Mke/ Mme mwema hutoka kwa Bwana. Na kamwe huwezi kumpangia Bwana akupe mtu huyo kwa wakati gani!
Mkuu hapa si swala la pili pili wala nini,kama umeangalia taarifa ya habari kileivi mtu humlishi wala akuombi chochote kuna aja ya kukeleketwa juu yako? pilipili usokula yakuwashia nn??
habari za jion wadau.
wadau kama heading inavyosema. hii inawahusu watu wazima wanaojitambua. mashoga, vicheche, wasagaji, unsound mind, haiwahusu.
ukiona umefika 30 na hujaoa wala kuolewa. na una mpango wa kuoa au kuolewa siku moja anza kujiangalia mara mbili.. usiku mwema wote
jiwe limerushwa gizani hilo ukisikia yalaaah ujue limempata mtu.
Usiwalazimishe watu wafuate staili zako za maisha. Mfano kama wewe unalala saa 12 kama jogoo usitake kila mtu ikifika saa 11:59 awe ameshapanda kitandani. Haiwezekani watu wote wakafanya mambo kwa wakati mmoja ndio maana hata vidole vya binadamu havilingani mfano dole gumba linasubiri sana kwa kidole cha kati.
Mkuu hapa si swala la pili pili wala nini,kama umeangalia taarifa ya habari kile
kitoto kilichoopolewa chooni baada ya kutupwa na mdada aliyejifungua
ni mojawapo ya matokeo ya watu wanaosema bado wanajipanga.
kama mtu maisha ya mjini yamekushinda rudi kijijini.
Ni mara chache kuwakuta watu wa kijijini over 30 hawajaoa kwa kisingizio cha maisha.
Ktk hili binafsi nawatoa wadada kwani wao hawawezi kulazimisha kuolewa,
lakini kwa wanaume,huu uzi umepiga ikulu.Kubadilika ni muhimu.
ivi mtu humlishi wala akuombi chochote kuna aja ya kukeleketwa juu yako? pilipili usokula yakuwashia nn??
"Kama una mpango wa kuoa/kuolewa"..ni kweli kwa mawszo yangu pia. Kama huna mpango huo, hili halikuhusu..!!
Sio lazima niseme alivyosema mleta mada.Hivyo sivyo alivyosema mleta mada.
Kama una mada tofauti anzisha thread yako.
Mkuu Tyta nakukubali sana,lakini kwa hili
lazima binadamu aonyeshe tofauti kati yake na mbuzi.
Huwezi kumwuliza mbuzi ana umri gani,ana mke au watoto akakujibu
Naongelea hasa hiyo ya ''marriage is not about age...''
Issue hapa ni unatafuta mpaka lini?
Kama mhusika anaowaona wote wana kasoro,basi naye ana kasoro
hivyo achukue mmojawapo kati ya wenye kasoro aoe.