Ujinga mmojawapo wa waafrika wafia dini ya ukristo ni kufungishwa ndoa na viongozi wao wasio na ndoa

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Nov 30, 2022
1,509
1,444
Huu ni unafiki nkubwa na ujinga uliopitiliza linapokuja swala la mkristo kufungishwa ndoa na viongozi wa dini ambao wao wamekatazwa kuoa na hawana ndoa wala uzoefu wa ndoa.

Kufungishwa ndoa na kushauliwa maswala ya ndoa na padri asiye na mke ni ukichaa kwani hana uzofu kwa hiyo hapa ni kupigana changa la macho na hasa ukizingatia cheti xha ndoa ni cha serikali bali kanisa ni wawakilishi tu.

Sasa kwanini ndoa zisifungishwe na kufanyiwa usuluhishi na serikali au wazazi walio na uzoefu na ndoa??

Mchakato wa kuwapata mapadri ni pamoja na wao kuwa marijari wenye nguvu za kiume na ufauru wa juu sana sasa kama walikuwa hawataki waoe kwanini wasichukue mahanithi?

Kwa fikira za utafiti wangu ni wazi kuwa wakoloni walihitaji kutokomeza vizazi vyenye akili kwa kutokuza na kuendeleza koo zao na pia kulinda mapato ya kanisa kwani mapadri wakiwa na familia zao watakuwa na matumizi makubwa sana vilevile kwa masisita

WAAFRIKA TUJITAFARI!!
 
Kwenye katiba yetu, rais halipi kodi kutokana na mshahara na marupu rupu mengine lakini ndio anae sisitiza tulipe kodi. Bunge ndio lilipitisha kodi ya PAYE lakini wao hawakatwi PAYE, wanakatwa kodi kwenye mshahara tu, posho zingine No, meaning hawalipi kwa kanuni ya PAYE, hili nalo vipi kaka? Mimi sio Mkatoliki though ni Mkristo BUT ni Mtanzania halisi.
 
Kwa post hii utapigwa mawe mpaka ukome make hakuna mkristo yeyote aliepita huko akakuunga mkono kwa sababu hili ulilolisema linafikirisha sana.
 
Nimetania ili ushtuke!
Kuwachanganya Tena!? Kuna mtu pia nishawahi muomba aninunulie Abaya Vincenzo Jr akasema niende nichukulie ghetto kwake...isingekuwa kiburi changu
Ningekuwa na Abaya na mimba yake sasa
acha uoga kiasi hicho, ila kwangu likija suala la kutoa shahada nakupa zaidi ya abaya kwasbb najua faida yake
 
acha uoga kiasi hicho, ila kwangu likija suala la kutoa shahada nakupa zaidi ya abaya kwasbb najua faida yake
🤣🤣🤣 Asante sana hata kwa kuandika kistaarabu hivi... maana maombi yangu sikuzote huwa napewa masharti magumu mno mkuu.Barikiwa sana
 
Back
Top Bottom