Ukiona haya kwa mkeo kuwa dikteta haraka

Shetani yuko kazini!

Hamjalazimishwa kuoa WALOKOLE, nendeni Bar, casino, madanguroni na sehemu nyingine kama hizo mtapata wake muwatakao.

Tuacheni sisi tuwaoe walokole.

By the way; Mungu hadhihakiwi, apandacho mtu ndicho atakachovuna.

Ukiwa kahaba utapewa kahaba mwenzako.

Ukiwa mlokole utapewa mlokole ... Nk

Hivyo Mungu hawezi kumrisk mwanae, binti/kijana mlokole kwa kumpa mwenzi mpumbavu kama mtoa mada.

Utapewa mpumbavu mwenzako.

Kwa wasomaji wa BIBLIA mnakumbuka habari za wanawake wacha Mungu kama Ruthu na Abigaili? Mmesoma namna Mungu alivyowaepusha na wanaume wapumbavu na kuwapa wanaume wampendao Mungu? Boazi & Daudi?

Asomaye na Afahamu.
Nadhani wachambuzi wa mambo ya psychology watusaidie kujua mpambavu ni nani kati yako na mtoa mada kwa kutumia maandishi yenu
 
Ni bora niwe na mke anaeshinda kanisani hata kama ni kukesha kuliko kuwa na mke anaeshinda kwnye shughuli za watu au kuwa na mke anaejua ratiba zote za jahaz modern taarabu,ni mara mia anaeenda kumlilia Mungu wake huko kuliko mke anaeshinda kwnye mabalaza ya wenzie anapiga domo. Kwhyo hata mm mke wangu akianza kwenda huko aende tu
 
Wanaoingia kwenye ulokole wengi reasoning yao imekufa.

Vitu vingine vipo wazi kabisa ila wao wanaenda kama makondoo.
Mkuu acha tu usiseme sana, kuna imani Fulani hivi ikikuingia unatamani uwe unashinda na kulala kanisani, yaani hutaman chochotr ktk hii dunia sijui huwa wanadawa? Ilishawahi nitokea sema nilishtuka ndani ya miez miwili sitaki hata kusikia, upuuzi tu
 
Shetani yuko kazini!

Hamjalazimishwa kuoa WALOKOLE, nendeni Bar, casino, madanguroni na sehemu nyingine kama hizo mtapata wake muwatakao.

Tuacheni sisi tuwaoe walokole.

By the way; Mungu hadhihakiwi, apandacho mtu ndicho atakachovuna.

Ukiwa kahaba utapewa kahaba mwenzako.

Ukiwa mlokole utapewa mlokole ... Nk

Hivyo Mungu hawezi kumrisk mwanae, binti/kijana mlokole kwa kumpa mwenzi mpumbavu kama mtoa mada.

Utapewa mpumbavu mwenzako.

Kwa wasomaji wa BIBLIA mnakumbuka habari za wanawake wacha Mungu kama Ruthu na Abigaili? Mmesoma namna Mungu alivyowaepusha na wanaume wapumbavu na kuwapa wanaume wampendao Mungu? Boazi & Daudi?

Asomaye na Afahamu.
Aigooooo umeguswa penyewe mtumishi, lkn mbona mkali hivyo? Hebu tulizana bwana tunaeleweahana tu hapa
 
Natafuta namna ya kiheshima ya kukuambia umeongea vibaya. Am sorry kama utakuwa offended. Ila nakubali kutofautiana nawe. Mambo ya imani si lele mama. Kama uliona ambao walishindwa....ni wao, sidhani km ni sahihi kuwaunganisha watu wote na kuwahukumu. Japo nakubali...umesema uzoefu wako na nakupa pole kwa kuwa ulikutana na watu wasio sahihi
 
Shetani yuko kazini!

Hamjalazimishwa kuoa WALOKOLE, nendeni Bar, casino, madanguroni na sehemu nyingine kama hizo mtapata wake muwatakao.

Tuacheni sisi tuwaoe walokole.

By the way; Mungu hadhihakiwi, apandacho mtu ndicho atakachovuna.

Ukiwa kahaba utapewa kahaba mwenzako.

Ukiwa mlokole utapewa mlokole ... Nk

Hivyo Mungu hawezi kumrisk mwanae, binti/kijana mlokole kwa kumpa mwenzi mpumbavu kama mtoa mada.

Utapewa mpumbavu mwenzako.

Kwa wasomaji wa BIBLIA mnakumbuka habari za wanawake wacha Mungu kama Ruthu na Abigaili? Mmesoma namna Mungu alivyowaepusha na wanaume wapumbavu na kuwapa wanaume wampendao Mungu? Boazi & Daudi?

Asomaye na Afahamu.
Kwa hiyo Nuhu halikua mzinifu ndio akapata yule mke?
 
Ni bora niwe na mke anaeshinda kanisani hata kama ni kukesha kuliko kuwa na mke anaeshinda kwnye shughuli za watu au kuwa na mke anaejua ratiba zote za jahaz modern taarabu,ni mara mia anaeenda kumlilia Mungu wake huko kuliko mke anaeshinda kwnye mabalaza ya wenzie anapiga domo. Kwhyo hata mm mke wangu akianza kwenda huko aende tu
Hujawah kutana na hii kadhia ndg hivyo huwez elewa

Bora huyo wa bar ukimkanya anaelewa! Hata akikalishwa vikao atakiri amekosa na anaweza badili

Huyu wa kanisani anakuwa mjinga kabisa! Akili inahama! Anapeleka pesa zake zote kanisani,mpaka kama umemfungulia mradi utakufa kwa kupeleka huko! mwishowe anaanza kulala huko

Na ukikosea umseme au uite vikao anawakemea kuwa mnatumiwa na shetani! Hata vile vitu vidogo kabisa vya kuona haelwwi

Kumbuka sijasema tuoe bar au walokole hawafai ila nimesema ukiona anaanza kuwa mlokole yule mwenye imani kali sana na kuanza kuleta shida ndani basi mdhibiti mapema lasivyo ndoa itavunjika
 
Natafuta namna ya kiheshima ya kukuambia umeongea vibaya. Am sorry kama utakuwa offended. Ila nakubali kutofautiana nawe. Mambo ya imani si lele mama. Kama uliona ambao walishindwa....ni wao, sidhani km ni sahihi kuwaunganisha watu wote na kuwahukumu. Japo nakubali...umesema uzoefu wako na nakupa pole kwa kuwa ulikutana na watu wasio sahihi
Pitia upya maneno yangu! Sijahukumu wote

Nimesema kuna wakati huwa wanawake hawa wanajazwa upepo mpaka wanajisahau! Maisha yao yanakuwa kanisani tuuu!

Kila pesa inayotokea mbele yake anapeleka huko! Kazi anaacha kufanya za nyumbani anaenda kufanya huko

Unajikuta mwanaume unaishi na housegirl badala ya mkeo npaka maisha yanaanza kuwa magumy

Na ukikosea uulize unakemewa kuwa unatumiwa na pepo

Atlast ndoa zinavunjika! Ila yule mwanamke siku pesa ikimuishia anaanza kukwepwa na hao manabii ndo anashtuka kumekucha

Nimetoa tahadhali tu kuwa ukiona mkeo anaanza kutekwa na ulokole uliopitiliza take action

Anapaswa asali kawaida tu na kuwa muumin wa kawaida asipitiloze na kuwa mwenye misimamo mikali UTAJUTA
 
Kwa hiyo Nuhu halikua mzinifu ndio akapata yule mke?
Hahaha myulize na Ayubu alikuwa mzinifu akapewa yule mke? Hata Hagai ambaye alikuwa nabii lakini mke wake akazaa watoto wote nje ya ndoa alikuwa mzinifu???


Sio eti ukiwa mtu wa mungu basi utapewa mke naye mtu wa mungu NEVER

unaweza kuwa mtu wa maombi na ukapewa changudoa
 
Hahaha myulize na Ayubu alikuwa mzinifu akapewa yule mke? Hata Hagai ambaye alikuwa nabii lakini mke wake akazaa watoto wote nje ya ndoa alikuwa mzinifu???


Sio eti ukiwa mtu wa mungu basi utapewa mke naye mtu wa mungu NEVER

unaweza kuwa mtu wa maombi na ukapewa changudoa
Hawa jamaa hawajielewi ndio maana wanaibiwa mali mpaka wake.
 
Hawa jamaa hawajielewi ndio maana wanaibiwa mali mpaka wake.
Na wachungaji wanawagongea sana! Me na jamaaangu nimesoma nae ila hapo kati mambo yaligoma akaamua kufungua kanisa! Huwa ananisimulia anavyowagonga na waume zao wanavyomuamin ni balaa

Ukimsikiliza hutamruhusu wife aende kanisani
 
Pitia upya maneno yangu! Sijahukumu wote

Nimesema kuna wakati huwa wanawake hawa wanajazwa upepo mpaka wanajisahau! Maisha yao yanakuwa kanisani tuuu!

Kila pesa inayotokea mbele yake anapeleka huko! Kazi anaacha kufanya za nyumbani anaenda kufanya huko

Unajikuta mwanaume unaishi na housegirl badala ya mkeo npaka maisha yanaanza kuwa magumy

Na ukikosea uulize unakemewa kuwa unatumiwa na pepo

Atlast ndoa zinavunjika! Ila yule mwanamke siku pesa ikimuishia anaanza kukwepwa na hao manabii ndo anashtuka kumekucha

Nimetoa tahadhali tu kuwa ukiona mkeo anaanza kutekwa na ulokole uliopitiliza take action

Anapaswa asali kawaida tu na kuwa muumin wa kawaida asipitiloze na kuwa mwenye misimamo mikali UTAJUTA
Nakuelewa....hatahivyo mtazamo wako ulikuwa too general. Shida si ulokole. Bahati mbaya mifano mibaya ndo iliyojaa makanisa mengi. Inasikitisha.
 
Shetani yuko kazini!

Hamjalazimishwa kuoa WALOKOLE, nendeni Bar, casino, madanguroni na sehemu nyingine kama hizo mtapata wake muwatakao.

Tuacheni sisi tuwaoe walokole.

By the way; Mungu hadhihakiwi, apandacho mtu ndicho atakachovuna.

Ukiwa kahaba utapewa kahaba mwenzako.

Ukiwa mlokole utapewa mlokole ... Nk

Hivyo Mungu hawezi kumrisk mwanae, binti/kijana mlokole kwa kumpa mwenzi mpumbavu kama mtoa mada.

Utapewa mpumbavu mwenzako.

Kwa wasomaji wa BIBLIA mnakumbuka habari za wanawake wacha Mungu kama Ruthu na Abigaili? Mmesoma namna Mungu alivyowaepusha na wanaume wapumbavu na kuwapa wanaume wampendao Mungu? Boazi & Daudi?

Asomaye na Afahamu.
Unaitwa Zuzu kwa mawazo yako ya Kizamani
 
Ni bora niwe na mke anaeshinda kanisani hata kama ni kukesha kuliko kuwa na mke anaeshinda kwnye shughuli za watu au kuwa na mke anaejua ratiba zote za jahaz modern taarabu,ni mara mia anaeenda kumlilia Mungu wake huko kuliko mke anaeshinda kwnye mabalaza ya wenzie anapiga domo. Kwhyo hata mm mke wangu akianza kwenda huko aende tu
Ila kuna tofauti mkuu,kuna anaeenda na matokeo mazuri yakaonekana.

Kuna anaeenda ndo akazidi kupotoka kabisa. Muhimu ni kuzipima roho za kama zinatokana na Mungu/hayo mafundisho ya viongozi wa dini
 
Ha mapovu vup? Soma ujumbe vzr acha kukurupuka kujibu!!

Bora mshinda bar hatalala huko kuliko mlokole anayeshinda mikesha na weekend anashinda kwa mchungaj kufanya kazi
Kwa hiyo Nuhu halikua mzinifu ndio akapata yule mke?
Acheni kuchanganya ma file.

Cases za Ayubu, Hagai, Hosea ni tofauti kabisa na muktadha wa mada iliyopo.

Kwa nini HAMJATOA mfano wa IBRAHIMU & SARAI, ISAKA & REBEKA, ELKANA & HANNA, AHASUERO & ESTA?!! NK

Tusikalie kutafuta zile sehemu chache ili kuhalalisha UKOSOAJI. Tuwe optimistic ... Tueleze na MAZURI ya wanawake WALOKOLE.

Tupo kipindi cha Agano jipya, ambacho ni cha Neema. Hatuishi chini ya sheria ... Na Mungu kaliweka wazi hilo ... "Ampendezaye, atambariki." That is it!

Wewe unafikiri kwa NINI Elkana Alimpenda HANNA kuliko PENINA, ambaye kwa kipindi hicho alikuwa hana watoto kama mwenzake?! Je! Ni kitendo chake cha kuwa Mcha Mungu & kushinda hekaluni Akiomba?!! Ibrahimu na Sara je? Kwa nini Mfalme Ahasuero alimpenda Esta japokuwa hakuwa mzuri wa sura kama VASHTI?!

"Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke AMCHAYE BWANA, ndiye atakayesifiwa." - Mithali 31:30

Siku Njema,

Asomaye na Afahamu.
 
Back
Top Bottom