Ukimwacha Mwalimu Nyerere, Marais Wengine Wote Wameshindwa Kuacha Legacy Kwa Taifa. Je, Rais Samia Ataondoka Bila Legacy?

Hamatan

JF-Expert Member
Nov 10, 2020
3,544
8,285
Mwalimu Nyerere, legacy yake kamwe haitafutika. Legacy ya Mwalimu Nyerere ni kuwaongoza Watanganyika kupambania uhuru wao mpaka ulipopatikana.

Legacy haiwezi kuwa kujenga daraja, barabara, shule au hospitali, maana huko mbeleni, hivyo vitu vitakuja kujengwa vilivyo bora na vingi maradufu.

Samia alipoyachukua madaraka, watu walihisi huenda atakuwa Licoln wa Tanzania, lakini siku zilivyoenda matumaini yakazidi kutoweka!

Marekani mpaka leo ina watu 46 ambao wamewahi kuwa marais tokea uhuru wao. Lakini marais pekee wenye legacy ya kudumu ni wawili tu, George Washington na Abraham Lincoln. George Washington aliongoza harakati za kupata uhuru kutoka kwa Mwingereza. Na Lincoln ndiye iliyeanzisha na kujenga mifumo ya kidemokrasia nchini Marekani. Baada ya hapo, hawa marais wengine, wanakuja na kuondoka, na majina yao kusahaulika. Lakini George Washington na Abraham Lincoln, majina yao yameendelea kuishi.

Tanzania tuna George Wahington wetu, Mwalimu Nyerere, LAKINI tumeshindwa kumpata Abraham Lincoln wetu. Wote wanaochukua uongozi, wanaingia na kutoka bila ya kuacha legacy yoyote ya kudumu.

KIkwete alielekea kuacha legacy ya katiba mpya, akafeli. Samia akajaribu kuonesha dhamira ya kukamilisha upatikanaji wa katiba mpya na kutaka kutengeneza mifumo ya haki, lakini hakwenda mbali, akafeli kabisa kabla hajaanza, na sioni akionesha dalili za kuacha legacy yoyote.

Tunaendelea kujiuliza, ni nani kiongozi katika nchi yetu atakuja kuacha legacy kwenye nchi yetu? Baadhi wameishia kuacha legacy ya manung'uniko!! Mkapa kwenye kitabu chake ameacha manung'uniko kuwa anasikitika utawala wake uliua Wazanzibari waliokuwa wakidai haki kwenye uchaguzi, na kuwa aliwezesha CCM kuiba hela ya Serikali. Huenda na Rais Samia, naye anafikiria kuacha manung'uniko badala ya legacy halisi.

Kama Samia angefanya mabadiliko ya msingi ya kisheria kuwezesha demokrasia na haki kutamalaki, hakika angekuwa ameacha legacy kwa vizazi vyote. Lakini hakuna dalili. Kununua magoli, kugawa mitungi ya gas, kusafiri na wasanii, kumalizia miradi iliyoanzishwa na marehemu, n.k. kamwe haviwezi kutengeneza legacy. Hivyo ni vitu unapigiwa makofi, imeishia hapo.

Kuna legacy mbaya ya upande mwingine kwa kiongozi, kama utawala wako utasababisha maafa. Kwa kiongozi, bila ya kujali nani ameanzisha, maafa ya wananchi yakitokea wakati wa uongozi wako, ni uthibitisho wa wewe kushindwa kuongoza nchi.

Rais Samia ana machaguo matatu: Kuacha legacy njema ya kukumbukwa, legacy mbaya ya kulaaniwa vizazi vyote, au kupita kama vile hakuwahi kuwepo.

Ifahamike kuwa:
legacy in a broad sensse refers to a lasting impact and the way you will be remembered for generations to come.
 
Dotto Magarii na Steve Mengele Kuna Wema na Samia na watu wafupi wa Samia wakiongozwa na Mr Pimbi.
Nyuma kuna like genge liloenda kwenye harusi ya Juma Jux .
Bunkum
 
Reli ya SGR ikifika Kigoma na Mwanza na kuanza kubeba mizigo ya nchi jirani na abiria , nchi itainuka kiuchumi na kubadili hali za maisha, nadhani hiyo ni legacy pia maana hatutorudi tena nyuma
 
Mwalimu Nyerere, legacy yake kamwe haitafutika. Legacy ya Mwalimu Nyerere ni kuwaongoza Watanganyika kupambania uhuru wao mpaka ulipopatikana.

Legacy haiwezi kuwa kujenga daraja, barabara, shule au hospitali, maana huko mbeleni, hivyo vitu vitakuja kujengwa vilivyo bora na vingi maradufu.

Samia alipoyachukua madaraka, watu walihisi huenda atakuwa Licoln wa Tanzania, lakini siku zilivyoenda matumaini yakazidi kutoweka!

Marekani mpaka leo ina watu 46 ambao wamewahi kuwa marais tokea uhuru wao. Lakini marais pekee wenye legacy ya kudumu ni wawili tu, George Washington na Abraham Lincoln. George Washington aliongoza harakati za kupata uhuru kutoka kwa Mwingereza. Na Lincoln ndiye iliyeanzisha na kujenga mifumo ya kidemokrasia nchini Marekani. Baada ya hapo, hawa marais wengine, wanakuja na kuondoka, na majina yao kusahaulika. Lakini George Washington na Abraham Lincoln, majina yao yameendelea kuishi.

Tanzania tuna George Wahington wetu, Mwalimu Nyerere, LAKINI tumeshindwa kumpata Abraham Lincoln wetu. Wote wanaochukua uongozi, wanaingia na kutoka bila ya kuacha legacy yoyote ya kudumu.

KIkwete alielekea kuacha legacy ya katiba mpya, akafeli. Samia akajaribu kuonesha dhamira ya kukamilisha upatikanaji wa katiba mpya na kutaka kutengeneza mifumo ya haki, lakini hakwenda mbali, akafeli kabisa kabla hajaanza, na sioni akionesha dalili za kuacha legacy yoyote.

Tunaendelea kujiuliza, ni nani kiongozi katika nchi yetu atakuja kuacha legacy kwenye nchi yetu? Baadhi wameishia kuacha legacy ya manung'uniko!! Mkapa kwenye kitabu chake ameacha manung'uniko kuwa anasikitika utawala wake uliua Wazanzibari waliokuwa wakidai haki kwenye uchaguzi, na kuwa aliwezesha CCM kuiba hela ya Serikali. Huenda na Rais Samia, naye anafikiria kuacha manung'uniko badala ya legacy halisi.

Kama Samia angefanya mabadiliko ya msingi ya kisheria kuwezesha demokrasia na haki kutamalaki, hakika angekuwa ameacha legacy kwa vizazi vyote. Lakini hakuna dalili. Kununua magoli, kugawa mitungi ya gas, kusafiri na wasanii, kumalizia miradi iliyoanzishwa na marehemu, n.k. kamwe haviwezi kutengeneza legacy. Hivyo ni vitu unapigiwa makofi, imeishia hapo.

Kuna legacy mbaya ya upande mwingine kwa kiongozi, kama utawala wako utasababisha maafa. Kwa kiongozi, bila ya kujali nani ameanzisha, maafa ya wananchi yakitokea wakati wa uongozi wako, ni uthibitisho wa wewe kushindwa kuongoza nchi.

Rais Samia ana machaguo matatu: Kuacha legacy njema ya kukumbukwa, legacy mbaya ya kulaaniwa vizazi vyote, au kupita kama vile hakuwahi kuwepo.
Rais Samia ana machaguo matatu: Kuacha legacy njema ya kukumbukwa, legacy mbaya ya kulaaniwa vizazi vyote, au kupita kama vile hakuwahi kuwepo.👌🏿
 
Reli ya SGR ikifika Kigoma na Mwanza na kuanza kubeba mizigo ya nchi jirani na abiria , nchi itainuka kiuchumi na kubadili hali za maisha, nadhani hiyo ni legacy pia maana hatutorudi tena nyuma
Hizo huko mbele zitakuja zenye technology nzuri zaidi
 
Reli ya SGR ikifika Kigoma na Mwanza na kuanza kubeba mizigo ya nchi jirani na abiria , nchi itainuka kiuchumi na kubadili hali za maisha, nadhani hiyo ni legacy pia maana hatutorudi tena nyuma
Hata umeme tuliambiwa tutazalisha mwingi wa kutosha, tutatumia na tutauza nje pia. Matokeo yake leo tunanunua nje, tena kutoka umbali wa 1600km huku tukishindwa kusafirisha wa kwetu ulio umbali wa 600km!

Tz hatuna msamiati wa kutokurudi nyuma
 
Mwalimu Nyerere, legacy yake kamwe haitafutika. Legacy ya Mwalimu Nyerere ni kuwaongoza Watanganyika kupambania uhuru wao mpaka ulipopatikana.

Legacy haiwezi kuwa kujenga daraja, barabara, shule au hospitali, maana huko mbeleni, hivyo vitu vitakuja kujengwa vilivyo bora na vingi maradufu.

Samia alipoyachukua madaraka, watu walihisi huenda atakuwa Licoln wa Tanzania, lakini siku zilivyoenda matumaini yakazidi kutoweka!

Marekani mpaka leo ina watu 46 ambao wamewahi kuwa marais tokea uhuru wao. Lakini marais pekee wenye legacy ya kudumu ni wawili tu, George Washington na Abraham Lincoln. George Washington aliongoza harakati za kupata uhuru kutoka kwa Mwingereza. Na Lincoln ndiye iliyeanzisha na kujenga mifumo ya kidemokrasia nchini Marekani. Baada ya hapo, hawa marais wengine, wanakuja na kuondoka, na majina yao kusahaulika. Lakini George Washington na Abraham Lincoln, majina yao yameendelea kuishi.

Tanzania tuna George Wahington wetu, Mwalimu Nyerere, LAKINI tumeshindwa kumpata Abraham Lincoln wetu. Wote wanaochukua uongozi, wanaingia na kutoka bila ya kuacha legacy yoyote ya kudumu.

KIkwete alielekea kuacha legacy ya katiba mpya, akafeli. Samia akajaribu kuonesha dhamira ya kukamilisha upatikanaji wa katiba mpya na kutaka kutengeneza mifumo ya haki, lakini hakwenda mbali, akafeli kabisa kabla hajaanza, na sioni akionesha dalili za kuacha legacy yoyote.

Tunaendelea kujiuliza, ni nani kiongozi katika nchi yetu atakuja kuacha legacy kwenye nchi yetu? Baadhi wameishia kuacha legacy ya manung'uniko!! Mkapa kwenye kitabu chake ameacha manung'uniko kuwa anasikitika utawala wake uliua Wazanzibari waliokuwa wakidai haki kwenye uchaguzi, na kuwa aliwezesha CCM kuiba hela ya Serikali. Huenda na Rais Samia, naye anafikiria kuacha manung'uniko badala ya legacy halisi.

Kama Samia angefanya mabadiliko ya msingi ya kisheria kuwezesha demokrasia na haki kutamalaki, hakika angekuwa ameacha legacy kwa vizazi vyote. Lakini hakuna dalili. Kununua magoli, kugawa mitungi ya gas, kusafiri na wasanii, kumalizia miradi iliyoanzishwa na marehemu, n.k. kamwe haviwezi kutengeneza legacy. Hivyo ni vitu unapigiwa makofi, imeishia hapo.

Kuna legacy mbaya ya upande mwingine kwa kiongozi, kama utawala wako utasababisha maafa. Kwa kiongozi, bila ya kujali nani ameanzisha, maafa ya wananchi yakitokea wakati wa uongozi wako, ni uthibitisho wa wewe kushindwa kuongoza nchi.

Rais Samia ana machaguo matatu: Kuacha legacy njema ya kukumbukwa, legacy mbaya ya kulaaniwa vizazi vyote, au kupita kama vile hakuwahi kuwepo.
Legas
Mwalimu Nyerere, legacy yake kamwe haitafutika. Legacy ya Mwalimu Nyerere ni kuwaongoza Watanganyika kupambania uhuru wao mpaka ulipopatikana.

Legacy haiwezi kuwa kujenga daraja, barabara, shule au hospitali, maana huko mbeleni, hivyo vitu vitakuja kujengwa vilivyo bora na vingi maradufu.

Samia alipoyachukua madaraka, watu walihisi huenda atakuwa Licoln wa Tanzania, lakini siku zilivyoenda matumaini yakazidi kutoweka!

Marekani mpaka leo ina watu 46 ambao wamewahi kuwa marais tokea uhuru wao. Lakini marais pekee wenye legacy ya kudumu ni wawili tu, George Washington na Abraham Lincoln. George Washington aliongoza harakati za kupata uhuru kutoka kwa Mwingereza. Na Lincoln ndiye iliyeanzisha na kujenga mifumo ya kidemokrasia nchini Marekani. Baada ya hapo, hawa marais wengine, wanakuja na kuondoka, na majina yao kusahaulika. Lakini George Washington na Abraham Lincoln, majina yao yameendelea kuishi.

Tanzania tuna George Wahington wetu, Mwalimu Nyerere, LAKINI tumeshindwa kumpata Abraham Lincoln wetu. Wote wanaochukua uongozi, wanaingia na kutoka bila ya kuacha legacy yoyote ya kudumu.

KIkwete alielekea kuacha legacy ya katiba mpya, akafeli. Samia akajaribu kuonesha dhamira ya kukamilisha upatikanaji wa katiba mpya na kutaka kutengeneza mifumo ya haki, lakini hakwenda mbali, akafeli kabisa kabla hajaanza, na sioni akionesha dalili za kuacha legacy yoyote.

Tunaendelea kujiuliza, ni nani kiongozi katika nchi yetu atakuja kuacha legacy kwenye nchi yetu? Baadhi wameishia kuacha legacy ya manung'uniko!! Mkapa kwenye kitabu chake ameacha manung'uniko kuwa anasikitika utawala wake uliua Wazanzibari waliokuwa wakidai haki kwenye uchaguzi, na kuwa aliwezesha CCM kuiba hela ya Serikali. Huenda na Rais Samia, naye anafikiria kuacha manung'uniko badala ya legacy halisi.

Kama Samia angefanya mabadiliko ya msingi ya kisheria kuwezesha demokrasia na haki kutamalaki, hakika angekuwa ameacha legacy kwa vizazi vyote. Lakini hakuna dalili. Kununua magoli, kugawa mitungi ya gas, kusafiri na wasanii, kumalizia miradi iliyoanzishwa na marehemu, n.k. kamwe haviwezi kutengeneza legacy. Hivyo ni vitu unapigiwa makofi, imeishia hapo.

Kuna legacy mbaya ya upande mwingine kwa kiongozi, kama utawala wako utasababisha maafa. Kwa kiongozi, bila ya kujali nani ameanzisha, maafa ya wananchi yakitokea wakati wa uongozi wako, ni uthibitisho wa wewe kushindwa kuongoza nchi.

Rais Samia ana machaguo matatu: Kuacha legacy njema ya kukumbukwa, legacy mbaya ya kulaaniwa vizazi vyote, au kupita kama vile hakuwahi kuwepo.
Legacy Nini tuanzie hapo Kwanza legacy nikua na uthubutu katika nafsi ya uwongozi legacy haiji kwa kusifia mitano tena laaa legacy ni kujitia kujinyima kukubali madhaigu yako na kuondoa woga na kuifanya maamuzi kwa lengo la kuinua nchi kiuvhumi iwe miundo mbinu au mahusiano mazuri na wanacnhi au kauli nzuri kwa wananchi na kusimamia maamuzi yako kwa kutelekezwa ulivyo viahidi kwa wafuasi wako wananchi

Neno legacy ni utambuzi was mashujaaa walikua na misimamo maamuzi uthubutu na utekelezaji

Mfano
Thomas sankra
Wa bukinafaso hakua raisi was maneno
Bali alikua raisi wavitendo misimamo na uthubu na maamuzi paale alipotangaza mawaziri wote wasiendeshe gari za kifahari waendeshe gari za Bei ya chini alikataa ubeberu was wazungu alithubutu aliweka misimamo wanawake kutokukeketu chini na aliwapa kipaumbele kwenye secter mbali mbali za serekali yake .alichukua ardhi iliokua wakiimiliki mabeberu na kuwapa wananchi walime aliweka msisitizo juu ya elimu ./hakuwagopa wazungu/jasiri/mshindani/na mpenda maendeleo/

Alafu Leo unataka kunambia Samia ataacha legass /. Legacy inamaana Pana Sana /ili ukumbukwe na uwenziwe lazima ujitoe kwa raia wako mazima/ ufanye kitu kilichokua hakijawahi kufanywa na maraisi waliopita/


Hapa Kuna maraisi wavhache tu waliocha legacy akiwepo baba wa taifa na mzee abeid karume Hawa walithubutu /walikua na misimamo

Na popote utakapokwenda ukimuona mtu anaelewa sanamu huyo ndo kaacha legacy

Ukienda bukinafaso Kuna sanamu ya Thomas yenye uregu mita20 nahapa tunao waliokewa hzo sanamu na wapo waliopita kwenye njia za viongozi Kama John pombe magufuli )alitakiwa aelewe sanamu yule jamaaa kaaacha legacy/nchi kainua kiuvhumi /kwasababu alithubutu aliweka misimamo na maamuzi/

.tusichukulie pia tunaposema legacy /hii inakufanya mengi/ujasiri/kutokuogopa/uthubutu/maamuzi sahihi/ na kujitia kufa kwaajili ya raia wako au kwa nchi yako/

Nyie muimbieni mitano tena mukifikiri ndio legacy 😂😂😂
 
KIkwete alielekea kuacha legacy ya katiba mpya, akafeli. Samia akajaribu kuonesha dhamira ya kukamilisha upatikanaji wa katiba mpya na kutaka kutengeneza mifumo ya haki, lakini hakwenda mbali, akafeli kabisa kabla hajaanza, na sioni akionesha dalili za kuacha legacy yoyote.
Ulianza vzr ila baada ya kufika hapa nimeacha kusoma mada yako.

Kama kuacha legacy sio kujenga madaraja, shule n.k inakuwaje uwepo wa katiba mpya ndo kuacha legacy wakati katiba ndio muongozo wa kufanya hayo yote ambayo ww unasema sio kigezo cha kuacha legacy?
 
Hizo huko mbele zitakuja zenye technology nzuri zaidi
Hata ikifika huko mbele kwenye teknolojia nzuri zaidi bado mtasema miaka inayokuja tutapata zenye teknolojia nzuri zaidi.
Ushasema teknolojia, hi n kitu kinachokua kwenda mbele, hakina ukomo.

Elewa maana ya hy teknolojia kwanza kabla ya kuandika mashudu.
 
Back
Top Bottom