uko wapi jamani???

hehheeehhee usifanye hivyo jamani ushantia na mie wasi wasi isije siku ukanambia blood chemistry imekwambia unichukue,,,heheheh tutapambana na hiyo blood chemistry ntakupeleka hospital nikaibadili,,,hehehehheloool!!!
basi tu nimetokea kutokummiss sometimes it is blood chemistry factor.
 
nammiss sana sana hashycool..
mohamed shossi
michelle hivi hawa watu walipoondoka waliacha salam gani jamani yaani wallah leo tangu nilipoamka majina yao yamenikaa kichwani jamani mwazijua habari zozote kuhusu wao??? miss them alot wallah,,,
Na hata wewe uliadimika sana na wengi walikumiss. Mm nimefurahi na namshukuru Allah umerudi.
 
Hata wewe habibt maa qalbi nilham assoud ayoun ulipotea sanasana,na pia nammiss sanasanasana mkwewangu masanilo,jela ya jf ameshatoka ila naona kaamua kususia jumla hili jamvi.
 
hehheeehhee usifanye hivyo jamani ushantia na mie wasi wasi isije siku ukanambia blood chemistry imekwambia unichukue,,,heheheh tutapambana na hiyo blood chemistry ntakupeleka hospital nikaibadili,,,hehehehheloool!!!
naanza kujisikia kawaida towards Shossi, i hope u gonna be a good mod in "reconcilliatin chember"so sijui ulijificha wapi nikateswa na my blood chemistry.
 
Hata wewe habibt maa qalbi nilham assoud ayoun ulipotea sanasana,na pia nammiss sanasanasana mkwewangu masanilo,jela ya jf ameshatoka ila naona kaamua kususia jumla hili jamvi.
sijaamini bado kama nimekuona mwera na we pia wallah ulipotea kushinda mie watokea wapi kwani??
 
sijaondoka kabisa kabisa katavi sinakwambia niliamua kuwa guest lakini nilikuwepo ndio maana sijaaga maana storry zoooote ziliopita naweza kukusimulia,,heheheehh lloooll..sitapotea tena,,
Si vizuri kuondoka kimyakimya jamani...
 
Back
Top Bottom