Ukitaka kuishi bila kuzeeka fanya hivi

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Dec 26, 2017
18,722
47,513
Ukiwa Kama kijana Una umri kianzia 18 yrs ili usizeeke Mapema na uzeeke ukiwa katika ubora wako tumia hii njia .

Waangalie wazee wenye umri mkubwa kuanzia 70 yrs then utazame wanaishije then na wewe Apply hiyo lifestyle.

Maana yake ni nini

Kuwa na tahadhari Kama Wazee
Punguza nights out

Bangi na sigara
Pombe acha au kunywa kwa kiasi
Ngono kwa mbali mbali Sana .
Punguza stress

Usijichosehe kwenye kugonoka.

Usisubiri umri uende ndo uanze kuzingatia good lifestyle.

So embrace perspective ya uzee kipindi ukiwa kijana mdogo hii ndo mbinu huwa naitumia tangu nipo 18 yrs.

Faida zake
Huwezi kuwa broke easily
Financial freedom
Afya imara inajengeka.
Unakuwa humble Sana with wisdom
Unakuwa informative and insightful.

All the best .
 
Ukiwa Kama kijana Una umri kianzia 18 yrs ili usizeeke Mapema na uzeeke ukiwa katika ubora wako tumia hii njia .

Waangalie wazee wenye umri mkubwa kuanzia 70 yrs then utazame wanaishije then na wewe Apply hiyo lifestyle.

Maana yake ni nini

Kuwa na tahadhari Kama Wazee
Punguza nights out

Bangi na sigara
Pombe acha au kunywa kwa kiasi
Ngono kwa mbali mbali Sana .
Punguza stress

Usijichosehe kwenye kugonoka.

Usisubiri umri uende ndo uanze kuzingatia good lifestyle.

So embrace perspective ya uzee kipindi ukiwa kijana mdogo hii ndo mbinu huwa naitumia tangu nipo 18 yrs.

Faida zake
Huwezi kuwa broke easily
Financial freedom
Afya imara inajengeka.
Unakuwa humble Sana with wisdom
Unakuwa informative and insightful.

All the best .
asisahau kujiunga na kwanya
 
Ukiwa Kama kijana Una umri kianzia 18 yrs ili usizeeke Mapema na uzeeke ukiwa katika ubora wako tumia hii njia .

Waangalie wazee wenye umri mkubwa kuanzia 70 yrs then utazame wanaishije then na wewe Apply hiyo lifestyle.

Maana yake ni nini

Kuwa na tahadhari Kama Wazee
Punguza nights out

Bangi na sigara
Pombe acha au kunywa kwa kiasi
Ngono kwa mbali mbali Sana .
Punguza stress

Usijichosehe kwenye kugonoka.

Usisubiri umri uende ndo uanze kuzingatia good lifestyle.

So embrace perspective ya uzee kipindi ukiwa kijana mdogo hii ndo mbinu huwa naitumia tangu nipo 18 yrs.

Faida zake
Huwezi kuwa broke easily
Financial freedom
Afya imara inajengeka.
Unakuwa humble Sana with wisdom
Unakuwa informative and insightful.

All the best .
Unapoteza muda wako tu. Infact walio ishi vizuri kuzingatia lishe mazoezi nk wengi walifika ukomo miaka ya 50/60..........wanywaji wa pombe wengine walitoboa miaka 90
 
Njia ya mwanaume yeyote kutozeeka Ni kutafuta pesa kwa bidii na kuhakikisha una akiba ya kutosha itakayokusaidia katika uzee wako.

Hayo mengine yote Ni mbwembwe tu.
Ukiwa masikini unakuwa unaamini hivyo

Ila waulize wenye pesa Kama pesa watakuambia ukweli.

Ukiharibu Afya pesa haina uwezo wa kutetea nenda hata bungeni ukae na wabunge siku nzima ujifunze maisha kuwa inaanza nini na inafata nini
 
Ukiwa masikini unakuwa unaamini hivyo

Ila waulize wenye pesa Kama pesa watakuambia ukweli.

Ukiharibu Afya pesa haina uwezo wa kutetea nenda hata bungeni ukae na wabunge siku nzima ujifunze maisha kuwa inaanza nini na inafata nini
Tunaweza kubishana siku nzima ila mi nakwambia pesa ndio mpango mzima.
Tafuta pesa uwe nazo Kwanza Yale mengine sijui kufanya mazoezi,kutokulewa blah blah blah yatafata baadae.
Upo???
 
Ache watu wachome maini mkuu.Insightfull my ass...halafu ndio nyie mkifika miaka 50 mnakuwa wanga kishenzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom