jinsia?

Unafahamu slogans za hao watu zinazohusiana na dini?



  1. "God’s Love is for All
  2. "Faith Knows No boundaries "
  3. "Created in God’s Image"
  4. "Love Thy Neighbor – No Exceptions"
  5. "You Are Fearfully and Wonderfully Made"
  6. "Jesus Loves You Just as You Are "
  7. "Grace is for Everyone"
  8. "All Are Welcome in God’s Kingdom"
  9. "Let Your Light Shine"
  10. "Faith, Love"
Huu utumbo wote unahimizwa na jamii za hao watu wa imani za kidini.
Misingi ya dini zote kubwa na maarufu zinapinga hayo mambo...na uhuru uliopitiliza unaolenga kudhalilisha utu wa mtu

Msingi wa maadili upo katika dini hizi

Hata dini zetu za asili zinakataa yote haya
 
Kukataa dini kuna husiana vipi na ushoga na kubadili jinsia?

Unafahamu slogans za hao watu zinazohusiana na dini?



  1. "God’s Love is for All
  2. "Faith Knows No boundaries "
  3. "Created in God’s Image"
  4. "Love Thy Neighbor – No Exceptions"
  5. "You Are Fearfully and Wonderfully Made"
  6. "Jesus Loves You Just as You Are "
  7. "Grace is for Everyone"
  8. "All Are Welcome in God’s Kingdom"
  9. "Let Your Light Shine"
  10. "Faith, Love"
Huu utumbo wote unahimizwa na jamii za hao watu wa imani za kidini.
Unaelewa maana yake au unapotosha...

"Love your neighbour " inahalalisha ushoga?
 
Misingi ya dini zote kubwa na maarufu zinapinga hayo mambo...na uhuru uliopitiliza unaolenga kudhalilisha utu wa mtu

Msingi wa maadili upo katika dini hizi

Hata dini zetu za asili zinakataa yote haya
Kukataa sio sababu ya watu kuacha ndio maana kila siku unasikia mara sheikh kalawaiti mara padri au mchungaji kakutwa na kashfa ya ushoga .
 
Kukataa sio sababu ya watu kuacha ndio maana kila siku unasikia mara sheikh kalawaiti mara padri au mchungaji kakutwa na kashfa ya ushoga .
Macho yako yamefumbwa na uovu ...hutaki wala kuwaza dunia iliyo na wema...

Unatuambia hamna masheikh na mapadre wema?

Je walawiti na mashoga duniani ni makundi hayo mawili tuu?

Think BIG Acha kufikiria NGONO kila mara...si ajabu siku moja ukaingia kishawishi cha ubakaji ukaharibu maisha yako
 
Macho yako yamefumbwa na uovu ...hutaki wala kuwaza dunia iliyo na wema...

Unatuambia hamna masheikh na mapadre wema?

Je walawiti na mashoga duniani ni makundi hayo mawili tuu?

Think BIG Acha kufikiria NGONO kila mara...si ajabu siku moja ukaingia kishawishi cha ubakaji ukaharibu maisha yako
Sijui kama unayo akili kweli? Kwani kila asiye na dini ni shoga na mbadili jinsia? Jitafakari .
 
Yesu hakuwa Mkristo

Mtume Muhammad hakuwa Muislamu

Buddha hakuwa Buddhism.

Dini ya ukristo, uislamu na mabuda zimetokea wapi? tafakari na ujiulize huku ukitafuta historia ya kina si ya juu juu utapotoshwa.

Huhitaji kuwa mkristo, Muislamu n.k badala yake uishi na kuyaenenda kama ya Yesu, mtume Muhammad na wengineo.

Nasikitika kusema wengi kama sio wote wanaopenda na kushabikia dini au wafia dini wapo shallow sana kiroho au kwa lugha nyingine wamefungwa wapo magerezani.
 
Yesu hakuwa Mkristo

Mtume Muhammad hakuwa Muislamu

Buddha hakuwa Buddhism.

Dini ya ukristo, uislamu na mabuda zimetokea wapi? tafakari na ujiulize huku ukitafuta historia ya kina si ya juu juu utapotoshwa.

Huhitaji kuwa mkristo, Muislamu n.k badala yake uishi na kuyaenenda kama ya Yesu, mtume Muhammad na wengineo.

Nasikitika kusema wengi kama sio wote wanaopenda na kushabikia dini au wafia dini wapo shallow sana kiroho au kwa lugha nyingine wamefungwa wapo magerezani.
1740815558883.jpg
 
Back
Top Bottom