Bingwa wa kuropoka humjui?Asiichezea taasisi ya urais,,,aige mazuri ya wapinzani wengine ambao hawaropoki ovyo
Unao ushahidi na hili? Huwa ni dhambi pia kusema jambo kubwa kama hili kwa lengo la ushabiki tu!Aliwalipa aliowaibia?
Kama hajawalipa ajuwe irada ndiyo hizo, na bado.
Ky k....Ni heshima kwa Mungu kumzomea fisadi Lowasa
Uislam unasemaje kuhusu dhana?Nitamwambia akumbuke ya Habib Mchange.
Kwa Kiswahili asili inaitwa "irada".
Habib Mchange alielezea "kama tu dinu tu dani".
Wengine huielezea kama "what goes around comes around".
Wale wasiojijuwa na waabudu sanamu huiita "karma".
Tumkumbushe tu kuwa wale waliochapwa magari yao nao Mungu anawasikia vilio vyao.
Hahahahahaha hata sigara sivuti sasa sijui nawakuta wapi hao wa tumia McheleNimemjua unayemsema. Ngoja ngoja utajwe na watumia dona.