Ukijua Mnyama anavyoteseka, bado utakula nyama?

Ateseke asiteseke lazima kitimoto nimle,tena utafiti umefanyika umeonesha kua kadri anavoteseka ndo anakua mtamu zaidi.

NB:kwa sasa hakuna wanyama wenye mateso kuzidi wananchi wa Arusha baada ya kupigwa rungu la rambirambi.


Siyo kweli, Utafiti unaonyesha kwamba Mnyama ambaye anajua kwamba atachinjwa/kuuliwa nyama yake huwa ngumu sana, wale Wawindaji wanalijua hili, unaweza ukatofautisha Nyama ya Mnyama aliyejua kabla ya kuuliwa na yule ambaye hakujua, yule ambaye hakujua huwa na Nyama laini lkn yule ambaye alijua huwa na nyama ngumu ambayo hutokana na mateso anayopitia kabla ya mauti kumkuta!
 
Kama una hurumia mnyama, mboga pia zinaumia pindi unapozichuma.
Ushauri usile chochote basi ili utende mema na usiwe katili.
kuna vitu viko pale huwezi vbadilisha...mbna umalaya unakatazwa na watu wanaendlea kufanya...all other factors has to remain constant...nimeiva sanh kwenye uchumi ndgu
 
Umeowai shuhudia akishapigwa shoka vile anavojipiga piga miguuu yale sio maumivu mkuu?
Hayo sio maumivu, ubongo haufanyi kaz mda huo, ndio sehem pekee yenye uwezo wa kutambua, mfano, umekatwa mkono, kile kipande kilicho anguka kikawa kina tikisika, unadhan kina umia?

The brain does not control all body movements. Some movements are to a great extent controlled by neural networks in the spinal cord.
 
na
Ateseke asiteseke lazima kitimoto nimle,tena utafiti umefanyika umeonesha kua kadri anavoteseka ndo anakua mtamu zaidi.

NB:kwa sasa hakuna wanyama wenye mateso kuzidi wananchi wa Arusha baada ya kupigwa rungu la rambirambi.
ww kwahyo mnyama wa hapa ni wana arusha ...mmhhh...haya
 
Siyo kweli, Utafiti unaonyesha kwamba Mnyama ambaye anajua kwamba atachinjwa/kuuliwa nyama yake huwa ngumu sana, wale Wawindaji wanalijua hili, unaweza ukatofautisha Nyama ya Mnyama aliyejua kabla ya kuuliwa na yule ambaye hakujua, yule ambaye hakujua huwa na Nyama laini lkn yule ambaye alijua huwa na nyama ngumu ambayo hutokana na mateso anayopitia kabla ya mauti kumkuta!
Sijawahi kula kitimoto kigumu asee japokua hua wanapigwa shoka la kichwa.
 
Hayo sio maumivu, ubongo haufanyi kaz mda huo, ndio sehem pekee yenye uwezo wa kutambua, mfano, umekatwa mkono, kile kipande kilicho anguka kikawa kina tikisika, unadhan kina umia?

The brain does not control all body movements. Some movements are to a great extent controlled by neural networks in the spinal cord.
Nimekuelewa mkuu na je akiwa analia vile anavyochinjwa mfano mbuzi au ng'ombe zile kelele anazopiga ubongo unakua haujatambua chochote?
 
Vipi kama ukijua kwamba Mnyama kabla ya kupigwa shoka huwa anajua kwamba atapigwa shoka na kwamba anapitia mateso ya ajabu sana, kama vile wewe labda ujue kwamba baada ya dakika mbili utapigwa Panga la kichwa ufe, vipi bado utaendelea kula Nyama?
Waliumbwa waliwe, ataliwa tu


Unaongelea alie chinjwa? Nenda mbungan huko utaona wanaliwa wakiwa hai, ama angalia wildlife documentaries, hakuna kitu kinachoitwa fair dunia, ila kila kitu kina it's own fate
 
Sijawahi kula kitimoto kigumu asee japokua hua wanapigwa shoka la kichwa.


Wewe siyo Muwindaji hivyo huwezi kujua kwani kwako Nyama ni Nyama tu, lkn Wawindaji wanalijua hili mara tu baada ya kumuua Mnyama wanweza kutofautisha, na ndiyo maana hairuhusiwi kumkosa risasi, ukimkosa inabidi umuache!
 
Vipi kama ukijua kwamba Mnyama kabla ya kupigwa shoka huwa anajua kwamba atapigwa shoka na kwamba anapitia mateso ya ajabu sana, kama vile wewe labda ujue kwamba baada ya dakika mbili utapigwa Panga la kichwa ufe, vipi bado utaendelea kula Nyama?
Wanyama hawana utashi huo binadamu ndio anayetambua kwamba hapa nimeshikiwa kisu nataka kuchinjwa.
Japo sina uhakika ngoja wataalamu wa mambo ya wanyama wapite hapa
 
Wanyama hawana utashi huo binadamu ndio anayetambua kwamba hapa nimeshikiwa kisu nataka kuchinjwa.
Japo sina uhakika ngoja wataalamu wa mambo ya wanyama wapite hapa


Unajuaje kama hawana huo uwezo? Na ndiyo maana nikauliza swali laiti kama ukijua, Je bado utaendelea kula nyama yake?
 
Sili nyama wala Sam ali wala ndege! Maulana Mola wangu nibariki mimi na kizazi changu na nchi yangu Tanzania katika jina la Yahushua ha Mashaich....AMUN RA
 
Hayo sio maumivu, ubongo haufanyi kaz mda huo, ndio sehem pekee yenye uwezo wa kutambua, mfano, umekatwa mkono, kile kipande kilicho anguka kikawa kina tikisika, unadhan kina umia?

The brain does not control all body movements. Some movements are to a great extent controlled by neural networks in the spinal cord.
Hahaha
 
Nimekuelewa mkuu na je akiwa analia vile anavyochinjwa mfano mbuzi au ng'ombe zile kelele anazopiga ubongo unakua haujatambua chochote?
Anajua, Tumewah chinja mbuz mbil na kondoo mmoja, tulianza na mbuz, tukaleta kondoo... kondoo aliona nyama ya mbuz lakn hakungua kitu, tukamalizia na mbuz, mbuz alipoona nyama ya mwenzie na kondoo aligundua acha awe mkal, kaanza piga watu, alivyo dhibitiwa alijamba na kuharisha hakuna mfano, tulimla
 
Vipi kama ukijua kwamba Mnyama kabla ya kupigwa shoka huwa anajua kwamba atapigwa shoka na kwamba anapitia mateso ya ajabu sana, kama vile wewe labda ujue kwamba baada ya dakika mbili utapigwa Panga la kichwa ufe, vipi bado utaendelea kula Nyama?
Maisha ndivyo yalivyo. Utasemaje namna wanyama wawindaji kama simba na chui wanavyojipatia chakula chao? Ili maisha yaendelee lazima baadhi ya viumbe wawe msosi kwa wengine. Ndvyo ilivyo porini na ndivyo ilivyo kwa maisha yetu kama binadamu
 
Back
Top Bottom