Adolfms
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 472
- 713
Means hata kamala haris hatazeeka?Pesa sabuni ya roho mzee....unakula vizuri,unaoga vizuri,unalala vizuri huna stress za bills za maisha ndugu wanakunyenyekea,watoto wanasoma vizuri,polisi hawakusumbui barabarani,bando la internet bure unazeekaje kamanda.