Ukiona unashangiliwa na adui, rudi nyuma ujiulize umekosea wapi

Je huyu adui anaezungumzwa hapa ni nani? Hakika kuna sababu ya kutafakari maneno ya mkuu wa nchini. Yamekaa kivijembe sana na hayafai kutolewa na kiongozi wa nchi.
Mpinzani wako huwa ni adui , hata kwenye mpira upande wa pili ni adui kwa mchezo, tatizo neno adui mmelichukulia kama adui wa kuuana au kupigana, hadui katika maslai ya anachokifanya
 
"Ukiona unashangiliwa na adui, rudi nyuma
ujiulize umekosea wapi? na ukiona unasemwa
semwa na adui ujue umewatwanga." Rais JPM.
MY TAKE;
1. "Kikulacho ki nguoni mwako, na adui
mkubwa wa nchi hii unalala naye, unaamka
naye na unakwenda kumpokea rasmi
Dodoma". NOTE, adui mkubwa wa nchi hii ni
kile chama anachoenda kukabidhiwa.
2. Maadui wakuu wasaidizi wa nchi hii ni
Ujinga, Maradhi na Umasikini. Sijasikia
malalamiko ya mabwana hawa (Ujinga,
Maradhi na Umasikini) kwamba
wanatwangwa sana. Sijui hadi sasa Rais
anaongelea maadui wepi?
3. Na kama anamanisha maadui ni wapinzani
asisahau kua upinzani huo ni zao la katiba
hivyo kwa maana nyingine katiba na sheria
za jamhuri ndio iliyoweka adui huyo.
4. Na kama kwake upinzani (uliopo kisheria)
ni uadui basi atakua ni hatari sana kwa
kiongozi huyu kwa msatakabali wa
democrasia (uadui kwa mtazamo wake) hapa
nchini.
Just wait and watch the show my dear brother
and Mr. President.
Mtatiro J
Hivi unapokuwa mpinzani au ukawa ndio unakuwa mvivu wa kufikiri na kuelewa mambo kama huyu au hili ni tatzo la huyu jamaa peke yake?...
Usitake tukuweke kwenye elimu ya hapa na pale ( kama za yule wa kuleee ub......o)
Huo ujinga, umaskini na maradhi viansema?
Au kwani yeye kasema upinzani ni mbaya? Yeye kasema UKIONA UNASEMWA VIBAYA NA ADUI YAKO ( hajamsema yeyote, labda ni wewe kwa kuwa umejihisi).
Wewe au mpinzani yyte, kama haujawahi msema vibaya adui yako basi hili halikuhusu. Ila kama ndio kawaida yako kumsema vibaya adui yako ( ambaye kwako wewe mtatiro, au upinzani) ni Raisi basi ujuwe kuwa KAKUTWANGA AU KAWATWANGA...
Maana ya Rais ni kuwa adui huwa hakutakiagi mema, akiona umefanya la maana na unasifiwa, yeye atajaribu kukukejeri kwa maneno ya kuudhi ( kukuseam vibaya ), kwani anaona wivu. Ila kama ukifanya vubaya atajifanya kukusifia ili pale utakaharibikiwa au apate kukucheka... hiyo ndio maana yake.
Sasa we mtatiro unakuja hapa unatuwekea maneno tofauti na kile Raisi alichikimaanisha..
Eti maadui wa nchi hii ni ujinga, maradhi na umaskini,... Kwani hivyo vinasemaga?
Daaaah. Kweli ndio Lo.....a alisema tuna tatzo la elimu,.....
Elimu, elimu, elimu........
 
Back
Top Bottom