Local channels zote!Hivi azam wana startv
hii nchi bado sanaaKweli kwa hapa Tanzania naona only DSTV, nilianza na starTimes holaa, nikanunua Ting hola, nimenunua Azam decoder nayo soon naipiga chini wanabadilisha channel ovyoo, mvua ikinyesha mnabakia kutizamana... michanel isiyo na maana kibao daaah, hii nchi kweli wizi kila kona.
Mkuu dish la kawaida la inch ngapi?na hio recever ya mpg4 zinapatikana kwa sh ngapi?Mkuu nunua dshi la kawaida ndo mambo yote unatumia recever ya mpg4 channel zote za bure duniani unapata
Haimo ila channel tenMkuu *MWANAKA* HIVI DSTV INA channel YA EATV???
mvua ikinyesha tu basi starehe kushney! hapo wanasayansi wanasemaje?Kweli kwa hapa Tanzania naona only DSTV, nilianza na starTimes holaa, nikanunua Ting hola, nimenunua Azam decoder nayo soon naipiga chini wanabadilisha channel ovyoo, mvua ikinyesha mnabakia kutizamana... michanel isiyo na maana kibao daaah, hii nchi kweli wizi kila kona.
ipoHivi azam wana startv
Mkuu cjakuelewa naomba fafanuzi tafadhaliAZAM TV inatosha m huwa nafunga vyote yaan kwa rang , saut , gharama iko poa