Ngoja niingie chimbo,,ntarud na information zako zote ww mzeeHata wewe tunaweza kukuanika hapa
Hali nilikuwa naiomba usiku na mchana. Iwapo hali hii ikiendelea,chama cha siasa kitakuwa kinatafuta watu wa kukiwakilisha chama bungeni wale wenye wito. Ilifikia watu wanataka kutoana roho majimboni kisa mahela ya anasa wayapatayo buungeni. Maprofesa, madokta vyuo vikuu watapungua kwenda huko isipokuwa watakaoteuliwa tu.Chanzo: Gazeti LA Nipashe
Hapa kazi tuuuuuuuuuu! Kidumu chama!........…..
"Nikisema uchumi wetu umepanda" mnaitikia kwa sauti "Umepandaaaaaaaaa"
View attachment 493110
Kwani wale waliokuwa bunge la kutunga katiba zile fedha walimaliza? Mbona walilipwa fedha nyingi sana alafu kile kiinua mgongo walicholipwa zaidi ya milioni mia ngapi sijuiHawa wabunge wamejaa siasa
Mpaka sasa wana akiba ya billion 8 alafu kutwa nzima kulialia.
Je sisi wenye mishahara ya laki 4 tufanyaje??
Kweli kabisa kaka acha waisome mbwa hawaHawa wabunge waliobariki makato ya asilimia 15 ya basic salary kwa ajili ya Bodi ya Mikopo si wa kuhurumia hata kidogo.
Wacha waisome namba maana wanashindwa hata kuungana na badala yake wabunge wa chama fulani wao wako busy kuwakomoa wabunge wenzao badala ya kuunganisha nguvu kuibana serikali na kusimamia haki zao na za watanzania wengine.
Ukata ndio new UKUTA walidhani wataosoma number ni wale upande wa pili tu sasa yamewafika! Anaona pesa serikali inapotea bure wanapiga porojo bungeni.......ni dharau kwa kiwango cha mwisho kabisa!!!
Ana shauri hata bunge lisiwepo! Ataendesha nchi kwa akili zake za PHD ya maganda korosho!!! Ebooo
Wanatumia wingi wao kupitisha mambo ya kijingaHawa wabunge waliobariki makato ya asilimia 15 ya basic salary kwa ajili ya Bodi ya Mikopo si wa kuhurumia hata kidogo.
Wacha waisome namba maana wanashindwa hata kuungana na badala yake wabunge wa chama fulani wao wako busy kuwakomoa wabunge wenzao badala ya kuunganisha nguvu kuibana serikali na kusimamia haki zao na za watanzania wengine.